Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KUFUATIA UGONJWA WA CORONA (COVID-19),UFARANSA YAFUTA MATUKIO YOTE YA KIMICHEZO KWA MWAKA 2019/0202

Yassir Simba,Michuzi TV

Waziri Mkuu wa Ufaransa Edouardo Philippe ametangaza rasmi kwamba ligi kuu nchini humo Maarufu kama ligue 1 matukio yote ya kimichezo kwa mwaka 2019/2020 nchini humo yamefutwa rasmi.

Uamuzi huo wakufutwa kwa matukio yote ya kimichezo nchini Ufaransa umekuja mara baada ya nchi tofauti Duniani kukumbwa na Ugonjwa wa Corona unaosababishwa na virusi vya Covid 19 ambapo mnamo tarehe 12 March mwaka huu nchi tofauti Duniani ilisimamisha shughuli zote za kimichezo katika nchi...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Kwa nini Mombasa imeathirika zaidi na ugonjwa wa Covid-19?

Mji wa Mombasa ni miongoni mwa sehemu zenye waathirika wengi wa virusi vya corona Kenya, tatizo liko wapi?

 

5 years ago

Michuzi

TAARIFA KUTOKA KWA MKUU WA WILAYA YA KIGAMBONI KUHUSU KUONGEZA UDHIBITI WA UGONJWA WA CORONA (COVID-19)

Mkuu wa Wilaya ya Kigamboni,Bi.Sara Msafiri
 Ndg members katika kuongeza udhibiti wa COVID 19 ndani ya wilaya ya Kigamboni serikali inatekeleza mambo yafuatayo:-
 1. Kwenye Vivuko: 
- kuongeza kivuko kingine, kitaanza kufanya kazi wiki ijayo tarehe 22 April jumatano, Hivyo kutakuwa na jumla ya vivuko vitatu.
- Abiria hawatakusanywa tena kwenye jengo la kusubiria kivuko.
- Kila Abiria atalazimika kunawa mikono kama ilivyo awali.
- Kila abiria atalazimika kuvaa mask muda wote kwenye eneo na...

 

5 years ago

Michuzi

WAFANYAKAZI WA TAASISI YA MOYO JAKAYA KIKWETE WAPEWA MAFUNZO YA MARA KWA MARA KUHUSU UGONJWA WA CORONA (COVID – 19)




Afisa Muuguzi wa chumba cha upasuaji kutoka Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Aimana John akiwaelekeza wauguzi wenzake namna sahihi ya kunawa mikono kwa maji safi yanayotiririka na sabuni wakati wa mafunzo ya jinsi ya kupambana na ugonjwa wa Corona (COVID-19) yanayotolewa kwa wafanyakazi wa Taasisi hiyo.Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo...

 

5 years ago

Michuzi

COSTECH KUSIMAMIA RUZUKU YA KUPAMBANA NA UGONJWA CORONA (COVID-19)

RUZUKU ya zaidi ya shilingi bilioni 2 kusimamiwa na  Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia ya Tanzania (COSTECH) ili kufanikisha Uchunguzi, Kinga na Tiba ya ugonjwa wa Corona (COVID-19).
Hayo yamesemw na Mkurugenzi Mkuu wa  Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia ya Tanzania (COSTECH), Dk.Amos Nungu wakati akizungumza na waandishi wa habari kupitia mtandao wa video leo. Amesema kuwa uratibu wa fedha hizo ni sehemu ya majukumu ya Tume  hiyo ikiwa ni pamoja na  kutafuta rasilimali fedha...

 

5 years ago

Michuzi

WAANDISHI WA HABARI ARUSHA WAASWA KUONGEZA TAHADHARI YA UGONJWA WA CORONA (COVID-19).


Mratibu wa mtandao Habari za jamii za pembezoni(MAIPAC) Mussa Juma akiwa na Mkurugenzi wa taasisi ya CILAO, Odero Charles wakimkabidhi mwenyekiti wa chama cha waandishi wa habari mkoa Arusha,Claude Gwandu vifaa kinga dhidi ya Corona kwa waandishi wa habari lakini pia muongozo wa kufanyakazi kwa tahadhari kwa vyombo vya habari.

Na Vero Ignatus Arusha.

Waandishi wa habari mkoa wa Arusha, wametakiwa kuongeza tahadhari za kiafya katika kujikinga na maambukizi ya Covid -19 kwa kufuata maelekezo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani