Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TAARIFA KUTOKA WIZARA YA AFYA YATOA MAELEKEZO YA KUZINGATIWA KWA WASAFIRI WAKATI HUU WA UGONJWA WA CORONA (COVID-19).



Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

SMZA YAFAFANUA ILIVYOFANIKIWA KUKABILIANA KWA KIASI KIKUBWA NA CORONA,YATOA MAELEKEZO WIZARA YA ELIMU NA AFYA

Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imechukuwa uamuzi wa kulegeza baadhi ya mambo mambo kumi yaliyowekwa baada ya kufanikiwa kukabiliana kwa kiasi kikubwa na mripuko wa Virusi vya Coroma vilivyoleta mtafaruki katika Mataifa mbali mbali Duniani.Uamuzi huo wa SMZ Unaungana na ule uliochukuliwa na Serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania wa kuviruhusu Vyuo vyote vya Elimu ya juu kuendelea na Programu zao kama kawaida kwa upande wa Zanzibar kuanzia Tarehe 1 Juni 2020.Akitoa Taarifa ya Serikali...

 

5 years ago

Michuzi

TAARIFA KUTOKA KWA MKUU WA WILAYA YA KIGAMBONI KUHUSU KUONGEZA UDHIBITI WA UGONJWA WA CORONA (COVID-19)

Mkuu wa Wilaya ya Kigamboni,Bi.Sara Msafiri
 Ndg members katika kuongeza udhibiti wa COVID 19 ndani ya wilaya ya Kigamboni serikali inatekeleza mambo yafuatayo:-
 1. Kwenye Vivuko: 
- kuongeza kivuko kingine, kitaanza kufanya kazi wiki ijayo tarehe 22 April jumatano, Hivyo kutakuwa na jumla ya vivuko vitatu.
- Abiria hawatakusanywa tena kwenye jengo la kusubiria kivuko.
- Kila Abiria atalazimika kunawa mikono kama ilivyo awali.
- Kila abiria atalazimika kuvaa mask muda wote kwenye eneo na...

 

5 years ago

Michuzi

NI KWELI WATANZANIA KUNA CORONA... TUSIKILIZE MAELEKEZO YA VIONGOZI WA SERIKALI, WIZARA YA AFYA KUEPUKA KUENEA KWA MAAMBUKIZI

Na Said Mwishehe,Michuzi Globu ya jamii
TUMESHAAMBIWA hakuna sababu ya kutishana kuhusu ugonjwa wa Corona lakini tunahimizwa kuchukua tahadhari kwa kuepuka mikusanyiko isiyo ya lazima na kunawa mikono mara kwa mara.
Asante Rais Dk.John Magufuli kwa maelekezo na maagizo yako kwetu Watanzania katika kipindi hiki ambacho dunia inalia kuhusu Corona.Ugonjwa ambao ulianzia nchini China na kisha kusambaa nchi mbalimbali duniani.
Kwa Tanzania kama zilivyo nchini nyingine duniani nayo imekumbwa na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani