LOWASSA, DUNI WAHUDHULIA UFUNGUZI WA KAMPENI ZA CHAMA ZA CUF, ZANZIBAR LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-mQfMCDgzMr8/VfCHGRwJLdI/AAAAAAAABZc/ij85FjltuI0/s72-c/OTH_8572.jpg)
Mgombea Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa, akisalimiana na Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi CUF - Zanzibar, Nassor Mazrui, wakati akiwasili katika Mkutano wa Uzinduzi wa Kampeni za Chama hicho, zilizofanyika kwenye Uwanja wa Demokrasia, Kibanda Maiti, Zanzibar leo Septemba 9, 2015.PICHA NA OTHMAN MICHUZI, ZANZIBAR
Mgombea Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa,...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-mQfMCDgzMr8/VfCHGRwJLdI/AAAAAAAABZc/ij85FjltuI0/s72-c/OTH_8572.jpg)
LOWASSA, DUNI WAHUDHULIA UZINDUZI WA KAMPENI ZA CHAMA ZA CUF, ZANZIBAR LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-mQfMCDgzMr8/VfCHGRwJLdI/AAAAAAAABZc/ij85FjltuI0/s640/OTH_8572.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-ukGNkZ4qq7Q/VfCHJa9TRCI/AAAAAAAABZw/_K9-Y4dQcdY/s640/OTH_8599.jpg)
9 years ago
MichuziMAMIA WAJITOKEZA KATIKA UFUNGUZI WA KAMPENI ZA UCHAGUZI MKUU ZA CHAMA CHA CCM LEO
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-vwaulAw7CSc/Vcdd5-wJj3I/AAAAAAAHviI/hic-u4W7jMQ/s72-c/MMGL0172.jpg)
LOWASSA AHUDHULIA MKUTANO WA BARAZA KUU LA CHAMA CHA WANANCHI CUF, JIJINI DAR LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-vwaulAw7CSc/Vcdd5-wJj3I/AAAAAAAHviI/hic-u4W7jMQ/s640/MMGL0172.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-kKf-PsMDlTY/VcdcDdYkU1I/AAAAAAAHvfA/w4xY93s99zw/s640/MMGL0373.jpg)
9 years ago
Mzalendo Zanzibar22 Sep
Ufunguzi wa ilani ya CUF Zanzibar
Zanzibar. Chama cha Wananchi (CUF), Zanzibar kimezindua ilani yake inayoainisha vipaumbele 35 ambavyo kitavifanyia kazi chini ya Serikali ya Umoja wa Kitaifa iwapo kitashinda Oktoba 25. Akizungumza na waandishi wa habari wakati wa uzinduzi wa ilani […]
The post Ufunguzi wa ilani ya CUF Zanzibar appeared first on Mzalendo.net.
10 years ago
Mwananchi24 May
cuf,zanzibar,duni,juma,haji,uchaguzi,2015,upinzani,
9 years ago
Dewji Blog24 Aug
Matukio mbalimbali pichani wakati wa Mkutano wa ufunguzi wa kampeni za CCM Jangwani leo
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Jakaya Kikwete (kulia) akizungumza na Makamu wake, Gharib Bilal (Kushoto) katikati ni Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Dk. Ali Mohammed Shein.
Mgombea urais kwa tiketi ya CCM, John Pombe Magufuli akiwasalimia Wana-CCM waliofika viwanjani hapo.
Katibu wa Itikiadi na Uenezi, Nape Nnauye akiamsha shamrashamra.
Malkia wa Taarab, Khadija Kopa akitumbuiza sambamba na bendi ya TOT.
Wasanii wa Bongo Muvi, Wema Sepetu na Batuli wakiingia...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-HU1MUgOmBaI/VdSUNq0oObI/AAAAAAAHyNc/E55pEHZ93EU/s72-c/MMGL0049.jpg)
LOWASSA, DUNI WASAINI HATI YA KIAPO YA KUGOMBEA URAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA MAHAKAMA KUU JIJINI DAR LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-HU1MUgOmBaI/VdSUNq0oObI/AAAAAAAHyNc/E55pEHZ93EU/s640/MMGL0049.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-j1V3J08VXIw/VdSUN9VcoDI/AAAAAAAHyNY/9Ziw6GGEeFk/s640/MMGL0055.jpg)
9 years ago
Habarileo09 Sep
Uzinduzi kampeni za urais CUF leo
CHAMA cha Wananchi (CUF) leo kinatarajiwa kuzindua kampeni zake kwa ajili ya uchaguzi mkuu, ambapo mgombea urais wa chama hicho kwa upande wa Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad atawahutubia wafuasi wake na kunadi sera.