WIZARA YA AFYA YATOA TAARIFA RASMI YA WAGONJWA WAPYA WA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-TQCirbeO0MU/XnMyoEyvEPI/AAAAAAALkaE/149j_KgFnXEpgnEOOAQg066tEVI_ok3jQCLcBGAsYHQ/s72-c/37ab4138-e6de-4f0f-b57e-5b0bcddf18b7.jpg)
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-vzlvz6kBlfY/XqfiW9iAbKI/AAAAAAALobs/9oQz_YXr6iQ-3938_Ky3wWKIGzYL6kjlgCLcBGAsYHQ/s72-c/maxresdefault.jpg)
5 years ago
Michuzi5 years ago
Michuzi5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-PbYp00ppVN0/XoScBSoq_sI/AAAAAAALlyo/T6kqRfhOTTEKZUc_07f_vKoNMkv21o0MgCLcBGAsYHQ/s72-c/Umi_Mwalimu.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-UJHIzwFSRUM/XoiZPYMPHLI/AAAAAAALmBE/ESAfZRyGGIwoNQ9-lAPo2MI_P4pyBNHVQCLcBGAsYHQ/s72-c/Umi_Mwalimu.jpg)
9 years ago
Dewji Blog28 Dec
Wizara Afya yatoa taarifa ya hali ya Kipindupindu nchini
Waziri Ummy Mwalimu alizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusiana na hali ya kipindupindu nchini ambapo hadi sasa ni mikoa 21 ya Tanzania Bara imeathirika. Jumla ya watu 12,222 wameugua kipindupindu na kati yao watu 196 wameshafariki.
Baadhi ya waandishi wa habari wa vyombo mbalimbali wakimfuatilia waziri huyo(hayupo pichani) alipokuwa akitoa taarifa hiyo.Hata hivyo Waziri Ummy ameagiza kila wiki (jumatatu) wizara yake kutoa taarifa kwa vyombo vya habari kuhusu hali ya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-yenACPUK67w/XoX1Ii7w1XI/AAAAAAALl3o/i0R1Cg8T_ow0ihWSMzVW68werpBhsNMTACLcBGAsYHQ/s72-c/186ee907-c8b5-45fa-8f2b-46df74f47d24.jpg)
Wizara ya afya yatoa ufafanuzi maswali ya Wananchi kuhusu Corona
![](https://1.bp.blogspot.com/-yenACPUK67w/XoX1Ii7w1XI/AAAAAAALl3o/i0R1Cg8T_ow0ihWSMzVW68werpBhsNMTACLcBGAsYHQ/s640/186ee907-c8b5-45fa-8f2b-46df74f47d24.jpg)
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu amesema amekuwa akipokea maoni, maswali na ushauri kutoka kwa wananchi wakitaka kujua jitihada mbalimbali za Serikali za kukabiliana na homa kali ya mapafu na amewaagiza wataalamu wake kuanza kujibu maswali.
Waziri Ummy amesema maswali, maoni na ushauri huo unatoka kwa wananchi kupitia vyombo vya habari, mitandao ya kijamii na kituo cha wizara cha kupokea simu kuhusu ugonjwa wa homa ya...
5 years ago
BBCSwahili24 May
Idadi ya wagonjwa wa corona nchini Kenya yafikia 1,214 baada ya kutangazwa wagonjwa wapya 22
9 years ago
Dewji Blog28 Dec
Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto yatoa taarifa kuhusu hali ya Kipindupindu nchini
Waziri Ummy Mwalimu alizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusiana na hali ya kipindupindu nchini ambapo hadi sasa ni mikoa 21 ya Tanzania Bara imeathirika.Jumla ya watu 12,222 wameugua kipindupindu na kati yao watu 196 wameshafariki.
Baadhi ya waandishi wa habari wa vyombo mbalimbali wakimfuatilia waziri huyo(hayupo pichani) alipokuwa akitoa taarifa hiyo.Hata hivyo Waziri Ummy ameagiza kila wiki (jumatatu) wizara yake kutoa taarifa kwa vyombo vya habari kuhusu hali ya...