Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Warioba: Mabadiliko bila maadili kwenye Katiba Mpya kazi bure

Aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba amesema nchi haiwezi kuwa na mabadiliko ya kweli, kama miiko na maadili ya viongozi havitaingizwa kwenye Katiba Mpya.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Warioba: Ipo siku maadili yataingizwa kwenye Katiba

>Mwenyekiti wa iliyokuwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba amesema nchi haiwezi kupambana na mmomonyoko wa maadili ya viongozi wa umma kama haitakubali kuingiza suala la maadili katika Katiba.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Bila uwekezaji soka ya vijana kazi bure

SOKA ya Tanzania bado inakabiliwa na changamoto nyingi ambazo kwa hakika zimeifanya ishindwe kupiga hatua kimataifa kuanzia ngazi ya klabu hadi timu za taifa. Zipo sababu nyingi zinazochangia hali hiyo,...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Katiba nzuri bila utashi wa kisiasa ni bure

DESEMBA 30, 2013, rasimu ya pili ya katiba imewasilishwa serikalini. Ni ishara kwamba tunaelekea kupata Bunge la Katiba,  kura ya maoni na hatimaye katiba mpya kama itaridhiwa. Ukisikiliza maoni kutoka...

 

11 years ago

Mwananchi

Bunge lachafuka, Warioba asimama bila kuwasilisha Rasimu ya Katiba

>Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba jana jioni alisimama kwa dakika tatu mbele ya kipaza sauti lakini akashindwa kuwasilisha Rasimu ya Katiba kutokana na vurugu zilizojitokeza bungeni.

 

11 years ago

Mwananchi

Warioba: Kazi ya Bunge la Katiba siyo kubadili Rasimu

Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba amesema litakuwa jambo lisilo la kawaida kwa Bunge Maalumu la Katiba kubadili hoja ya msingi iliyopo kwenye Rasimu ya Katiba, akisisitiza kuwa jukumu lake ni kuifanyia marekebisho.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kikwete hataki Katiba mpya, mnahangaika bure

KIFALSAFA kuna makosa ya fikra huitwa falasi (fallacy) na mengine huitwa sofizim (sophism). Aina ya kwanza huwa ni makosa ambayo au hayajakusudiwa, yametokea kwa bahati mbaya, kwa aina ya pili...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani