Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MKUTANO WA UFUNGUZI WA KAMPENI YA CCM JANGWANI JIJINI DAR

Umati wa wanachama wa CCM wakiwa katika mkutano huo.Screen kubwa iliyofungwa jukwaani kwa ajili ya kutoa matukio live kwa walio mbali.Bendera za CCM zikiwa zimezunguka uwanjani hapo.Wanachama wa CCM wakishangilia mara baada ya kuwasili Jangwani.Wana CCM wakiingia kwa mbwebwe uwanjani.Bango kubwa la mgombea urais kupitia CCM, John Magufuli likiwa pembezoni mwa viwanja vya Jangwani.Wanachuo mbalimbali wakiingia viwanja vya Jangwani.Msululu wa wanachama wa CCM wakiingia uwanjani.  Picha kwa...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

Matukio mbalimbali pichani wakati wa Mkutano wa ufunguzi wa kampeni za CCM Jangwani leo

IMG_0256Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Jakaya Kikwete (kulia) akizungumza na Makamu wake, Gharib Bilal (Kushoto) katikati ni Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Dk. Ali Mohammed Shein.

Mgombea urais kwa tiketi ya CCM, John Pombe Magufuli akiwasalimia Wana-CCM waliofika viwanjani hapo.

Katibu wa Itikiadi na Uenezi, Nape Nnauye akiamsha shamrashamra.

Malkia wa Taarab, Khadija Kopa akitumbuiza sambamba na bendi ya TOT.

Wasanii wa Bongo Muvi, Wema Sepetu na Batuli wakiingia...

 

9 years ago

Michuzi

Uzinduzi wa Kampeni za CCM Jumapili viwanja vya Jangwani jijini Dar es Salaam

 Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Marais Wastaafu Alhaj Ali Hassan Mwinyi na Mhe Benjamin William Mkapa wakimnadi mgombea Urais kupitia tiketi ya CCM Dkt John Pombe Magufuli wakati wa mkutano wa hadhara uliovutia umati uliovunja rekodi kwa wingi katika viwanja vya Jangwani jijini Dar es alaam Jumapili Mgombea wa Urais kupitia CCM Dkt John Pombe Magufuli akiwa na Rais Kikwete na Rais Shein pamoja na Marais wastaafu Alhaj Ali Hassan Mwinyi na Mzee Benjamin William Mkapa Waziri...

 

10 years ago

Vijimambo

MKUTANO WA UKAWA JANGWANI JIJINI DAR

Wananchi walijitokeza katika mkutano wa Ukawa leo katika Viwanja vya Jangwani muda huu.Wananchi wakiendelea kuwasikiliza viongozi mbalimbali wa Ukawa hawapo pichani.

 

9 years ago

Michuzi

UKAWA WALIPOZINDUA KAMPENI ZAO JANGWANI JIJINI DAR

Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungani wa Tanzania katika mwamvuli wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa pamoja na Mgombea mwenza, Mh. Juma Duni Haji wakiwasili kwenye viwanja vya Jangwani Jijini Dar es salaam, kulikofanyika Mkutano wa Uzinduzi wa Kampeni za Chama hicho, leo Agosti 29, 2015. PICHA ZOTE NA OTHMAN MICHUZI. Umati wa wakazi wa Jijini Dar es salaam, ukiwa umefurika kwa wingi kwenye viwanja vya Jangwani kuwalaki Mgombea Urais wa Jamhuri ya...

 

9 years ago

CHADEMA Blog

MKUTANO WA MWISHO WA KAMPENI YA URAIS WA UKAWA KATIKA VIWANJA VYA JANGWANI DAR ES SALAAM.

Mgombea Urais kupitia Umoja wa Katiba ya Wananchi UKAWA Ndugu Edward Ngoyai Lowassa akihutubia mamia ya wananchi waliohudhuria mkutano mkubwa wa kufunga kampeni za Urais uliofanyika katika viwanja vya Jangwani Dar es salaam. Pichani kutoka kushoto Mwenyekiti mwenza wa UKAWA Mh Freeman Mbowe, Mgombea Urais wa Jamhuri ya Mungano wa Tanzania Mh Edward Lowassa na Mgombea urais wa Zanzibar Mh

 

10 years ago

GPL

TASWIRA ZA MKUTANO WA UKAWA JANGWANI JIJINI DAR

Wananchi walijitokeza katika mkutano wa Ukawa leo katika Viwanja vya Jangwani muda huu. Wananchi wakiendelea kuwasikiliza viongozi mbalimbali wa Ukawa hawapo pichani. (PICHA NA…

 

11 years ago

Michuzi

ufunguzi wa mkutano wa bodi ya wakandarasi jijini dar leo


MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Mecky Sadick akifurahia jambo wakati akifungua mkutano wa Bodi ya Wakandarasi Nchini (CRB) na wadau wa manispaa tatu za Jiji la Dar es Salaam. Kulia ni Msajili wa Bodi ya CRB, Boniface Muhegi na kushoto ni Makamu Mwenyekiti wa Bodi hiyo, Joseph Tango.

MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Mecky Sadick, akibadilishana mawazo na Msajili wa Bodi ya Wakandarasi Nchini (CRB), Boniface Muhegi na Makamu Mwenyekiti wa Bodi hiyo Joseph Tango, mara baada ya kufungua...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani