DAR ES SALAAM LIVE: Kamera ya Modewjiblog ipo mtaani ikikusanyia matukio mbalimbali pichani!
Taswira ya jengo la Golden Jubilee linavyoonekana kwa mbali katikati ya jiji kama lilivyopigwa picha na mwandishi wa mtandao huu. ( Picha zote na Andrew Chale, Modewjiblog).
Moja ya wachuuzi wa vinywaji akikatiza katika moja ya maeneo ya jirani na ofisi za Habari Maelezo…
Kijiwe maalufu cha wazee wa Mjini ambacho watu mbalimbali wakiwemo wanasiasa, wanahabari, wanasheria na watu wengine wamekuwa wakipatikana hapo na kupiga stori mbili tatu.
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog24 Aug
Matukio mbalimbali pichani wakati wa Mkutano wa ufunguzi wa kampeni za CCM Jangwani leo
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Jakaya Kikwete (kulia) akizungumza na Makamu wake, Gharib Bilal (Kushoto) katikati ni Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Dk. Ali Mohammed Shein.
Mgombea urais kwa tiketi ya CCM, John Pombe Magufuli akiwasalimia Wana-CCM waliofika viwanjani hapo.
Katibu wa Itikiadi na Uenezi, Nape Nnauye akiamsha shamrashamra.
Malkia wa Taarab, Khadija Kopa akitumbuiza sambamba na bendi ya TOT.
Wasanii wa Bongo Muvi, Wema Sepetu na Batuli wakiingia...
10 years ago
Tanzania Daima02 Oct
Dar kufungwa kamera za matukio
RAIS Jakaya Kikwete, amesema kuanzia Juni mwakani kila kinachofanyika katika jiji la Dar es Salaam kinaonekana katika mitambo itakayokuwapo kila mahali. Alisema kutokana na kufungwa kwa mitambo hiyo waharibifu wa...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-oFAppGlL5Lw/VH6Eft7GgKI/AAAAAAACvvw/7hEkGXE50HQ/s72-c/DSC_5972.jpg)
MATUKIO PICHANI
![](http://2.bp.blogspot.com/-oFAppGlL5Lw/VH6Eft7GgKI/AAAAAAACvvw/7hEkGXE50HQ/s1600/DSC_5972.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-VtUuanMPuV0/VH6Efx91jnI/AAAAAAACvvo/TDHKFUNoKB4/s1600/JACLINE.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-nUbFB2_ggNY/VH6EiFxEg5I/AAAAAAACvwA/89VPGnUURqI/s1600/TOP%2B100%2Bone.jpg)
11 years ago
GPLKAMERA YA GLOBAL ILIVYOJICHIMBIA SEHEMU MBALIMBALI JIJINI DAR
9 years ago
Dewji Blog09 Oct
Modewjiblog live:Fainali za Bongo Star Search 2015 ndani ya King Solomoni Hall Dar!
Eneo la jukwaa litakalowasha moto kwa washiriki sita walioingua fainali za Bongo Star Search (BSS 2015) hii ni muda huu mtandao wako wa www.modewjiblog.com tukiwa moja kwa moja tukikuletea matukjio yote ‘LIVE’. (Picha zote na Andrew Chale, modewjiblog).
Rommy Jones akifanya mahojiano na watu mbalimbali wanaendelea kuingia ndani ya ukumbi wa King Solomon kunakofanyika fainali za BSS 2015 kwa washiriki sita waliobakia ambao mmoja wapo anaibuka na kitita kinono…
Wadada warembo wa...
10 years ago
GPL11 years ago
GPLKAMERA YETU MTAANI
11 years ago
GPLKAMERA YA GLOBAL INAPOVINJARI MITAA YA DAR ES SALAAM
11 years ago
GPLMATUKIO MBALIMBALI JIJINI DAR