Soka la vijana lapigwa ‘tafu’
Kampuni ya Symbion Power Tanzania itatumia Dola 3 milioni (Sh4.b bilioni) kwa ajili ya ujenzi wa vituo vyake viwili ya kuibua na kuendelea vipaji vya soka nchini.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/saEvSFZMI0nydazgwiiEqDGPmZAgiDDLzIKh9FGFcU0NdgMuL0R3oexnY-egtfFonylnpvk6AkVoSypmcuXsf4tFti74TSKs/ANDYCOLEINTZ2.jpg?width=650)
AIRTEL YAPIGA TAFU TIMU YA TAIFA YA VIJANA CHINI YA MIAKA 17
Mstahiki Meya wa Manispaa ya Ilala Jerry Slaa (kushoto) akimuongoza mchezaji wa zamani wa Manchester United Andy Cole kwenda kuwafunda vijana wa timu ya Taifa chini ya miaka 17. Shughuli hiyo ilifanyika jana Dar es Salaam katika viwanja vya Karume mara baada ya mchezaji huyo kuzuru/kutembelea ofisi za Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania. Wa pili kulia ni Mkurugenzi wa Airtel Tanzania Bwana Sunil Colaso.… ...
10 years ago
Mwananchi02 Nov
JK alilia soka la vijana nchini
Rais Jakaya Kikwete amesema maendeleo ya soka yanasuasua nchini kutokana na matatizo ya uongozi na kuachwa kwa jukumu la kuendeleza soka la vijana kwa ajili ya kuvumbua vipaji.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/--I0FqnOl0i8/VZOU1dM2D8I/AAAAAAAHmHQ/4EMmq8jci-0/s72-c/unnamed%2B%252834%2529.jpg)
Airtel Fursa Yatumia zaidi ya milioni 3 kumpiga tafu mjasiliamali mwingine - Airtel Fursa wiki hii kuwafaidisha mamia ya vijana Mwanza
![](http://4.bp.blogspot.com/--I0FqnOl0i8/VZOU1dM2D8I/AAAAAAAHmHQ/4EMmq8jci-0/s640/unnamed%2B%252834%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-NLAxHtDkgT4/VZOU4trpdDI/AAAAAAAHmHg/UKCqdnXBI8o/s640/unnamed%2B%252835%2529.jpg)
10 years ago
Mwananchi30 Mar
Soka la vijana lianzie walipoishia wengine
Katikati ya mwezi huu, tasnia ya michezo ilipoteza mmoja wa watu muhimu. Aliyekuwa kocha msaidizi wa timu ya Taifa, Sylvester Marsh. Aalifariki dunia katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili alikokuwa akitibiwa kwa muda mrefu.
9 years ago
BBCSwahili11 Sep
Soka yatumia kubadili vijana gerezani
Serikali ya Nigeria imeanzisha mpango wa kutumia kandanda kubadili mienendo na fikra ya wafuasi wa Boko Haram walioko gerezani
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mWq-Pv8RWzTSHqAq14is2nxZI-O5lmNYkbfY9htnCN4PaMSPN7A6*iTq81xmBV9wEm8Vj4Mzaw-vQHCelrLb2QkZgMO*1SZ-/KilimanjaroStars.jpg)
UWEKEZAJI KWA VIJANA KATIKA SOKA HAUKWEPEKI
MICHUANO ya soka ya Chalenji kwa nchi za Afrika Mashariki iliyoanza Novemba 27, mwaka huu nchini Kenya, ilifikia tamati juzi Alhamisi kwa wenyeji kuibuka mabingwa wa michuano hiyo mwaka huu. Kenya ‘Harambee Stars’ wameshinda taji hilo baada ya kuishinda Jamhuri ya Sudan katika fainali, huku Zambia ikishika nafasi ya tatu baada ya kuifunga Tanzania Bara ‘Kilimanjaro Stars’ kwa penalti. Michuano hiyo ya...
10 years ago
Mwananchi24 Aug
Figo: Soka la vijana ndiyo dawa pekee
Mwanasoka bora wa dunia wa mwaka 2001 na winga wa zamani wa Real Madrid, Luis Figo amesema ili Tanzania ipate maendeleo katika soka la kimataifa inapaswa kutumia njia sahihi za kukuza vipaji vya vijana nchini.
11 years ago
Tanzania Daima24 Feb
Bila uwekezaji soka ya vijana kazi bure
SOKA ya Tanzania bado inakabiliwa na changamoto nyingi ambazo kwa hakika zimeifanya ishindwe kupiga hatua kimataifa kuanzia ngazi ya klabu hadi timu za taifa. Zipo sababu nyingi zinazochangia hali hiyo,...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania