Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MATUKIO PICHANI

 Picha ya pamoja Naibu Mtendaji Mkuu wa Benki M, Bi. Jacqueline Woiso (kushoto), akijaribu kumvika Joho la Heshima, Mwakilishi wa Kampuni ya Tanga Fresh, Bw. Douglas Kakere, wakati wa chakula cha usiku kupongeza makampuni 100 ya kati, Dar es Salaam juzi.   Naibu Mtendaji Mkuu wa Benki M, Bi. Jacqueline Woiso (wa tatu kushoto), akikadhi Tuzo maalumu kwa mwakilishi wa Kampuni ya Tanga Fresh, Bw. Douglas Makere, baada ya kumvika Joho la heshima kutambua mchango wa kampuni hiyo, wakati wa...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

Matukio mbalimbali pichani wakati wa Mkutano wa ufunguzi wa kampeni za CCM Jangwani leo

IMG_0256Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Jakaya Kikwete (kulia) akizungumza na Makamu wake, Gharib Bilal (Kushoto) katikati ni Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Dk. Ali Mohammed Shein.

Mgombea urais kwa tiketi ya CCM, John Pombe Magufuli akiwasalimia Wana-CCM waliofika viwanjani hapo.

Katibu wa Itikiadi na Uenezi, Nape Nnauye akiamsha shamrashamra.

Malkia wa Taarab, Khadija Kopa akitumbuiza sambamba na bendi ya TOT.

Wasanii wa Bongo Muvi, Wema Sepetu na Batuli wakiingia...

 

9 years ago

Dewji Blog

DAR ES SALAAM LIVE: Kamera ya Modewjiblog ipo mtaani ikikusanyia matukio mbalimbali pichani!

DSC_1346

Taswira ya jengo la Golden Jubilee linavyoonekana kwa mbali katikati ya jiji kama lilivyopigwa picha na mwandishi wa mtandao huu. ( Picha zote na Andrew Chale, Modewjiblog).

DSC_2525

DSC_2526

Moja ya wachuuzi wa vinywaji akikatiza katika moja ya maeneo ya jirani na ofisi za Habari Maelezo…

DSC_1199

DSC_1200

DSC_1334

DSC_1329

DSC_1318

DSC_1343

DSC_1340

DSC_1286

DSC_1273

Kijiwe maalufu cha wazee wa Mjini ambacho watu mbalimbali wakiwemo wanasiasa, wanahabari, wanasheria na watu wengine wamekuwa wakipatikana hapo na kupiga stori mbili tatu.

 

5 years ago

Michuzi

KUJIKINGA NA CORONA PICHANI LEO MABIBO,JIJINI DAR

 Moja ya Kituo Cha bodaboda Cha mabibo wakiwa na kitakasa mikono kwa ajili ya abiria na wenyewe wanapopakia wateja kuwafikisha sehemu mbalimbali ikiwa ni agizo la serikali kuzingatia tahadhari ya ugonjwa wa Virusi vya Corona Kama walivyokutwa na kamera ya Michuzi Tv . Wananchi wamekuwa wakichukua maagizo ya serikali katika kujikinga na ugonjwa huo.

 

10 years ago

Michuzi

TASWIRA ZA MJI WA BUKOBA KAMA UONEKANAVYO PICHANI JIONI YA LEO.

 Sehemu ya Mandhari ya mji wa Bukoba kama uonekanavyo pichani,mbele yake ni moja ya kisiwa kiitwacho Misira.
 kwa mbaaali  ni muonekano wa ziwa victoria  Sehemu ya mji wa Bukoba kama uonekanavyo pichani Sehemu ya katikati ya mji wa Bukoba kama uonekanavyo jioni ya leo.  PICHA NA MICHUZI JR-BUKOBA.

 

11 years ago

Michuzi

mafunzo ya siku tano (hawapo pichani) ya namna ya kukabiliana na makosa ya ukatili wa kijinsia na watoto

 Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) Mery Nzuki, akitoa neno mbele ya washiriki wa semina ya mafunzo ya siku tano (hawapo pichani) ya namna ya kukabiliana na makosa ya ukatili wa kijinsia na watoto mafunzo yanayotolewa kwa maofisa na askari wa Jeshi la Polisi kutoka katika mkoa wa kipolisi wa Kinondoni jijini Dar es salaam ambapo mafunzo hayo yakiwa na lengo la kuwajengea uwezo na kuongeza ufanisi katika kazi. Baadhi ya washiriki wa semina ya mafunzo ya siku tano ya namna ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani