Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Bila uwekezaji soka ya vijana kazi bure

SOKA ya Tanzania bado inakabiliwa na changamoto nyingi ambazo kwa hakika zimeifanya ishindwe kupiga hatua kimataifa kuanzia ngazi ya klabu hadi timu za taifa. Zipo sababu nyingi zinazochangia hali hiyo,...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

UWEKEZAJI KWA VIJANA KATIKA SOKA HAUKWEPEKI

MICHUANO ya soka ya Chalenji kwa nchi za Afrika Mashariki iliyoanza Novemba 27, mwaka huu nchini Kenya, ilifikia tamati juzi Alhamisi kwa wenyeji kuibuka mabingwa wa michuano hiyo mwaka huu. Kenya ‘Harambee Stars’ wameshinda taji hilo baada ya kuishinda Jamhuri ya Sudan katika fainali, huku Zambia ikishika nafasi ya tatu baada ya kuifunga Tanzania Bara ‘Kilimanjaro Stars’ kwa penalti. Michuano hiyo ya...

 

9 years ago

Mwananchi

Warioba: Mabadiliko bila maadili kwenye Katiba Mpya kazi bure

Aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba amesema nchi haiwezi kuwa na mabadiliko ya kweli, kama miiko na maadili ya viongozi havitaingizwa kwenye Katiba Mpya.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Katiba nzuri bila utashi wa kisiasa ni bure

DESEMBA 30, 2013, rasimu ya pili ya katiba imewasilishwa serikalini. Ni ishara kwamba tunaelekea kupata Bunge la Katiba,  kura ya maoni na hatimaye katiba mpya kama itaridhiwa. Ukisikiliza maoni kutoka...

 

10 years ago

Mwananchi

UWEKEZAJI SOKA: Real Madrid, NSSF kuibua vipaji

>Real Madrid na Shirika la Hifadhi ya Jamii (NSSF) wamesaini mkataba wa miaka 18 wa kujenga kituo cha michezo kwa gharama ya Sh16 bilioni kwa lengo la kuibua na kuendeleza vipaji vya soka kwa vijana Tanzania.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Vijana changamkieni fursa za uwekezaji — Dk Bilal

MAKAMU wa Rais wa Tanzania, Dk. Gharib Bilal, amewataka vijana nchini kuchangamkia fursa mbalimbali za uwekezaji kwa njia ya ubia kutoka kwa wawekezaji wa nje, ili kujitengenezea fursa za ajira...

 

10 years ago

Mwananchi

Fuso lapinduka, vijana wanywa bia za bure

Dar es Salaam. Baadhi ya watu jana ‘waligida’ pombe za bure baada ya Fuso lililokuwa limebeba masanduku ya bia kupinduka katika Barabara ya Mandela, Dar es Salaam.

 

10 years ago

Mwananchi

Wanaojinadi urais CCM wanafanya kazi ya bure

>Wakati makada wanaotangaza nia na kuchukua fomu kugombea urais kupitia CCM wakiendelea kujinadi kwa kutaja sifa mbalimbali za rais ajaye, chama hicho kimesema hayo yote ni kazi bure kwa kuwa chenyewe kina vigezo vyake 13 ambavyo kitavitumia kumpata mgombea wake wa nafasi hiyo.

 

10 years ago

Michuzi

NHIF yapima afya bure wananchi wiki ya vijana Tabora

Mkuu wa Mkoa wa Tabota Fatuma Mwasa akisaini kitabu cha wageni kwenye banda la Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya katika maonesho ya wiki ya vijana yanayofanyika kitaifa mkoani humo, aliyesimama ni Meneja wa Mfuko Mkoa wa Tabora. Vijana wakiwa kwenye banda la Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya wakipima afya zao. Katika maonesho hayo Mfuko unaendesha zoezi la upimaji afya bure. Mtaalam wa macho Antony Janken akimpima macho Rehema Majaliwa ambapo huduma ya macho pia inatolewa bandani...

 

10 years ago

Habarileo

Vijana wengi waajiriwa bila mikataba

ASILIMIA kubwa ya vijana walioajiriwa bila kuwa na mkataba wa kazi, imebainika wanaridhika na hali hiyo. Hayo yamebainishwa katika utafiti wa kuangalia kipindi cha mpito cha kijana wa kike na wa kiume kuingia katika soko la ajira, uliofanywa na Shirika la Kazi Duniani (ILO) hapa nchini sambamba na nchi zingine 28 za Afrika.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani