Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tazama matukio yote ya Magufuli na kusema ukinunua madaraka ipo siku mtauzwa.

Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi CCM Dr. John Pombe Magufuli akiwahutubia wananchi wa mji wa Mbalizi  mkoa mpya wa  Songwe,katika mkutano wake wa kampeni uliohudhuriwa maelfu ya wananchi, Dr. John Pombe Magufuli amewaomba wananchi wa Mbalizi kummpa kura za ndiyo ili aweze kuongoza watanzania na kutatua matatizo mbalimbali yanayoikabili jamii ya watanzania wa hali ya chini.   Amesema ametumikia nchi hii kwa miaka 20 serikalini akiwa...

StarTV

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

DKT MAGUFULI: UKINUNUA MADARAKA IPO SIKU UTAWAUZA ULIOWANUNUA

Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi CCM Dr. John Pombe Magufuli akiwahutubia wananchi wa mji wa Mbalizi  mkoa mpya wa  Songwe,katika mkutano wake wa kampeni uliohudhuriwa maelfu ya wananchi, Dr. John Pombe Magufuli amewaomba wananchi wa Mbalizi kummpa kura za ndiyo ili aweze kuongoza watanzania na kutatua matatizo mbalimbali yanayoikabili jamii ya watanzania wa hali ya chini.
Amesema ametumikia nchi hii kwa miaka 20 serikalini akiwa Waziri na...

 

10 years ago

StarTV

Tazama matukio ya leo ya kihistoria ya wagombea wakirudisha fomu


Edward Lowassa amerudisha fomu ya kugombea urais Tume ya Taifa ya Uchaguzi.

Dkt. John Pombe Magufuli amerudisha fomu ya kugombea urais Tume ya Taifa ya Uchaguzi.

Mgombea Urais kupitia TLP, Macmillan Lyimo amerudisha fomu ya kugombea urais Tume ya Taifa ya Uchaguzi.

Mgombea Urais kupitia ADC, Chief Lutasola Yemba amerudisha fomu ya kugombea urais Tume ya Taifa ya Uchaguzi.

Mgombea Urais kupitia Chama cha UMMA, Hashim Rungwe amerudisha fomu ya kugombea urais Tume ya Taifa ya Uchaguzi.

 

10 years ago

Dewji Blog

DAR ES SALAAM LIVE: Kamera ya Modewjiblog ipo mtaani ikikusanyia matukio mbalimbali pichani!

DSC_1346

Taswira ya jengo la Golden Jubilee linavyoonekana kwa mbali katikati ya jiji kama lilivyopigwa picha na mwandishi wa mtandao huu. ( Picha zote na Andrew Chale, Modewjiblog).

DSC_2525

DSC_2526

Moja ya wachuuzi wa vinywaji akikatiza katika moja ya maeneo ya jirani na ofisi za Habari Maelezo…

DSC_1199

DSC_1200

DSC_1334

DSC_1329

DSC_1318

DSC_1343

DSC_1340

DSC_1286

DSC_1273

Kijiwe maalufu cha wazee wa Mjini ambacho watu mbalimbali wakiwemo wanasiasa, wanahabari, wanasheria na watu wengine wamekuwa wakipatikana hapo na kupiga stori mbili tatu.

 

5 years ago

Michuzi

KUFUATIA UGONJWA WA CORONA (COVID-19),UFARANSA YAFUTA MATUKIO YOTE YA KIMICHEZO KWA MWAKA 2019/0202

Yassir Simba,Michuzi TV

Waziri Mkuu wa Ufaransa Edouardo Philippe ametangaza rasmi kwamba ligi kuu nchini humo Maarufu kama ligue 1 matukio yote ya kimichezo kwa mwaka 2019/2020 nchini humo yamefutwa rasmi.

Uamuzi huo wakufutwa kwa matukio yote ya kimichezo nchini Ufaransa umekuja mara baada ya nchi tofauti Duniani kukumbwa na Ugonjwa wa Corona unaosababishwa na virusi vya Covid 19 ambapo mnamo tarehe 12 March mwaka huu nchi tofauti Duniani ilisimamisha shughuli zote za kimichezo katika nchi...

 

10 years ago

Mtanzania

Magufuli: Madaraka yasiwagawe Watanzania

g1 (1)Na Bakari Kimwanga, Tanga

MGOMBEA urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli ameonya na kusema nafasi za madaraka zisiwagawe Watanzania.

Amesema kila mtu anawajibu wa kulitumikia taifa na watu wake bila kubaguliwa na wenye nafasi za uongozi.

Dk. Magufuli alitoa kauli hiyo jana kwa nyakati tofauti, alipokuwa akizungumza kwenye mikutano ya kampeni za kuomba kuchaguliwa katika wilaya za Muheza, na Pangani mkoani Tanga.

Alisema nchi inahitaji viongozi ambao hawatawagawa...

 

9 years ago

Mtanzania

Lowassa: Ipo siku nitaingia Ikulu

8qsPaAk9NA ELIYA MBONEA, ARUSHA

ALIYEKUWA mgombea urais kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) na kuungwa mkono  Ukawa, Edward Lowassa amesema ipo siku ataingia katika Ikulu  kwa kupigiwa kura na Watanzania.

Lowassa alitoa kauli   mjini hapa jana katika Viwanja vya Shule ya Msingi Sinoni wakati akimuombea kura mgombea ubunge wa   Arusha Mjini, Godbless Lema.

Akizungumza kwa mara ya kwanza tangu matokeo ya urais yalipotangazwa na kumpa ushindi Dk. John Magufuli, Lowassa alisema anaamini...

 

11 years ago

Mwananchi

‘AG Z’bar’: Ipo siku ukweli utadhihirika

 Kung’olewa kwa aliyekuwa Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar, Othman Masoud Othman katika nafasi hiyo ni kama kumewasha moto visiwani humo huku mwenyewe akisema: ‘Ipo siku ukweli utadhihirika.’

 

10 years ago

Bongo5

Lollipop kuachia albam mpya ‘Ipo Siku’

Mtayarishaji wa muziki na mtunzi, Lollipop amesema anatarajia kuachia albam mpya itwayo ‘Ipo Siku’. Lollipop ambaye ameandika wimbo wa ‘Basi Nenda’ ya Mo Music pamoja na ‘Nivumilie’ ya Barakah Da Prince, ameiambia Bongo5 kuwa ameamua kutoa albam hiyo ili kuwapa mashabiki wake muziki wa kutosha. “Nimefanya muziki wa bongofleva kwa muda mrefu sana, lakini umefika […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani