MAMIA WAJITOKEZA KATIKA UFUNGUZI WA KAMPENI ZA UCHAGUZI MKUU ZA CHAMA CHA CCM LEO
Mzee akiwa amevaa Picha ya Mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,John Magufuli leo katika viwanja vya Jangwani jijini Dar es Salaam.
Wiliam ngereja ajitokeza katika kumunga mkono Magufuli katika ufunguzi wa Kampeni leo jijini Dar es Salaam.
Vijana wakiwa wamebebana ili waweze kuona mbele katika ufunguzi wa kampeni za chama cha mapinduzi leo katika viwanja vya Jangwani jijini Dar es Salaam.
Furaha imetawala kwenye mioyo ya wanaCCM kama inavyoonekana kwenye taswira yetu hapo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/08/234.jpg)
WANANCHI WAJITOKEZA KATIKA UFUNGUZI WA KAMPENI ZA CCM
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/08/234.jpg)
WANANCHI WAJITOKEZA KATIKA UFUNGUZI WA KAMPENI ZA CCM
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-mQfMCDgzMr8/VfCHGRwJLdI/AAAAAAAABZc/ij85FjltuI0/s72-c/OTH_8572.jpg)
LOWASSA, DUNI WAHUDHULIA UFUNGUZI WA KAMPENI ZA CHAMA ZA CUF, ZANZIBAR LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-mQfMCDgzMr8/VfCHGRwJLdI/AAAAAAAABZc/ij85FjltuI0/s640/OTH_8572.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-_PHrodPSVJo/VfCHGq1dAFI/AAAAAAAABZY/W0N3IKPvRRI/s640/OTH_8577.jpg)
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NEbifnOqun0WhdfHjNLfO5wWbjefCXuyksJLsuYTUAK53-4xsJTWfTrBQUo0JMy3McC*HnRNgl*XDMeblTE-jAdGI9-ayZAV/CCMCOLOUR.jpg)
9 years ago
Vijimambo30 Aug
HOTUBA YA MGOMBEA URAIS KUPITIA CHAMA CHA CHADEMA NA UKAWA MH. EDWARD NGOYAI LOWASSA YA KUZINDUA ILANI NA KAMPENI YA UCHAGUZI MKUU
![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/08/ilani-620x308.jpg)
Hotuba ya Lowassa
Jangwani, Dar-es-Salaam, 29 AGOSTI 2015
Ndugu Wana Dar es salaam na Watanzania wenzangu
Leo ni siku ya kihistoria. Baada ya miaka ishirini na tano tangu mfumo wa vyama vingi urejeshwe, vyama vya upinzani wa CHADEMA, CUF, NCCR na NLD umeungana chini ya Umoja wa Katiba ya Wananchi kupigania uchaguzi mkuu wa mwaka huu na kuwa na mgombea mmoja katika ngazi zote.
Miaka zaidi ya hamsini ya...
9 years ago
Dewji Blog23 Aug
Kumekucha uzinduzi wa Kampeni za Uchaguzi Mkuu CCM, Viwanja vya Jangwani leo
Katibu Muenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mkoa wa Dar es Salaam, Ramadhan Juma ‘Gadafi’ akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari ofisi kwake uliofanyika mapema Agosti 22, kuhusu kukamilika kwa maandalizi ya uzinduzi wa mkutano wa kampeni za uchaguzi mkuu wa chama hicho utaofanyika leo viwanja vya Jangwani jijini Dar es Salaam.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-wRjuskl6Pb4/XtpSVZmsEMI/AAAAAAALsu8/8f19Qk88oYMdqqZ3b79pKQsSjlKgKlAdACLcBGAsYHQ/s72-c/d32e6306-498a-4f80-ad70-665a26fdf56a.jpg)
RAIS DKT MAGUFULI AFUNGUA MKUTANO MKUU UCHAGUZI WA CHAMA CHA WALIMU TANZANIA CWT KATIKA UWANJA WA JAMHURI MJINI DODOMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-wRjuskl6Pb4/XtpSVZmsEMI/AAAAAAALsu8/8f19Qk88oYMdqqZ3b79pKQsSjlKgKlAdACLcBGAsYHQ/s640/d32e6306-498a-4f80-ad70-665a26fdf56a.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/f994c205-9286-4e75-90d6-eda3022ac964.jpg)
5 years ago
MichuziCHAMA CHA NCCR-MAGEUZI WAPO TEYARI KUSHIRIKIANA NA CHAMA CHOCHOTE KATIKA UCHAGUZI WA 2020
Na Avila Kakingo, Globu ya JamiiCHAMA cha NCCR-Mageuzi kipo tayari kushirikiana na chama chochote kwa kuzingatia maslahi ya mapana ya Tanzania nakuzingatia utaratibu unaokubalika kikatiba na kisheria katika mchakato wote wa kushiriki uchaguzi Mkuu wa 2020.
Hayo yamesemwa na Mwenyekiti wa chama cha NCCR-Mageuzi, James Mbatia jijini Dar es Salaam leo wakati akizungumza na waandishi wa...