Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Warioba: Ipo siku maadili yataingizwa kwenye Katiba

>Mwenyekiti wa iliyokuwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba amesema nchi haiwezi kupambana na mmomonyoko wa maadili ya viongozi wa umma kama haitakubali kuingiza suala la maadili katika Katiba.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Warioba: Mabadiliko bila maadili kwenye Katiba Mpya kazi bure

Aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba amesema nchi haiwezi kuwa na mabadiliko ya kweli, kama miiko na maadili ya viongozi havitaingizwa kwenye Katiba Mpya.

 

11 years ago

GPL

WAANDISHI WAHIMIZWA KUZINGATIA MAADILI KWENYE KURIPOTI BUNGE LA KATIBA‏

Makamu Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba, Mhe Samia Sululu Hassan akifungua warsha ya siku moja kwa wahariri na waandishi wa habari juu ya nafasi ya watetezi wa Haki za Binadamu katika Katiba mpya. Mratibu wa Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu (THRDC), Ndg. Onesmo Olengurumwa akitoa mada juu ya ya mtazamo na jukumu la wabunge wa katiba na waandishi wa habari za katiba pamoja na watetezi wa haki za binadamu… ...

 

9 years ago

Michuzi

JAJI WARIOBA AMNADI KIPPI WARIOBA KWENYE KAMPENI ZA UBUNGE JIMBO LA KAWE

 Waziri Mkuu mstaafu Jaji Joseph Sinde Warioba (katikati), akimnadi Mgombea  Ubunge Jimbo la Kawe kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Kippi Warioba, katika mkutano wa kampeni za uchaguzi mkuu, uliofanyika katika Kata ya Makongo Manispaa ya Kinondoni jijini Dar es Salaam Jumapili Sept. 20.15. Kushoto ni Mgombea Udiwani wa Kata hiyo, Charles William Iteba.
Mgombea  Ubunge Jimbo la Kawe kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Kippi Warioba, akipongezwa na wanaCCM katika mkutano wa kampeni...

 

11 years ago

Mwananchi

Jaji Warioba; Viongozi watoa matusi wana matatizo ya maadili

“Katika hali ya kawaida kiongozi anatarajiwa kuwa mfano kwa kutenda sawa kimila, kidesturi na kisheria lakini ninashangaa kushuhudia kiongozi akitoa lugha zisizofaa na hata matusi, ni ishara ya mmomonyoko wa maadili kwa kiwango kisichomithilika.”

 

9 years ago

Mtanzania

Lowassa: Ipo siku nitaingia Ikulu

8qsPaAk9NA ELIYA MBONEA, ARUSHA

ALIYEKUWA mgombea urais kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) na kuungwa mkono  Ukawa, Edward Lowassa amesema ipo siku ataingia katika Ikulu  kwa kupigiwa kura na Watanzania.

Lowassa alitoa kauli   mjini hapa jana katika Viwanja vya Shule ya Msingi Sinoni wakati akimuombea kura mgombea ubunge wa   Arusha Mjini, Godbless Lema.

Akizungumza kwa mara ya kwanza tangu matokeo ya urais yalipotangazwa na kumpa ushindi Dk. John Magufuli, Lowassa alisema anaamini...

 

10 years ago

Mwananchi

‘AG Z’bar’: Ipo siku ukweli utadhihirika

 Kung’olewa kwa aliyekuwa Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar, Othman Masoud Othman katika nafasi hiyo ni kama kumewasha moto visiwani humo huku mwenyewe akisema: ‘Ipo siku ukweli utadhihirika.’

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani