KUJIKINGA NA CORONA PICHANI LEO MABIBO,JIJINI DAR
![](https://1.bp.blogspot.com/-Uw1w5YONFAc/XoXu5TXqFUI/AAAAAAALl3U/lFJLT1uf8cU64koUP9Oq6ZkPCMPsccxPACLcBGAsYHQ/s72-c/22a6d41b-cf8b-4db6-b03a-e1dfbc6cae60.jpg)
Moja ya Kituo Cha bodaboda Cha mabibo wakiwa na kitakasa mikono kwa ajili ya abiria na wenyewe wanapopakia wateja kuwafikisha sehemu mbalimbali ikiwa ni agizo la serikali kuzingatia tahadhari ya ugonjwa wa Virusi vya Corona Kama walivyokutwa na kamera ya Michuzi Tv . Wananchi wamekuwa wakichukua maagizo ya serikali katika kujikinga na ugonjwa huo.
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/EFRV*I*wRwIv2lg*IoR2-V3aT5dOGlYbYrfFdyjbW6lLkVHKS6F6G8bnVJImalBpk8qhod*a*2tvmjYT2V0kSDSEqoRSNdd8/MOTOMABIBO1.jpg?width=650)
MOTO WAUNGUZA BWENI LA MABIBO HOSTEL JIJINI DAR
Wanafunzi wakijaribu kuokoa baadhi ya mali kutoka katika bweni la Block B kwenye hosteli ya Mabibo, Dar. Moto ukizidi kuunguza bweni hilo. Moto mkali ukifuka kutoka katika bweni la Block B linaloendelea kuungua hivi sasa.…
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-zCzcUUJVYuw/Xp7K81X-dmI/AAAAAAALntI/q8YYgeMRkyUnrQy070h1gL-DZyP4aZw5wCLcBGAsYHQ/s72-c/Pic-3-aAA-768x578.jpg)
SPIKA JOB NDUGAI AKABIDHIWA MASHINE MAALUM YA KUJIKINGA NA MAAMBUKIZI YA VIRUSI VYA CORONA JIJINI DODOMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-zCzcUUJVYuw/Xp7K81X-dmI/AAAAAAALntI/q8YYgeMRkyUnrQy070h1gL-DZyP4aZw5wCLcBGAsYHQ/s640/Pic-3-aAA-768x578.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/Pic-3-bAA-1024x774.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/Pic-4AA-1024x761.jpg)
11 years ago
GPLDROO NDOGO YA PILI PROMOSHENI YA SHINDA MAHELA YAFANYIKA MABIBO JIJINI DAR
Kijana aliyejitokeza kuchanganya kuponi kwa ajili ya mshindi wa TV na Decoder akichanganya kuponi kabla ya kumpata mshindi. ...Kijana huyo akifunikwa macho ili achague kuponi ya mshindi.…
10 years ago
MichuziBREAKING NYUZZZZZZZ: MOJA YA JENGO LA MABIBO HOSTEL JIJINI DAR LASHIKA MOTO
![](http://3.bp.blogspot.com/-hXysdPENCTI/VQaJJrM-cTI/AAAAAAAHKqo/IX2COUNO3zA/s1600/IMG-20150316-WA0001.jpg)
5 years ago
MichuziODO UMMY FOUNDATION YATOA MSAADA WA VIFAA VYA KUJIKINGA NA CORONA KWA TAASISI ZA DINI JIJINI TANGA
MKUU wa wilaya ya Tanga Thobias Mwilapwa kulia akizungumza wakati akishukuru Taasisi ya Odo Ummy Foundation kwa msaada ndoo 120 na sabuni 60 ikiwemo vifaa vyake vya
kuwekea ndoo hizo ili kuwawezesha kuzitumia katika kuhakikisha wanajikinga na
maambukizi hayo ambayo kwa sasa yamekuwa yakilitikisha dunia katikati
ni Katibu wa Taasisi ya Odo Ummy Foundation Khatibu Kilenga
Katibu wa Taasisi ya Odo Ummy Foundation Khatibu Kilenga kulia akiteta jambo na Mkuu wa wilaya ya Tanga Thobias...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-At0XNkgOVvI/Xst72Sdp91I/AAAAAAALrdo/ie5QqMyT8R4seSG3imba15M-yjqYZdzQgCLcBGAsYHQ/s72-c/1cfbb567-15bd-4663-939e-27dd9d676fd0.jpg)
Shirika la World Vision Tanzania jijini Arusha latoe elimu ya kujikinga na Corona,Ulinzi na usalama wa mtoto wa kike katika vijiji 32
Na Jusline Marco-Longido
Shirika la World Vision Tanzania,Mkoani Arusha limetoa elimu ya kujikinga na maambukizi ya virusi vya corona iliyoenda sambamba na ulinzi na usalama wa mtoto wa kike katika vijiji 32 Wilayani Longido.
Akizungumza na waandishi wa habari Wilayani humo mratibu wa Kitumbeine DP, Bi.Peruth Daudi alisema kuwa katika suala la uhamasihaji jamii juu ya COVID-19 wameweza kufikia vijiji 19 vilivyomo ndani ya Mradi huo huku vijiji 13 vikiwa nje ya mradi ambavyo navyo vimeweza...
Shirika la World Vision Tanzania,Mkoani Arusha limetoa elimu ya kujikinga na maambukizi ya virusi vya corona iliyoenda sambamba na ulinzi na usalama wa mtoto wa kike katika vijiji 32 Wilayani Longido.
Akizungumza na waandishi wa habari Wilayani humo mratibu wa Kitumbeine DP, Bi.Peruth Daudi alisema kuwa katika suala la uhamasihaji jamii juu ya COVID-19 wameweza kufikia vijiji 19 vilivyomo ndani ya Mradi huo huku vijiji 13 vikiwa nje ya mradi ambavyo navyo vimeweza...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-0mkCS9QlCAE/XmY6cXm3BUI/AAAAAAAAHGc/iBMw50-NSl4MIjEPhgXyEJjdOBb9OpKkQCLcBGAsYHQ/s72-c/DSC_0130.jpg)
MWENYEKITI WA CCT ASKOFU CHEYO AZINDUA UJENZI WA KANISA LA MORAVIAN TANZANIA USHIRIKA WA MABIBO JIJINI DAR ES SALAAM
![](https://1.bp.blogspot.com/-0mkCS9QlCAE/XmY6cXm3BUI/AAAAAAAAHGc/iBMw50-NSl4MIjEPhgXyEJjdOBb9OpKkQCLcBGAsYHQ/s640/DSC_0130.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-5sZNc9Lw_R0/XmY7RY_r1tI/AAAAAAAAHGk/ssBAu-_qJeYObippivw63ua_UK4upagcQCLcBGAsYHQ/s640/DSC_0115.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-5VolFBkV6uA/XmY7VIaFxkI/AAAAAAAAHGo/v-e3oFFW1VEuafTtOvkrqss_ap9cdpPDQCLcBGAsYHQ/s640/DSC_0116.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-lxXkLGJZ-2c/XsAnRnt3MMI/AAAAAAALqfI/UAyQtzsIWZ8e4jY580hdEsZvl3aFDRrtwCLcBGAsYHQ/s72-c/5bb50332-4927-4ead-9a73-381cbdc824d7.jpg)
KLABU YA SIMBA,MO DEWJI WAGAWA BARAKOA BURE KWA WAKAZI WA JIJI LA DAR ES SALAAM KUJIKINGA NA CORONA
Na, Al-Hasan Muhidin, MichuziTv
Klabu ya Simba kwa kushirikiana na Taasisi ya Mo Dewji wametoa msaada wa Barakoa kwa wananchi wa maeneo mbalimbali ndani ya Jiji la Dar es Salaam kwa ajili ya kujikinga na maambukizi ya virusi vya Corona.
Akizungumza na waandish wa habari wakati wa tukio hilo, Msaidizi wa Mkurugenzi Mtendaji wa Klabu ya Simba Rispa Hatib amesema tukio hilo ni la siku tatu kuanzia leo Jumamosi na litahitimishwa siku ya Jumatatu.
Amesema, janga hili ni la Dunia na nchi nzima kwa...
Klabu ya Simba kwa kushirikiana na Taasisi ya Mo Dewji wametoa msaada wa Barakoa kwa wananchi wa maeneo mbalimbali ndani ya Jiji la Dar es Salaam kwa ajili ya kujikinga na maambukizi ya virusi vya Corona.
Akizungumza na waandish wa habari wakati wa tukio hilo, Msaidizi wa Mkurugenzi Mtendaji wa Klabu ya Simba Rispa Hatib amesema tukio hilo ni la siku tatu kuanzia leo Jumamosi na litahitimishwa siku ya Jumatatu.
Amesema, janga hili ni la Dunia na nchi nzima kwa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-0mkCS9QlCAE/XmY6cXm3BUI/AAAAAAAAHGc/iBMw50-NSl4MIjEPhgXyEJjdOBb9OpKkQCLcBGAsYHQ/s72-c/DSC_0130.jpg)
MWENYEKITI WA CCT ASKOFU CHEYO AZINDUA UJENZI WA KANISA JIPYA LA MORAVIAN TANZANIA USHIRIKA WA MABIBO JIJINI DAR ES SALAAM
![](https://1.bp.blogspot.com/-0mkCS9QlCAE/XmY6cXm3BUI/AAAAAAAAHGc/iBMw50-NSl4MIjEPhgXyEJjdOBb9OpKkQCLcBGAsYHQ/s640/DSC_0130.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-5sZNc9Lw_R0/XmY7RY_r1tI/AAAAAAAAHGk/ssBAu-_qJeYObippivw63ua_UK4upagcQCLcBGAsYHQ/s640/DSC_0115.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-5VolFBkV6uA/XmY7VIaFxkI/AAAAAAAAHGo/v-e3oFFW1VEuafTtOvkrqss_ap9cdpPDQCLcBGAsYHQ/s640/DSC_0116.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania