Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DAR ES SALAAM LIVE: Kamera ya Modewjiblog ipo mtaani ikikusanyia matukio mbalimbali pichani!

DSC_1346

Taswira ya jengo la Golden Jubilee linavyoonekana kwa mbali katikati ya jiji kama lilivyopigwa picha na mwandishi wa mtandao huu. ( Picha zote na Andrew Chale, Modewjiblog).

DSC_2525

DSC_2526

Moja ya wachuuzi wa vinywaji akikatiza katika moja ya maeneo ya jirani na ofisi za Habari Maelezo…

DSC_1199

DSC_1200

DSC_1334

DSC_1329

DSC_1318

DSC_1343

DSC_1340

DSC_1286

DSC_1273

Kijiwe maalufu cha wazee wa Mjini ambacho watu mbalimbali wakiwemo wanasiasa, wanahabari, wanasheria na watu wengine wamekuwa wakipatikana hapo na kupiga stori mbili tatu.

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

Matukio mbalimbali pichani wakati wa Mkutano wa ufunguzi wa kampeni za CCM Jangwani leo

IMG_0256Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Jakaya Kikwete (kulia) akizungumza na Makamu wake, Gharib Bilal (Kushoto) katikati ni Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Dk. Ali Mohammed Shein.

Mgombea urais kwa tiketi ya CCM, John Pombe Magufuli akiwasalimia Wana-CCM waliofika viwanjani hapo.

Katibu wa Itikiadi na Uenezi, Nape Nnauye akiamsha shamrashamra.

Malkia wa Taarab, Khadija Kopa akitumbuiza sambamba na bendi ya TOT.

Wasanii wa Bongo Muvi, Wema Sepetu na Batuli wakiingia...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Dar kufungwa kamera za matukio

RAIS Jakaya Kikwete, amesema kuanzia Juni mwakani kila kinachofanyika katika jiji la Dar es Salaam kinaonekana katika mitambo itakayokuwapo kila mahali. Alisema kutokana na kufungwa kwa mitambo hiyo waharibifu wa...

 

10 years ago

Michuzi

MATUKIO PICHANI

 Picha ya pamoja Naibu Mtendaji Mkuu wa Benki M, Bi. Jacqueline Woiso (kushoto), akijaribu kumvika Joho la Heshima, Mwakilishi wa Kampuni ya Tanga Fresh, Bw. Douglas Kakere, wakati wa chakula cha usiku kupongeza makampuni 100 ya kati, Dar es Salaam juzi.   Naibu Mtendaji Mkuu wa Benki M, Bi. Jacqueline Woiso (wa tatu kushoto), akikadhi Tuzo maalumu kwa mwakilishi wa Kampuni ya Tanga Fresh, Bw. Douglas Makere, baada ya kumvika Joho la heshima kutambua mchango wa kampuni hiyo, wakati wa...

 

11 years ago

GPL

KAMERA YA GLOBAL ILIVYOJICHIMBIA SEHEMU MBALIMBALI JIJINI DAR

Mhubiri wa kidini aliyejulikana kama Hosea Cha Mungu akihubiri sehemu za Ubungo ambako alidai aliwahi kukutana na mwigizaji, marehemu Steven Kanumba huko Lagos, Nigeria kabla hajafa. Wasikilizaji wa hotuba ya Cha Mungu wakionyeshwa baadhi ya picha za wafuasi wa madhehebu ya Freemason.…

 

9 years ago

Dewji Blog

Modewjiblog live:Fainali za Bongo Star Search 2015 ndani ya King Solomoni Hall Dar!

DSC_2743

Eneo la jukwaa litakalowasha moto kwa washiriki sita walioingua fainali za Bongo Star Search (BSS 2015) hii ni muda huu mtandao wako wa www.modewjiblog.com tukiwa moja kwa moja tukikuletea matukjio yote ‘LIVE’. (Picha zote na Andrew Chale, modewjiblog).

DSC_2622

Rommy Jones akifanya mahojiano na watu mbalimbali wanaendelea kuingia ndani ya ukumbi wa King Solomon kunakofanyika fainali za BSS 2015 kwa washiriki sita waliobakia ambao mmoja wapo anaibuka  na kitita kinono…

DSC_2634

DSC_2627

DSC_2637

DSC_2640

DSC_2682

DSC_2690

Wadada warembo wa...

 

10 years ago

GPL

KAMERA YA GPL MTAANI

Jamaa akiwa kaning’inia nyuma ya daladala.…

 

11 years ago

GPL

KAMERA YETU MTAANI

Hapa ni sokoni Tandale. Wachuuzi wakifanya biashara katika soko la Tandale. Mishemishe…

 

11 years ago

GPL

KAMERA YA GLOBAL INAPOVINJARI MITAA YA DAR ES SALAAM

Eneo lililojaa taka ambalo ni moja ya njia wanazotumia wananchi wa sehemu za Yombo-Kilakala. Hii ni sehemu iliyoathiriwa na maji ya mvua sehemu za Yombo. Tatizo la foleni…

 

11 years ago

GPL

MATUKIO MBALIMBALI JIJINI DAR

Hii ni ajali iliotokea maeneo ya Magomeni- Moroco, jijini Dar. Ilihusisha pikipiki na gari hali ambayo ilisababisha foleni kubwa ya magari mengine. Mashabiki wa mpira wa miguu wakinunua tiketi za mechi ya Yanga dhidi ya Al Ahly toka Cairo Misri pembeni mwa kituo cha Uwanja wa Taifa, jijini Dar.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani