Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Soka la vijana lapigwa ‘tafu’

Kampuni ya Symbion Power Tanzania itatumia Dola 3 milioni (Sh4.b bilioni) kwa ajili ya ujenzi wa vituo vyake viwili ya kuibua na kuendelea vipaji vya soka nchini.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

AIRTEL YAPIGA TAFU TIMU YA TAIFA YA VIJANA CHINI YA MIAKA 17

Mstahiki Meya wa Manispaa ya Ilala Jerry Slaa (kushoto) akimuongoza mchezaji wa zamani wa Manchester United Andy Cole kwenda kuwafunda vijana wa timu ya Taifa chini ya miaka 17. Shughuli hiyo ilifanyika jana Dar es Salaam katika viwanja vya Karume mara baada ya mchezaji huyo kuzuru/kutembelea ofisi za Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania. Wa pili kulia ni Mkurugenzi wa Airtel Tanzania Bwana Sunil Colaso.… ...

 

10 years ago

Mwananchi

JK alilia soka la vijana nchini

Rais Jakaya Kikwete amesema maendeleo ya soka yanasuasua nchini kutokana na matatizo ya uongozi na kuachwa kwa jukumu la kuendeleza soka la vijana kwa ajili ya kuvumbua vipaji.

 

10 years ago

Michuzi

Airtel Fursa Yatumia zaidi ya milioni 3 kumpiga tafu mjasiliamali mwingine - Airtel Fursa wiki hii kuwafaidisha mamia ya vijana Mwanza

 Meneja Huduma kwa Jamii wa Airtel Tanzania, Hawa Bayumi (kulia), akiwa na kijana Mariam Mrisho (wa pili kulia) aliyewezeshwa na Airtel Fursa-Tunakuwezesha vifaa mbalimbali na jokufu kwa ajili ya kumsaidia katika biashara yake ya mama lishe na kutengeneza vitafunwa na juisi Dar es Salaam jana. Wa tatu kushoto ni mama wa Mariam Mrisho, Amina Lugome. Wengine ni ndugu zake Mrisho. Meneja Huduma kwa Jamii wa Airtel Tanzania, Hawa Bayumi (katikati), akimkabidhi jokofu kijana Mariam Mrisho (wa...

 

10 years ago

Mwananchi

Soka la vijana lianzie walipoishia wengine

Katikati ya mwezi huu, tasnia ya michezo ilipoteza mmoja wa watu muhimu. Aliyekuwa kocha msaidizi wa timu ya Taifa, Sylvester Marsh. Aalifariki dunia katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili alikokuwa akitibiwa kwa muda mrefu.

 

9 years ago

BBCSwahili

Soka yatumia kubadili vijana gerezani

Serikali ya Nigeria imeanzisha mpango wa kutumia kandanda kubadili mienendo na fikra ya wafuasi wa Boko Haram walioko gerezani

 

11 years ago

GPL

UWEKEZAJI KWA VIJANA KATIKA SOKA HAUKWEPEKI

MICHUANO ya soka ya Chalenji kwa nchi za Afrika Mashariki iliyoanza Novemba 27, mwaka huu nchini Kenya, ilifikia tamati juzi Alhamisi kwa wenyeji kuibuka mabingwa wa michuano hiyo mwaka huu. Kenya ‘Harambee Stars’ wameshinda taji hilo baada ya kuishinda Jamhuri ya Sudan katika fainali, huku Zambia ikishika nafasi ya tatu baada ya kuifunga Tanzania Bara ‘Kilimanjaro Stars’ kwa penalti. Michuano hiyo ya...

 

10 years ago

Mwananchi

Figo: Soka la vijana ndiyo dawa pekee

Mwanasoka bora wa dunia wa mwaka 2001 na winga wa zamani wa Real Madrid, Luis Figo amesema ili Tanzania ipate maendeleo katika soka la kimataifa inapaswa kutumia njia sahihi za kukuza vipaji vya vijana nchini.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Bila uwekezaji soka ya vijana kazi bure

SOKA ya Tanzania bado inakabiliwa na changamoto nyingi ambazo kwa hakika zimeifanya ishindwe kupiga hatua kimataifa kuanzia ngazi ya klabu hadi timu za taifa. Zipo sababu nyingi zinazochangia hali hiyo,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani