Lowassa: Ipo siku nitaingia Ikulu
NA ELIYA MBONEA, ARUSHA
ALIYEKUWA mgombea urais kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) na kuungwa mkono Ukawa, Edward Lowassa amesema ipo siku ataingia katika Ikulu kwa kupigiwa kura na Watanzania.
Lowassa alitoa kauli mjini hapa jana katika Viwanja vya Shule ya Msingi Sinoni wakati akimuombea kura mgombea ubunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema.
Akizungumza kwa mara ya kwanza tangu matokeo ya urais yalipotangazwa na kumpa ushindi Dk. John Magufuli, Lowassa alisema anaamini...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-YB13EO7o7ug/VYGQSC-81nI/AAAAAAAAv2w/ozIl4BQTOI4/s72-c/LOWASSA%2BIKULU.jpg)
Kauli ya LOWASSA Yaleta Gumzo 'Maskini Akienda IKULU Ataiba si Ndio? Tajiri Akienda Ikulu Atawapa watu Mbinu za Utajiri'
![](http://2.bp.blogspot.com/-YB13EO7o7ug/VYGQSC-81nI/AAAAAAAAv2w/ozIl4BQTOI4/s640/LOWASSA%2BIKULU.jpg)
Kweli au si kweli? Maskini akienda IKULU ataiba si ndio? Tajiri akienda Ikulu atawapa watu mbinu za utajiri....ama, maskini akienda ataongoza kwa kuelewa matatizo ya wananchi wake na kuwapa kipaumbele...na tajiri yeye hatajali kundi la maskini wanahitaji nini maana hajui umaskini unafananaje?? Vyovyote vile!! Bado tunasikiliza na kupima sera za wagombea wote...
10 years ago
Mwananchi09 Oct
‘AG Z’bar’: Ipo siku ukweli utadhihirika
9 years ago
Bongo523 Sep
Lollipop kuachia albam mpya ‘Ipo Siku’
10 years ago
Mwananchi25 Feb
Warioba: Ipo siku maadili yataingizwa kwenye Katiba
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-80qx3DiKpaY/Vd_OZnIDHuI/AAAAAAAH0jQ/4NWl0EwPz4Y/s72-c/_MG_7228.jpg)
DKT MAGUFULI: UKINUNUA MADARAKA IPO SIKU UTAWAUZA ULIOWANUNUA
![](http://3.bp.blogspot.com/-80qx3DiKpaY/Vd_OZnIDHuI/AAAAAAAH0jQ/4NWl0EwPz4Y/s1600/_MG_7228.jpg)
Amesema ametumikia nchi hii kwa miaka 20 serikalini akiwa Waziri na...
9 years ago
StarTV28 Aug
Tazama matukio yote ya Magufuli na kusema ukinunua madaraka ipo siku mtauzwa.
![](http://3.bp.blogspot.com/-80qx3DiKpaY/Vd_OZnIDHuI/AAAAAAAH0jQ/4NWl0EwPz4Y/s1600/_MG_7228.jpg)
9 years ago
Mtanzania24 Oct
Mikakati 16 Ikulu ya Lowassa
Na Elias Msuya
MGOMBEA urais wa Chadema anayewakilisha Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Edward Lowassa, ametaja mambo manne ya msingi na mengine 16 atakayoshughulikia endapo atachaguliwa katika uchaguzi utakaofanyika kesho, huku akitoa jibu juu ya vilio vya Watanzania alivyovishuhudia wakati wa kampeni akisema: ‘Nimeona, nimesikia, nimeelewa na nitatenda’.
Akihutubia Taifa kwa njia ya televisheni, redio na hotuba yake kusambazwa katika mitandao ya intaneti jana jijini Dar es Salaam,...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LGdhCycw6D82S2KBhTJ4zF8AUD8dHjsXY*1fwFp3DwRDsJwa7pqeUUJjpR2raBXY0HOC8Fjs7CHddmpfewwWkDnjWYmJKELu/Lowassa.gif?width=650)
UGUMU WA LOWASSA KUINGIA IKULU
10 years ago
TheCitizen30 May
Richmond, Lowassa and the race to Ikulu