LOWASSA, DUNI WASAINI HATI YA KIAPO YA KUGOMBEA URAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA MAHAKAMA KUU JIJINI DAR LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-HU1MUgOmBaI/VdSUNq0oObI/AAAAAAAHyNc/E55pEHZ93EU/s72-c/MMGL0049.jpg)
Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa akisaini fomu za hati ya Kiapo kwenye ofisi za Jaji wa Mahakama ya Tanzania, Jijini Dar es salaam leo Agosti 19, 2015. Hati ambayo kila mgombea wa nafasi ya urais anatakiwa kusaini katika mahakama kuu jijini Dar es Salaam .
Mgombea mwenza wa urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dkt. Juma Haji...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-HU1MUgOmBaI/VdSUNq0oObI/AAAAAAAHyNc/E55pEHZ93EU/s72-c/MMGL0049.jpg)
LOWASSA, BABU DUNI WASAINI HATI YA KIAPO YA KUGOMBEA URAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA MAHAKAMA KUU JIJINI DAR LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-HU1MUgOmBaI/VdSUNq0oObI/AAAAAAAHyNc/E55pEHZ93EU/s640/MMGL0049.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-j1V3J08VXIw/VdSUN9VcoDI/AAAAAAAHyNY/9Ziw6GGEeFk/s640/MMGL0055.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-OLZwmuoEZ7U/VdSNgx9AeKI/AAAAAAAHyM0/B6NMeNSDC90/s72-c/ffffff.jpg)
MAGUFULI ASAINI HATI YA KIAPO YA KUGOMBEA URAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA MAHAKAMA KUU JIJINI DAR LEO.
![](http://4.bp.blogspot.com/-OLZwmuoEZ7U/VdSNgx9AeKI/AAAAAAAHyM0/B6NMeNSDC90/s640/ffffff.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-fAxRJ_jSO6E/VdSGDVmhtBI/AAAAAAAHyLg/kQjUIdF3t4E/s640/mmg.jpg)
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-OLZwmuoEZ7U/VdSNgx9AeKI/AAAAAAAHyM0/B6NMeNSDC90/s72-c/ffffff.jpg)
MAGUFULI ASAINI HATI YA KIAPO YA KUGOMBEA URAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA MAKAMA KUU JIJINI DAR LEO.
![](http://4.bp.blogspot.com/-OLZwmuoEZ7U/VdSNgx9AeKI/AAAAAAAHyM0/B6NMeNSDC90/s640/ffffff.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-fAxRJ_jSO6E/VdSGDVmhtBI/AAAAAAAHyLg/kQjUIdF3t4E/s640/mmg.jpg)
9 years ago
Dewji Blog20 Aug
Magufuli asaini hati ya kiapo ya kugombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Makama Kuu Jijini Dar
![](http://4.bp.blogspot.com/-OLZwmuoEZ7U/VdSNgx9AeKI/AAAAAAAHyM0/B6NMeNSDC90/s640/ffffff.jpg)
Mgombea urais kwa tiketi ya chama cha Mapinduzi, Dk. John Magufuli akikabidhi hati ya Kiapo mapema leo mchana kwa Jaji wa Mahakama Kuu, Jaji Sekieti Kihiyo (katikati). Hati ambayo kila mgombea wa nafasi ya urais anatakiwa kusaini katika mahakama kuu jijini Dar es Salaam Kushoto ni Mgombea Mwenza, Samia Suluhu Hassan.
![](http://4.bp.blogspot.com/-fAxRJ_jSO6E/VdSGDVmhtBI/AAAAAAAHyLg/kQjUIdF3t4E/s640/mmg.jpg)
Mgombea urais kwa tiketi ya chama cha Mapinduzi, Dk. John Magufuli akisaini hati ya Kiapo mapema jana mchana Mahakama Kuu jijini Dar es Salaam.Hati ambayo kila...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-CHWTazc92yM/VW7PmNCElwI/AAAAAAAHbkA/Vs14UYrUwyI/s72-c/unnamed.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-wEFQUqercMI/VA9P7H3WZcI/AAAAAAAGiSk/uAglWUY1aes/s72-c/unnamed%2B(26).jpg)
Tamko rasmi la Dkt. Hamisi Kigwangalla Habari la Kutangaza Nia ya Kugombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mwaka 2015
![](http://3.bp.blogspot.com/-wEFQUqercMI/VA9P7H3WZcI/AAAAAAAGiSk/uAglWUY1aes/s1600/unnamed%2B(26).jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-CHWTazc92yM/VW7PmNCElwI/AAAAAAAHbkA/Vs14UYrUwyI/s72-c/unnamed.jpg)
9 years ago
CHADEMA Blog![](http://4.bp.blogspot.com/-LJSP0p8dKjo/VjKmw_8k3vI/AAAAAAAAXA8/KT23tWMkako/s72-c/tamko.jpg)
TAMKO LA MHESHIMIWA EDWARD LOWASSA YA KUITAKA TUME IMTANGAZE MSHINDI WA KITI CHA URAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA