mafunzo ya siku tano (hawapo pichani) ya namna ya kukabiliana na makosa ya ukatili wa kijinsia na watoto
![](http://1.bp.blogspot.com/-VUu8QeGbZ9Y/U4TUQVrYsfI/AAAAAAAFlg0/zIYBbr9OVcg/s72-c/unnamed11.jpg)
Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) Mery Nzuki, akitoa neno mbele ya washiriki wa semina ya mafunzo ya siku tano (hawapo pichani) ya namna ya kukabiliana na makosa ya ukatili wa kijinsia na watoto mafunzo yanayotolewa kwa maofisa na askari wa Jeshi la Polisi kutoka katika mkoa wa kipolisi wa Kinondoni jijini Dar es salaam ambapo mafunzo hayo yakiwa na lengo la kuwajengea uwezo na kuongeza ufanisi katika kazi.
Baadhi ya washiriki wa semina ya mafunzo ya siku tano ya namna ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-0sfxbf0KhRw/U-4qDYj1yQI/AAAAAAAF_5U/GXYG3Gn5PE0/s72-c/unnamed%2B(24).jpg)
Naibu Kamishna wa Polisi (DCP) Adolfina Chialo semina ya mafunzo ya namna ya kushughulikia makosa ya ukatili wa kijinsia na unyanyasaji wa watoto
![](http://1.bp.blogspot.com/-0sfxbf0KhRw/U-4qDYj1yQI/AAAAAAAF_5U/GXYG3Gn5PE0/s1600/unnamed%2B(24).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-dhvoQqUesyA/U-4qDZVdAfI/AAAAAAAF_5Y/UyqSe7MJxxw/s1600/unnamed%2B(25).jpg)
11 years ago
Dewji Blog03 May
Wasichana 30 jijini Mwanza wapatiwa mafunzo ya siku tano kuhusu elimu ya ukatili wa kijinsia majumbani
Mkufunzi wa Masuala ya Kijinsia Bi. Tumaini Kyola akitoa mafunzo kwa kundi la Wasichana 30 ambao hawako mashuleni juu ya mbinu mbalimbali za kuelemisha jamii kuhusu masuala Ukatili wa Majumbani na wa kingono pia. Wasichana hawa wanategemewa kwenda kuwafundisha wasichana wenzao wa mitaani, kila mmoja amepewa lengo la kufikia wasichana 50.
Baadhi ya wasichana 30 wakiwa makini kufuatilia mafunzo waliokuwa wakipatiwa na mkufunzi wao (hayupo pichani), hili ni kundi la kwanza kwa wasichana...
9 years ago
Mwananchi23 Nov
Pengo: Sheria za makosa ya ukatili wa kijinsia zina walakini
9 years ago
Dewji Blog03 Nov
Faini zilivyosaidia kupunguza makosa ya ukatili wa kijinsia masokoni
10 years ago
Vijimambo04 Dec
Siku 16 Kupinga Ukatili wa Kijinsia TGNP
![Maandamano ya washiriki wa hafla ya Maadhimisho ya Siku 16 Kupinga Ukatili wa Kijinsia TGNP.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/12/IMG_0025.jpg)
![Msanii Christian Bella akiwatumbuiza washiriki katika Maadhimisho ya Siku 16 Kupinga Ukatili wa Kijinsia TGNP jijini Dar es Salaam. Maadhimisho hayo yameandaliwa na TGNP Mtandao.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/12/IMG_0522.jpg)
![Mgeni rasmi katika Maadhimisho ya Siku 16 Kupinga Ukatili wa Kijinsia TGNP, Katibu Mtendaji Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora –Tanzania, Bi. Mary Massay akikata utepe ikiwa ni ishara ya uzinduzi wa eneo la kula kiapo kwa washiriki kupinga ukatili.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/12/IMG_0387.jpg)
9 years ago
MichuziUZINDUZI WA WANAHARAKATI WA SIKU 16 ZA KUPINGA UKATILI WA KIJINSIA
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
10 years ago
Mwananchi13 Feb
UKATILI WA KIJINSIA: ‘Idadi ya watoto wachanga wanaokeketwa inaongezeka’
10 years ago
MichuziKANDA YA KASKAZINI WAADHIMISHA SIKU 16 ZA KUPINGA UKATILI WA KIJINSIA