Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Matukio mbalimbali pichani wakati wa Mkutano wa ufunguzi wa kampeni za CCM Jangwani leo

IMG_0256Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Jakaya Kikwete (kulia) akizungumza na Makamu wake, Gharib Bilal (Kushoto) katikati ni Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Dk. Ali Mohammed Shein.

Mgombea urais kwa tiketi ya CCM, John Pombe Magufuli akiwasalimia Wana-CCM waliofika viwanjani hapo.

Katibu wa Itikiadi na Uenezi, Nape Nnauye akiamsha shamrashamra.

Malkia wa Taarab, Khadija Kopa akitumbuiza sambamba na bendi ya TOT.

Wasanii wa Bongo Muvi, Wema Sepetu na Batuli wakiingia...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Vijimambo

MKUTANO WA UFUNGUZI WA KAMPENI YA CCM JANGWANI JIJINI DAR

Umati wa wanachama wa CCM wakiwa katika mkutano huo.Screen kubwa iliyofungwa jukwaani kwa ajili ya kutoa matukio live kwa walio mbali.Bendera za CCM zikiwa zimezunguka uwanjani hapo.Wanachama wa CCM wakishangilia mara baada ya kuwasili Jangwani.Wana CCM wakiingia kwa mbwebwe uwanjani.Bango kubwa la mgombea urais kupitia CCM, John Magufuli likiwa pembezoni mwa viwanja vya Jangwani.Wanachuo mbalimbali wakiingia viwanja vya Jangwani.Msululu wa wanachama wa CCM wakiingia uwanjani.  Picha kwa...

 

9 years ago

Dewji Blog

DAR ES SALAAM LIVE: Kamera ya Modewjiblog ipo mtaani ikikusanyia matukio mbalimbali pichani!

DSC_1346

Taswira ya jengo la Golden Jubilee linavyoonekana kwa mbali katikati ya jiji kama lilivyopigwa picha na mwandishi wa mtandao huu. ( Picha zote na Andrew Chale, Modewjiblog).

DSC_2525

DSC_2526

Moja ya wachuuzi wa vinywaji akikatiza katika moja ya maeneo ya jirani na ofisi za Habari Maelezo…

DSC_1199

DSC_1200

DSC_1334

DSC_1329

DSC_1318

DSC_1343

DSC_1340

DSC_1286

DSC_1273

Kijiwe maalufu cha wazee wa Mjini ambacho watu mbalimbali wakiwemo wanasiasa, wanahabari, wanasheria na watu wengine wamekuwa wakipatikana hapo na kupiga stori mbili tatu.

 

9 years ago

Vijimambo

ILIKUA NI FUNGA KAZI MKUTANO WA CCM JANGWANI LEO

 Mwenyekiti wa CCM Taifa, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Jakaya Mrisho Kikwete akihutubia  wakazi wa jiji la Dar es Salaam kwenye mkutano wa kampeni za Chama Cha Mapinduzi.  Mwenyekiti wa CCM Taifa, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Jakaya Mrisho Kikweteakimnadi mgombea wa urais wa CCM Dk. John Pombe Magufuli kwenye mkutano mkubwa wa kampeni za CCM uliofanyika kwenye viwanja vya Jangwani Dar es Salaam. Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akihutubia...

 

9 years ago

Dewji Blog

Kumekucha uzinduzi wa Kampeni za Uchaguzi Mkuu CCM, Viwanja vya Jangwani leo

dafKatibu Muenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mkoa wa Dar es Salaam, Ramadhan Juma ‘Gadafi’ akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari ofisi kwake uliofanyika mapema Agosti 22, kuhusu kukamilika kwa maandalizi ya uzinduzi wa mkutano wa kampeni za uchaguzi mkuu wa chama hicho utaofanyika leo viwanja vya Jangwani jijini Dar es Salaam.

Na Dotto Mwaibale   CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Dar es Salaam kimetangaza ratiba ya uzinduzi wa kampeni za uchaguzi wa chama hicho utakaofanyika leo...

 

9 years ago

Michuzi

MAMIA WAJITOKEZA KATIKA UFUNGUZI WA KAMPENI ZA UCHAGUZI MKUU ZA CHAMA CHA CCM LEO

Mzee akiwa amevaa Picha ya Mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,John Magufuli leo katika viwanja vya Jangwani jijini Dar es Salaam.



Wiliam ngereja ajitokeza katika kumunga mkono Magufuli katika ufunguzi wa Kampeni leo jijini Dar es Salaam.Vijana wakiwa wamebebana ili waweze kuona mbele katika ufunguzi wa kampeni za chama cha mapinduzi leo katika viwanja vya Jangwani  jijini Dar es Salaam. Furaha imetawala kwenye mioyo ya wanaCCM kama inavyoonekana kwenye taswira yetu hapo...

 

9 years ago

Michuzi

CHATO YAZIZIMA WAKATI MAELFU WAKIHUDHURIA MKUTANO WA KAMPENI WA DKT. MAGUFULI LEO

 Mgombea Urais kwa tiketi ya CCM Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akiwasili katika uwanja wa Shule ya Sekondari ya Chato mkoani Geita tayari kuhutubia mkutano wa kampeni uliohudhuriwa na mamia ya wananchi muda huu.  Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akisalimia  katika uwanja wa Shule ya Sekondari ya Chato mkoani Geita tayari kuhutubia mkutano wa kampeni uliohudhuriwa na mamia ya wananchi muda huu.  Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akisalimia katika uwanja wa Shule ya Sekondari ya Chato mkoani...

 

9 years ago

Vijimambo

KAMPENI ZA CCM ZAPAMBA MOTO,MWIGULU,LOVENESS MAMUYA WASHIRIKI UFUNGUZI WA KAMPENI KISESA-MEATU

Mwigulu Nchemba na Mgombea Ubunge Jimbo la Kisesa-Meatu Ndg.Mpina wakiwasili Uwanja wa Mkutano hii leo wakati wa Ufunguzi wa kampeni katika Jimbo hilo.Mapokezi ya Mgombea Ubunge Jimbo la kisesa wakati wa Mkutano wa kufungua kampeni za Ubunge na Udiwani hii leo.Mwigulu NChemba akisalimiana na Wananchi wa Kisesa hii leo alipokwenda kufanya ufunguzi wa kampeni katika Jimbo hilo.Makada wa chama cha Mapinduzi wakifuatilia Mkutano wa Kufungua Kampeni Jimbo la Kisesa.Kada Mtiifu wa Chama cha...

 

9 years ago

Vijimambo

ANGALIA LIVE MKUTANO WA UFUNGUZI WA KAMPENI UKAWA

Watch live streaming video from chademamedia at livestream.com

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani