TAARIFA KUTOKA WIZARA YA AFYA YATOA MAELEKEZO YA KUZINGATIWA KWA WASAFIRI WAKATI HUU WA UGONJWA WA CORONA (COVID-19).
![](https://1.bp.blogspot.com/-UJHIzwFSRUM/XoiZPYMPHLI/AAAAAAALmBE/ESAfZRyGGIwoNQ9-lAPo2MI_P4pyBNHVQCLcBGAsYHQ/s72-c/Umi_Mwalimu.jpg)
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-PbYp00ppVN0/XoScBSoq_sI/AAAAAAALlyo/T6kqRfhOTTEKZUc_07f_vKoNMkv21o0MgCLcBGAsYHQ/s72-c/Umi_Mwalimu.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-vzlvz6kBlfY/XqfiW9iAbKI/AAAAAAALobs/9oQz_YXr6iQ-3938_Ky3wWKIGzYL6kjlgCLcBGAsYHQ/s72-c/maxresdefault.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-GLDDPJXVlpk/Xs5vIx_5xWI/AAAAAAALrv4/maDgdDmF9zw9P3AG9yo1ponBdXtVikCagCLcBGAsYHQ/s72-c/213.jpg)
SMZA YAFAFANUA ILIVYOFANIKIWA KUKABILIANA KWA KIASI KIKUBWA NA CORONA,YATOA MAELEKEZO WIZARA YA ELIMU NA AFYA
Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imechukuwa uamuzi wa kulegeza baadhi ya mambo mambo kumi yaliyowekwa baada ya kufanikiwa kukabiliana kwa kiasi kikubwa na mripuko wa Virusi vya Coroma vilivyoleta mtafaruki katika Mataifa mbali mbali Duniani.Uamuzi huo wa SMZ Unaungana na ule uliochukuliwa na Serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania wa kuviruhusu Vyuo vyote vya Elimu ya juu kuendelea na Programu zao kama kawaida kwa upande wa Zanzibar kuanzia Tarehe 1 Juni 2020.Akitoa Taarifa ya Serikali...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-9-1mTnEFXdE/Xmy7zSis8sI/AAAAAAALjVw/NEW8M8K6aXI6guUthH2Z7HglaniJ4Lf3gCLcBGAsYHQ/s72-c/f7732e43-a835-48a7-ba3a-299ee5f97f08.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-uthbpFa3u0I/Xpwp_FIPJtI/AAAAAAALnaI/Y6rbI0xs0cUHkpC1_uea0VhmVxSzABctwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_3538.jpg)
TAARIFA KUTOKA KWA MKUU WA WILAYA YA KIGAMBONI KUHUSU KUONGEZA UDHIBITI WA UGONJWA WA CORONA (COVID-19)
![MICHUZI BLOG](https://1.bp.blogspot.com/-uthbpFa3u0I/Xpwp_FIPJtI/AAAAAAALnaI/Y6rbI0xs0cUHkpC1_uea0VhmVxSzABctwCLcBGAsYHQ/s640/IMG_3538.jpg)
Ndg members katika kuongeza udhibiti wa COVID 19 ndani ya wilaya ya Kigamboni serikali inatekeleza mambo yafuatayo:-
1. Kwenye Vivuko:
- kuongeza kivuko kingine, kitaanza kufanya kazi wiki ijayo tarehe 22 April jumatano, Hivyo kutakuwa na jumla ya vivuko vitatu.
- Abiria hawatakusanywa tena kwenye jengo la kusubiria kivuko.
- Kila Abiria atalazimika kunawa mikono kama ilivyo awali.
- Kila abiria atalazimika kuvaa mask muda wote kwenye eneo na...
5 years ago
Michuzi5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-TQCirbeO0MU/XnMyoEyvEPI/AAAAAAALkaE/149j_KgFnXEpgnEOOAQg066tEVI_ok3jQCLcBGAsYHQ/s72-c/37ab4138-e6de-4f0f-b57e-5b0bcddf18b7.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-z1IDrlqqm1s/XnpoNemX3NI/AAAAAAALk-Q/zKKHnfauX50hzWqLn6VO-GLFzoagNuPLgCLcBGAsYHQ/s72-c/52205520_303.jpg)
NI KWELI WATANZANIA KUNA CORONA... TUSIKILIZE MAELEKEZO YA VIONGOZI WA SERIKALI, WIZARA YA AFYA KUEPUKA KUENEA KWA MAAMBUKIZI
Na Said Mwishehe,Michuzi Globu ya jamii
TUMESHAAMBIWA hakuna sababu ya kutishana kuhusu ugonjwa wa Corona lakini tunahimizwa kuchukua tahadhari kwa kuepuka mikusanyiko isiyo ya lazima na kunawa mikono mara kwa mara.
Asante Rais Dk.John Magufuli kwa maelekezo na maagizo yako kwetu Watanzania katika kipindi hiki ambacho dunia inalia kuhusu Corona.Ugonjwa ambao ulianzia nchini China na kisha kusambaa nchi mbalimbali duniani.
Kwa Tanzania kama zilivyo nchini nyingine duniani nayo imekumbwa na...
TUMESHAAMBIWA hakuna sababu ya kutishana kuhusu ugonjwa wa Corona lakini tunahimizwa kuchukua tahadhari kwa kuepuka mikusanyiko isiyo ya lazima na kunawa mikono mara kwa mara.
Asante Rais Dk.John Magufuli kwa maelekezo na maagizo yako kwetu Watanzania katika kipindi hiki ambacho dunia inalia kuhusu Corona.Ugonjwa ambao ulianzia nchini China na kisha kusambaa nchi mbalimbali duniani.
Kwa Tanzania kama zilivyo nchini nyingine duniani nayo imekumbwa na...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania