MATUKIO PICHANI
![](http://2.bp.blogspot.com/-oFAppGlL5Lw/VH6Eft7GgKI/AAAAAAACvvw/7hEkGXE50HQ/s72-c/DSC_5972.jpg)
Picha ya pamoja
Naibu Mtendaji Mkuu wa Benki M, Bi. Jacqueline Woiso (kushoto), akijaribu kumvika Joho la Heshima, Mwakilishi wa Kampuni ya Tanga Fresh, Bw. Douglas Kakere, wakati wa chakula cha usiku kupongeza makampuni 100 ya kati, Dar es Salaam juzi.
Naibu Mtendaji Mkuu wa Benki M, Bi. Jacqueline Woiso (wa tatu kushoto), akikadhi Tuzo maalumu kwa mwakilishi wa Kampuni ya Tanga Fresh, Bw. Douglas Makere, baada ya kumvika Joho la heshima kutambua mchango wa kampuni hiyo, wakati wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog24 Aug
Matukio mbalimbali pichani wakati wa Mkutano wa ufunguzi wa kampeni za CCM Jangwani leo
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Jakaya Kikwete (kulia) akizungumza na Makamu wake, Gharib Bilal (Kushoto) katikati ni Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Dk. Ali Mohammed Shein.
Mgombea urais kwa tiketi ya CCM, John Pombe Magufuli akiwasalimia Wana-CCM waliofika viwanjani hapo.
Katibu wa Itikiadi na Uenezi, Nape Nnauye akiamsha shamrashamra.
Malkia wa Taarab, Khadija Kopa akitumbuiza sambamba na bendi ya TOT.
Wasanii wa Bongo Muvi, Wema Sepetu na Batuli wakiingia...
9 years ago
Dewji Blog13 Oct
DAR ES SALAAM LIVE: Kamera ya Modewjiblog ipo mtaani ikikusanyia matukio mbalimbali pichani!
Taswira ya jengo la Golden Jubilee linavyoonekana kwa mbali katikati ya jiji kama lilivyopigwa picha na mwandishi wa mtandao huu. ( Picha zote na Andrew Chale, Modewjiblog).
Moja ya wachuuzi wa vinywaji akikatiza katika moja ya maeneo ya jirani na ofisi za Habari Maelezo…
Kijiwe maalufu cha wazee wa Mjini ambacho watu mbalimbali wakiwemo wanasiasa, wanahabari, wanasheria na watu wengine wamekuwa wakipatikana hapo na kupiga stori mbili tatu.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Uw1w5YONFAc/XoXu5TXqFUI/AAAAAAALl3U/lFJLT1uf8cU64koUP9Oq6ZkPCMPsccxPACLcBGAsYHQ/s72-c/22a6d41b-cf8b-4db6-b03a-e1dfbc6cae60.jpg)
KUJIKINGA NA CORONA PICHANI LEO MABIBO,JIJINI DAR
![](https://1.bp.blogspot.com/-Uw1w5YONFAc/XoXu5TXqFUI/AAAAAAALl3U/lFJLT1uf8cU64koUP9Oq6ZkPCMPsccxPACLcBGAsYHQ/s640/22a6d41b-cf8b-4db6-b03a-e1dfbc6cae60.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-DqdYiNP7Jqw/XoXu4p-9O0I/AAAAAAALl3M/zx0OO3TQvK8HdApmBd4budp17WxTuwRyACLcBGAsYHQ/s640/15402524-8783-402f-840c-23bcaf5987e6.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-vUD3eaa8Lq8/VXHYJfLxKGI/AAAAAAAC5rU/Iw4ymVposrE/s72-c/1.jpg)
TASWIRA ZA MJI WA BUKOBA KAMA UONEKANAVYO PICHANI JIONI YA LEO.
![](http://3.bp.blogspot.com/-vUD3eaa8Lq8/VXHYJfLxKGI/AAAAAAAC5rU/Iw4ymVposrE/s640/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-ecBiz-J53VY/VXHYJZ7MLgI/AAAAAAAC5rQ/Q2cjoCEOPRo/s640/2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-XRzw0Jy5EeY/VXHYJ2xYSwI/AAAAAAAC5rY/j7_OJ1REwLg/s640/3.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-f3TPkPdXKNY/VXHYKz2L7CI/AAAAAAAC5ro/UIxBxXIR918/s640/4.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-9sO8CELGUNw/VXHYLieYunI/AAAAAAAC5rw/MmRwUDarMNM/s640/5.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-euPx-9SgpSU/VXHYMTzX71I/AAAAAAAC5r8/SrBx8b0Dkyo/s640/7.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-VUu8QeGbZ9Y/U4TUQVrYsfI/AAAAAAAFlg0/zIYBbr9OVcg/s72-c/unnamed11.jpg)
mafunzo ya siku tano (hawapo pichani) ya namna ya kukabiliana na makosa ya ukatili wa kijinsia na watoto
![](http://1.bp.blogspot.com/-VUu8QeGbZ9Y/U4TUQVrYsfI/AAAAAAAFlg0/zIYBbr9OVcg/s1600/unnamed11.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-OUvYv9IuriE/U4TUQVFzE-I/AAAAAAAFlgs/FP4mHjgJKmY/s1600/unnamed12.jpg)