Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Basi lapigwa bomu

IGP Mangu

Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini, IGP Mangu

NA EDITHA KARLO, KIGOMA

WATU watatu wamefariki dunia na wengine sita kujeruhiwa baada ya watu wanaosadikiwa kuwa ni majambazi kulirushia bomu basi dogo la abiria.

Tukio hilo la kutisha lilitokea jana katika Kijiji cha Kilelema, Kata ya Kilelema, Wilaya ya Buhigwe mkoani    Kigoma.

Akizungumza na MTANZANIA kwa simu jana, dereva wa basi hilo   namba   T 570 CBE, Benedict Emmanuel, alisema basi lake lilipigwa bomu jana saa 12:15 alfajiri   alipokuwa...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Bomu lalipuka ndani ya basi Msri

Mtu mmoja amekufa na wanne kujeruhiwa katika mlipuko wa bomu ndani ya basi la abiria katika eneo la Nasr mji mkuu wa Misri, Cairo kufuatia vurugu zinazoendelea nchini humo

 

10 years ago

Habarileo

Bomu laua watu 3 kwenye basi

WATU watatu wamekufa na wengine sita kujeruhiwa na bomu la kurusha kwa mkono lililotupwa kwenye gari la abiria na watu wanaosadikiwa kuwa ni majambazi wilayani Buhigwe, katika Mkoa wa Kigoma.

 

10 years ago

Mwananchi

Bomu larushwa ndani ya basi Kigoma, watatu wauawa, sita wajeruhiwa

Watu watatu wamekufa akiwepo mtoto mchanga na wengine sita kujeruhiwa baada ya basi dogo la abiria (Hiace) kurushiwa bomu.

 

10 years ago

Mwananchi

Bomu latupwa ndani ya basi Kigoma, laua watatu na kuacha sita taabani

Watu watatu wamekufa, akiwemo mtoto mchanga ambaye mashuhuda wanasema "alitupwa nje," baada ya basi dogo la abiria aina ya Toyota Hiace kurushiwa bomu na watu wasiojulikana huko Kasesema, Kigoma alfajiri ya leo.

 

10 years ago

BBCSwahili

The EastAfrican lapigwa marufuku TZ

Tanzania imepiga marufuku kuchapishwa na kusambazwa kwa gazeti la kila wiki la The EastAfrican kwa mada ya kutosajiliwa

 

11 years ago

Habarileo

Bunge la Katiba lapigwa kalenda

DALILI za Bunge Maalum la Katiba kushindwa kumalizika ndani ya siku 70 za mwanzo, na hivyo kuhitaji kuongezwa siku nyingine zisizozidi 20 kisheria, zimeanza kuonekana mapema.

 

11 years ago

Mwananchi

Soka la vijana lapigwa ‘tafu’

Kampuni ya Symbion Power Tanzania itatumia Dola 3 milioni (Sh4.b bilioni) kwa ajili ya ujenzi wa vituo vyake viwili ya kuibua na kuendelea vipaji vya soka nchini.

 

10 years ago

Vijimambo

The EastAfrican lapigwa marufuku Tanzania

Gazeti la The EastAfrican lapigwa marufuku Tanzania
Serikali ya Tanzania imepiga marufuku kuchapishwa na kusambazwa kwa gazeti la kila wiki la The EastAfrican kwa madai ya kuwa halijasajiliwa nchini humo.

Hata hivyo Wilfred Kiboro, mwenyekiti wa kampuni ya Nation Media Group, wachapishaji wa gazeti hilo la lugha ya kiingereza, ameeleza kuwa adhabu hiyo haikutarajiwa na wala haistahili na kubainisha kuwa wamekuwa wakisambaza gazeti hilo Tanzania kwa miaka 20 bila matatizo.

Kampuni ya Nation...

 

10 years ago

BBCSwahili

Kundi la Hamas lapigwa marufuku Misri

Mahakama moja ya Misri imelipiga marufuku tawi la kundi la Palestina Hamas nchini humo na kuliorodhesha kama kundi la kigaidi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani