Virusi vya corona: Hifadhi nyingi barani Afrika zafungwa kuepuka maambukizi kwa nyani
Haijulikani kama nyani hao wanaweza kuambukizwa virusi vya corona, lakini kuna wasiwasi kuwa wanyama hao wanaweza kuwa hatarini sawa na binaadamu.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili12 Apr
Virusi vya Corona: Maharusi wafunga ndoa mtandaoni kuepuka maambukizi
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-lk_J7fF17gI/Xrg7Bpq1M1I/AAAAAAALprs/GXTFuwX_dLUBMpjuNDMrZFYU_gMiBrXZwCLcBGAsYHQ/s72-c/RTS32VL3.jpg)
LICHA YA KUWA NA MAAMBUKIZI YA VVU KWA ASILIMIA 25.00, LESOTHO NI NCHI PEKEE AFRIKA AMBAYO HAIJAKUMBWA NA VIRUSI VYA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-lk_J7fF17gI/Xrg7Bpq1M1I/AAAAAAALprs/GXTFuwX_dLUBMpjuNDMrZFYU_gMiBrXZwCLcBGAsYHQ/s400/RTS32VL3.jpg)
HADI sasa Lesotho haijatangaza kisa cha maambukizi ya homa ya mapafu inayosababishwa na virusi vya Corona (Covid-19) licha ya majirani zao Afrika kusini kuwa na kesi za Covid-19 zaidi ya elfu saba na vifo zaidi ya mia moja, pia Lesotho inakua nchi pekee kati nchi 54 barani Afrika ambayo haijaripoti maambukizi ya virusi hivyo ila nchi hiyo imeendelea kuchukua hatua kadhaa ikiwa ni pamoja na kufunga, mipaka, vyuo, shule pamoja na shughuli nyingine...
5 years ago
BBCSwahili13 Jun
Virusi vya corona: Changamoto za gharama ya intaneti barani Afrika
5 years ago
BBCSwahili01 May
Virusi vya corona: Wabunge wa Chadema wajiweka karantini kuepuka kusambaa kwa virusi.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-cBMpM1U1kDE/XoDwzP0xDYI/AAAAAAALlgM/pdlPChtE8AgihH2aLGOIVCNw_E5ydcytQCLcBGAsYHQ/s72-c/4bv7a3c8b641331m6uv_800C450.jpg)
WHO: Zaidi ya watu 2,600 wameambukizwa virusi vya corona barani Afrika
![](https://1.bp.blogspot.com/-cBMpM1U1kDE/XoDwzP0xDYI/AAAAAAALlgM/pdlPChtE8AgihH2aLGOIVCNw_E5ydcytQCLcBGAsYHQ/s640/4bv7a3c8b641331m6uv_800C450.jpg)
Tedros Adhanom Ghebreyesus ameviambia vyombo vya habari kwamba, idadi ya watu walioambukizwa virusi vya corona barani Afrika imefikia 2,650 na kwamba wagonjwa wasiopungua 49 miongoni mwao wameaga dunia.
Katibu Mkuu wa Shirika la Afya Duniani amesema kuwa, shirika hilo liko tayari kuzisaidia nchi zote za Afrika na kuongeza kuwa: Nchi zenye mifumo dhaifu ya...
5 years ago
BBCSwahili23 Apr
Virusi vya Corona: Wanamichezo barani Afrika wapata maumivu ya kiuchumi
5 years ago
BBCSwahili11 Jun
Virusi vya corona: WHO yasema maambukizi 'yanaongezeka' Afrika
10 years ago
Dewji Blog17 Jun
Asilimia 73 ya maambukizi ya Virusi Vya Ukimwi (VVU) yanayotokea miongoni mwa vijana Barani Afrika huwapata wasichana — Mama Kikwete
Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akielekea kwenye ukumbi wa mkutano wa Sandton International Center uliofanyika mkutano wa wake wa Marais na Wakuu wa Nchi za Afrika huko Johannesburg nchini Afrika Kusini tarehe 15.6.2015. Aliyefuatana na Mama Salma ni Mwenyekiti wa OAFLA anayemaliza muda wake Mama Hinda Derby Itno.(PICHA NA JOHN LUKUWI).
Na Anna Nkinda – Johannesburg, Afrika ya Kusini
Asilimia 73 ya maambukizi ya Virusi Vya Ukimwi (VVU) yanayotokea miongoni mwa vijana Barani Afrika huwapata...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-_otPAJgKXNY/VX9TGr9-pxI/AAAAAAAHf1M/Y0GVdwXCzVg/s72-c/unnamed%2B%252810%2529.jpg)
Asilimia 73 ya maambukizi ya Virusi Vya Ukimwi (VVU) yanayotokea miongoni mwa vijana Barani Afrika huwapata wasichana - Mama Salma Kikwete