NI KWELI WATANZANIA KUNA CORONA... TUSIKILIZE MAELEKEZO YA VIONGOZI WA SERIKALI, WIZARA YA AFYA KUEPUKA KUENEA KWA MAAMBUKIZI
![](https://1.bp.blogspot.com/-z1IDrlqqm1s/XnpoNemX3NI/AAAAAAALk-Q/zKKHnfauX50hzWqLn6VO-GLFzoagNuPLgCLcBGAsYHQ/s72-c/52205520_303.jpg)
Na Said Mwishehe,Michuzi Globu ya jamii
TUMESHAAMBIWA hakuna sababu ya kutishana kuhusu ugonjwa wa Corona lakini tunahimizwa kuchukua tahadhari kwa kuepuka mikusanyiko isiyo ya lazima na kunawa mikono mara kwa mara.
Asante Rais Dk.John Magufuli kwa maelekezo na maagizo yako kwetu Watanzania katika kipindi hiki ambacho dunia inalia kuhusu Corona.Ugonjwa ambao ulianzia nchini China na kisha kusambaa nchi mbalimbali duniani.
Kwa Tanzania kama zilivyo nchini nyingine duniani nayo imekumbwa na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-GLDDPJXVlpk/Xs5vIx_5xWI/AAAAAAALrv4/maDgdDmF9zw9P3AG9yo1ponBdXtVikCagCLcBGAsYHQ/s72-c/213.jpg)
SMZA YAFAFANUA ILIVYOFANIKIWA KUKABILIANA KWA KIASI KIKUBWA NA CORONA,YATOA MAELEKEZO WIZARA YA ELIMU NA AFYA
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-UJHIzwFSRUM/XoiZPYMPHLI/AAAAAAALmBE/ESAfZRyGGIwoNQ9-lAPo2MI_P4pyBNHVQCLcBGAsYHQ/s72-c/Umi_Mwalimu.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-vXuhK-J8UBs/Xos_V780AYI/AAAAAAALmNI/KuSzMkweef0c007q-WxrU02pAYoYUgzJgCLcBGAsYHQ/s72-c/ETuTb43WoAEgbGG.jpg)
5 years ago
BBCSwahili10 Apr
Virusi vya corona: Hifadhi nyingi barani Afrika zafungwa kuepuka maambukizi kwa nyani
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-dAcZYyKP6PU/XrUxMlEBFqI/AAAAAAALpeI/IZ4Az6PNFEwwSrl7rSNyOebX8T_olb4VQCLcBGAsYHQ/s72-c/rr.jpg)
MAJAJI 125 WA MABARA MANNE DUNIANI WAFANYA MKUTANO KWA NJIA YA MTANDAO KUJADILI UTOAJI HAKI KWA TEHAMA KUEPUKA MAAMBUKIZI YA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-dAcZYyKP6PU/XrUxMlEBFqI/AAAAAAALpeI/IZ4Az6PNFEwwSrl7rSNyOebX8T_olb4VQCLcBGAsYHQ/s400/rr.jpg)
Na Magreth Kinabo-Mahakama
Majaji 125 kutoka katika mabara manne duniani wamefanya mkutano kwa njia ya mtandao kujadili jinsi ya kuendelea na shughuli za utoaji haki kwa kutumia Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) ili kuepuka kuenea kwa maambukizi ya virusi vya Corona vinavyosababisha ugonjwa homa ya mapafu (COVID 19).
Mkutano huo uliandaliwa na Shirika la Miliki Bunifu Duniani (WIPO) ambalo liko chini ya Umoja wa Mataifa (UN), uliofanyika Makao Makuu ya shirika hilo Geneva, kwa njia...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-dAcZYyKP6PU/XrUxMlEBFqI/AAAAAAALpeI/IZ4Az6PNFEwwSrl7rSNyOebX8T_olb4VQCLcBGAsYHQ/s72-c/rr.jpg)
MAJAJI 125 KUTOKA MABARA MANNE DUNIANI WAFANYA MKUTANO KWA NJIA YA MTANDAO KUJADILI UTOAJI HAKI KWA TEHAMA KUEPUKA MAAMBUKIZI YA CORONA (COVID-19)
![](https://1.bp.blogspot.com/-dAcZYyKP6PU/XrUxMlEBFqI/AAAAAAALpeI/IZ4Az6PNFEwwSrl7rSNyOebX8T_olb4VQCLcBGAsYHQ/s640/rr.jpg)
Na Magreth Kinabo-Mahakama
Majaji 125 kutoka katika mabara manne duniani wamefanya mkutano kwa njia ya mtandao kujadili jinsi ya kuendelea na shughuli za utoaji haki kwa kutumia Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) ili kuepuka kuenea kwa maambukizi ya virusi vya Corona vinavyosababisha ugonjwa homa ya mapafu (COVID 19).
Mkutano huo uliandaliwa na Shirika la Miliki Bunifu Duniani (WIPO) ambalo liko chini ya Umoja wa Mataifa (UN), uliofanyika Makao Makuu ya shirika hilo Geneva, kwa njia...
5 years ago
CCM BlogCHAMA CHA WATAALAM WA AFYA YA KINYWA NA MENO TANZANIA (TDA) CHATOA MAELEKEZO KWA WANACHAMA WAKE KUJIKINGA NA CORONA
Kwa sisi madaktari na wahudumu wa afya ya kinywa na meno tujikumbushe yafuatayo:
1. Kama ilivyo ada tuendelee kutumia vikinga maaambukizo kama mask, gloves, mawani, nk wakati tunahudumia wagonjwa...
5 years ago
BBCSwahili12 Apr
Virusi vya Corona: Maharusi wafunga ndoa mtandaoni kuepuka maambukizi
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-hPCdRGDV_yg/XntvPkMRSlI/AAAAAAALlBM/nNW039d0bC0pAoQjjDFeRYn5NOaeENaWgCLcBGAsYHQ/s72-c/Court-1.jpg)
Kuepuka maambukizi ya Corona mawakili sasa kuwasiliana na wateja wao kupitia Luninga
![](https://1.bp.blogspot.com/-hPCdRGDV_yg/XntvPkMRSlI/AAAAAAALlBM/nNW039d0bC0pAoQjjDFeRYn5NOaeENaWgCLcBGAsYHQ/s640/Court-1.jpg)
Hakimu Mkazi Mwandamizi, Mfawidhi wa mahakama hiyo Godfrey Isaya amesema hayo leo Machi 25, 2020 alipokuwa akisiliza kesi ya uhujumu uchumi namba 8 ya mwaka 2020 kwa njia ya video...