Shirika la World Vision Tanzania jijini Arusha latoe elimu ya kujikinga na Corona,Ulinzi na usalama wa mtoto wa kike katika vijiji 32
![](https://1.bp.blogspot.com/-At0XNkgOVvI/Xst72Sdp91I/AAAAAAALrdo/ie5QqMyT8R4seSG3imba15M-yjqYZdzQgCLcBGAsYHQ/s72-c/1cfbb567-15bd-4663-939e-27dd9d676fd0.jpg)
Na Jusline Marco-Longido
Shirika la World Vision Tanzania,Mkoani Arusha limetoa elimu ya kujikinga na maambukizi ya virusi vya corona iliyoenda sambamba na ulinzi na usalama wa mtoto wa kike katika vijiji 32 Wilayani Longido.
Akizungumza na waandishi wa habari Wilayani humo mratibu wa Kitumbeine DP, Bi.Peruth Daudi alisema kuwa katika suala la uhamasihaji jamii juu ya COVID-19 wameweza kufikia vijiji 19 vilivyomo ndani ya Mradi huo huku vijiji 13 vikiwa nje ya mradi ambavyo navyo vimeweza...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-W9l2LfAQktk/XsOf52QE13I/AAAAAAAAMTo/ckiqtt6_A_EB8sMqUfXk96Jx5lIw9toiwCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
SHIRIKA LA MEDO LA MKOANI SINGIDA LATOA ELIMU YA KUJIKINGA NA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-W9l2LfAQktk/XsOf52QE13I/AAAAAAAAMTo/ckiqtt6_A_EB8sMqUfXk96Jx5lIw9toiwCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
Daktari Mgonza Mgonza (kushoto) kutoka Ofisi ya Mganga Mkuu wa Wilaya ya Singida, akiwaelekeza wananchi namna sahihi ya kuvaa na kuvua barakoa katika kampeni ya utoaji elimu ya kujikinga na ugonjwa wa Corona Wilaya ya Singida.
![](https://1.bp.blogspot.com/-XAIbxibQgSQ/XsOf6bFahAI/AAAAAAAAMTs/aFtgCEVECY0n1nvOoKwjm-zeKWXm4juRQCLcBGAsYHQ/s1600/IMG-20200518-WA0055.jpg)
Afisa Miradi wa Shirika la Mtinko Education Development Organization (MEDO), Hasan Rasuli akiwaelekeza wananchi jinsi ya kusafisha mikono kwa usahihi.
![](https://1.bp.blogspot.com/-oLN_CNHRzbQ/XsOf5opR5BI/AAAAAAAAMTg/9bI3e5gKhf4x_MasmyLyvwgr_hs7_2xIgCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200518-WA0051.jpg)
Mohamed Mpera kutoka Ofisi ya Mganga Mkuu wa Wilaya ya Singida, akiwaelekeza wananchi namna sahihi ya kunawa...
5 years ago
MichuziSHIRIKA LA SEMA LATOA ELIMU YA KUJIKINGA NA CORONA KWA ASKARI POLISI WA MKOA WA SINGIDA
5 years ago
MichuziSHIRIKA LA SEMA MKOA WA SINGIDA LATOA ELIMU NAMNA YA KUJIKINGA KUPATA VIRUSI VYA CORONA
Afisa wa Shirika lisilo la Kiserikali la Sustanable Environment Management Action (SEMA) la Mkoa wa...
5 years ago
MichuziWANANCHI SINGIDA WALIPONGEZA SHIRIKA LA SEMA KWA UTOAJI ELIMU YA KUJIKINGA VIRUSI VYA CORONA
Amani Twaha, akitoa elimu.
Elimu ikitolewa kwa wasafisha viatu.
Witness Anderson, akitoa elimu kwa muuza mitumba.
Ipyana Mwakyusa akitoa elimu hiyo kwa madereva wa bajaj.
Mary Kilimba (kulia) na Veronica Peter wakitoa elimu hiyo kwa njia ya mabango.
Wananchi wakiwa wamevaa barakoa kujikinga na Corona.
Tatu Muna, akizungumzia kuhusu Corona.
Maafisa wa Shirika lisilo la Kiserikali la Sustanable Environment Management Action (SEMA) la Mkoa wa Singida, Mary Kilimba (kushoto) na Veronica ...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-w-embukG5vc/XunNJGWh0eI/AAAAAAALuLs/0v5DLOdZhwI1X9YWuj5LycRsDxl3JXmQwCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-17%2Bat%2B10.17.36%2BAM.jpeg)
11 years ago
Mwananchi28 Jan
Mtoto wa kike anavyosongwa katika safari ya kupata elimu
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Xx4TI3PRens/XnKNJ596tUI/AAAAAAALkXM/UtX5m5ZwiZAj5MwNEhpXTckiaKJ3rFR2gCLcBGAsYHQ/s72-c/DSC_3219-2048x1181.jpg)
Vodacom Tanzania yatoa elimu ya kujikinga na virusi vya Corona
![](https://1.bp.blogspot.com/-Xx4TI3PRens/XnKNJ596tUI/AAAAAAALkXM/UtX5m5ZwiZAj5MwNEhpXTckiaKJ3rFR2gCLcBGAsYHQ/s640/DSC_3219-2048x1181.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/DSC_3271-scaled.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/02-1-scaled.jpg)
Wafanyakazi wa Vodacom Tanzania PLC. makao makuu Jijini Dar es Salaam, wakimsikiliza kwa makini Dkt. Ismail Gatalya wakati akitoa elimu na mafunzo kwa wafanyakazi hao juu ya namna ya kujikinga na maambukizi ya ugonjwa wa Corona.
5 years ago
MichuziWORLD VISION TANZANIA YATOA MSAADA WA VIFAA TIBA NA KINGA KUWAKINGA NA CORONA WATOA HUDUMA ZA AFYA SHINYANGA
Shirika la World Vision Tanzania limetoa msaada wa vifaa tiba na kinga vyenye thamani ya shilingi milioni 29 kwa ajili ya kusaidia watumishi wa sekta ya afya katika mkoa wa Shinyanga kujikinga na Maambukizi ya Virusi vya Corona ‘Covid 19’ wanapohudumia wagonjwa.
Vifaa hivyo vimekabidhiwa leo Ijumaa Mei 8, 2020 na Meneja wa World Vision Tanzania Kanda ya Ziwa John Massenza kwa Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Zainab Telack katika Hospitali ya Rufaa Mkoa wa Shinyanga.
Massenza alisema wao kama...
11 years ago
GPLWASHIRIKI WARSHA YA MASHIRIKIANO YA TANAPA NA VYOMBO VYA ULINZI NA USALAMA KATIKA KUPAMBANA NA UJANGILI YAFANA ARUSHA