Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Virusi vya corona: Kwa nini Mombasa imeathirika zaidi na ugonjwa wa Covid-19?

Mji wa Mombasa ni miongoni mwa sehemu zenye waathirika wengi wa virusi vya corona Kenya, tatizo liko wapi?

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Kwa nini ugonjwa huo ni hatari zaidi kwa wanaume zaidi ya wanawake

Wanaume wengi wamekutwa na ugonjwa huo zaidi na wanaonekana kupatwa na maafa mabaya.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Kwa nini Wamarekani weusi wameathirika zaidi na virusi?

Jijini Chicago asilimia 68 ya waliofariki kutokana na corona ni Wamarekani weusi.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona:Daktari mkuu wa aonya kuhusu uwezekano wa kusambaa zaidi kwa Covid-19 Marekani

The US's top infectious diseases doctor warns senators of the risks of reopening too soon.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Marekani yarekodi vifo vingi zaidi vya virusi vya corona kwa siku

Marekani imerekodi vifo vingi vya ugonjwa wa virusi vya corona kwa siku huku watu 1,736 wakifariki siku ya Jumanne.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Dunia ilivyokosa fursa ya kupata chanjo ya ugonjwa wa Covid-19

Mwaka 2002, mji wa China wa Guangzhou, kirusi kisichojulikana kilisababishwa mlipuko wa ugonjwa mbaya ambao wanasayansi waliupatia jina la SARS linalomaanisha ugonjwa wa matatizo ya kupumua.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Kenya yatangaza visa 28 zaidi vya maambukizi ya Covid-19

Idadi ya maambukizi ya virusi vya corona nchini Kenya imepanda hadi kufikia jumla ya watu 649 Jumamosi, baada ya kutangazwa kwa matokeo chanya vya virusi katika sampuli za watu 28 miongoni mwa waliopimwa.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Kwa nini ni muhimu kupima virusi vya corona?

Kila nchi imeonekana ikikabiliana na mlipuko wa virusi vya corona kwa namna yake ,lakini yawezekana kuwa suala la kila mtu kupima virusi vya corona ni muhimu na kila nchi kuzingatia hilo.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Kwa nini popo wamekuwa wakilaumiwa kueneza virusi

Kumekuwa na wito wa kuwaua katika baadhi ya mataifa

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Jifahamishe kwa nini ni vigumu kutibu magonjwa ya virusi ikilinganishwa na yale ya bakteria

Tunapokutwa na kikohozi , pua inayotoka makamasi, joto mwilini, na maumivu ya misuli, hutembelea katika kituo cha afya ili kupata tiba ya haraka.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani