DKT MAGUFULI: UKINUNUA MADARAKA IPO SIKU UTAWAUZA ULIOWANUNUA
![](http://3.bp.blogspot.com/-80qx3DiKpaY/Vd_OZnIDHuI/AAAAAAAH0jQ/4NWl0EwPz4Y/s72-c/_MG_7228.jpg)
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi CCM Dr. John Pombe Magufuli akiwahutubia wananchi wa mji wa Mbalizi mkoa mpya wa Songwe,katika mkutano wake wa kampeni uliohudhuriwa maelfu ya wananchi, Dr. John Pombe Magufuli amewaomba wananchi wa Mbalizi kummpa kura za ndiyo ili aweze kuongoza watanzania na kutatua matatizo mbalimbali yanayoikabili jamii ya watanzania wa hali ya chini.
Amesema ametumikia nchi hii kwa miaka 20 serikalini akiwa Waziri na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV28 Aug
Tazama matukio yote ya Magufuli na kusema ukinunua madaraka ipo siku mtauzwa.
![](http://3.bp.blogspot.com/-80qx3DiKpaY/Vd_OZnIDHuI/AAAAAAAH0jQ/4NWl0EwPz4Y/s1600/_MG_7228.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/-445jNRmaLQ/default.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-wnF2WC61GJU/Xk6PvJmr-4I/AAAAAAALehQ/jLmEoC4iSx42lRVuHSSfBm51xqLQdDO5wCLcBGAsYHQ/s72-c/do1.jpeg)
RAIS DKT MAGUFULI ASHIRIKI KATIKA MAADHIMISHO YA SIKU YA MADAKTARI KITAIFA MWAKA 2020 JIJINI DAR ES SALAAM
![](https://1.bp.blogspot.com/-wnF2WC61GJU/Xk6PvJmr-4I/AAAAAAALehQ/jLmEoC4iSx42lRVuHSSfBm51xqLQdDO5wCLcBGAsYHQ/s640/do1.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-_jiTO5fX4JM/Xk6PvLUbLoI/AAAAAAALehY/p84nPupgx4E9UrvmcbOSPUj2rr22DmGNwCLcBGAsYHQ/s640/do2.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-jsi8qh0ARak/Xk6PvA5RPoI/AAAAAAALehU/t8MOsGXOAJ4Ohw_9n3EfYuGVNDaaeXkCQCLcBGAsYHQ/s640/do3.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-4ExEaLeKTws/Xk6PweQszZI/AAAAAAALehc/ktETTFYHqCoHjH2h0yzhppGTn-Zt1cRzQCLcBGAsYHQ/s640/do4%2B%25282%2529.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-mA5mbYykayo/Xk6Rk2Q5zvI/AAAAAAALeik/FUj_OhJ_tgg1KXAOZa7_xC76ssXRk_8vQCLcBGAsYHQ/s640/dd%2B%25281%2529.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-j30AYkpwmE8/Xk6Q3ANaGUI/AAAAAAALehw/w_vbHL3Ir1UJQ8gRiif6AEH22SIGkg-1ACLcBGAsYHQ/s640/dd%2B%25283%2529.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-JlpWmscoaF8/XpiBLw8ZKZI/AAAAAAALnMo/icG9AYhvtVU-8ATBPXG7-V7ryOwrIHpFQCLcBGAsYHQ/s72-c/3%2B-%2B2019-09-01T163208.843.jpg)
RAIS DKT JOHN POMBE MAGUFULI AWAOMBA WATANZANIA KUTUMIA SIKU 3 KUMUOMBA MUNGU AWAEPUSHE NA JANGA LA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-JlpWmscoaF8/XpiBLw8ZKZI/AAAAAAALnMo/icG9AYhvtVU-8ATBPXG7-V7ryOwrIHpFQCLcBGAsYHQ/s640/3%2B-%2B2019-09-01T163208.843.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-bN9aTz58Xrg/XpiBgZ26vFI/AAAAAAALnMw/E2oaq1Ydo-cYr0ZS7BM3vdOB3t1zcQEXwCLcBGAsYHQ/s1600/7d17e153-138c-43e0-8194-9b45a545532f.jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-JlpWmscoaF8/XpiBLw8ZKZI/AAAAAAALnMo/icG9AYhvtVU-8ATBPXG7-V7ryOwrIHpFQCLcBGAsYHQ/s72-c/3%2B-%2B2019-09-01T163208.843.jpg)
RAIS DKT JOHN POMBE MAGUFULI AWAOMBA WATANZANIA KUTUMIA SIKU 3 KUMUOMBA MUNGU ATUEPUSHE NA JANGA LA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-JlpWmscoaF8/XpiBLw8ZKZI/AAAAAAALnMo/icG9AYhvtVU-8ATBPXG7-V7ryOwrIHpFQCLcBGAsYHQ/s400/3%2B-%2B2019-09-01T163208.843.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-bN9aTz58Xrg/XpiBgZ26vFI/AAAAAAALnMw/E2oaq1Ydo-cYr0ZS7BM3vdOB3t1zcQEXwCLcBGAsYHQ/s400/7d17e153-138c-43e0-8194-9b45a545532f.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-cx5c2ozjKXA/VmkdQ4GGzNI/AAAAAAAILUE/Pt-9aAb-ZPQ/s72-c/PICT%2B1.jpg)
Airtel waunga mkono tamko la Rais Dkt.Magufuli la kufanya usafi kama siku ya maadhimisho ya miaka 54 ya uhuru wa Tanzania
![](http://3.bp.blogspot.com/-cx5c2ozjKXA/VmkdQ4GGzNI/AAAAAAAILUE/Pt-9aAb-ZPQ/s640/PICT%2B1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-3ChLWGU5C00/VmkdQ6lhWvI/AAAAAAAILUA/qCqtFoEBANU/s640/PICT%2B2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-hsvWf774w14/VmkdRJbbAeI/AAAAAAAILUI/V2Ar_9G480g/s640/PICT%2B3.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-GGtpUQ8JsXw/VmkdSo0z_tI/AAAAAAAILUY/085WMn6DFMc/s640/PICT%2B4.jpg)
9 years ago
Mtanzania09 Sep
Magufuli: Madaraka yasiwagawe Watanzania
Na Bakari Kimwanga, Tanga
MGOMBEA urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli ameonya na kusema nafasi za madaraka zisiwagawe Watanzania.
Amesema kila mtu anawajibu wa kulitumikia taifa na watu wake bila kubaguliwa na wenye nafasi za uongozi.
Dk. Magufuli alitoa kauli hiyo jana kwa nyakati tofauti, alipokuwa akizungumza kwenye mikutano ya kampeni za kuomba kuchaguliwa katika wilaya za Muheza, na Pangani mkoani Tanga.
Alisema nchi inahitaji viongozi ambao hawatawagawa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-9xjqquX0b9o/XtO-_KcHZoI/AAAAAAALsJA/C714scfKueEL-hkmEHMxrcwxr11NV8cpQCLcBGAsYHQ/s72-c/1d32d7cb-a6b7-47c1-ad8f-0f97662760b2.jpg)
TANZANIA IPO TAYARI KUPOKEA WATALII - DKT. KIGWANGALLA
Na WAMJW- Kilimanjaro
Waziri wa Maliasili na Utalii Dkt. Hamisi Kigwangalla ameweka wazi kuwa, Tanzania ipo tayari kupokea wageni kutoka sehemu yoyote Dunia kwa ajili ya utalii, kufuatia kuimarisha mifumo ya tahadhari zote za kujikinga dhidi ya maambukizi ya virusi vya Corona.
Dkt. Kigwangalla ameyasema hayo leo katika ziara iliyomjumuisha Naibu Waziri wa Afya Dkt. Godwin Mollel ikiwa na lengo la kukagua utayari wa nchi katika kudhibiti ugonjwa wa Corona katika uwanja wa ndege wa KIA na...
9 years ago
Mtanzania10 Dec
Lowassa: Ipo siku nitaingia Ikulu
NA ELIYA MBONEA, ARUSHA
ALIYEKUWA mgombea urais kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) na kuungwa mkono Ukawa, Edward Lowassa amesema ipo siku ataingia katika Ikulu kwa kupigiwa kura na Watanzania.
Lowassa alitoa kauli mjini hapa jana katika Viwanja vya Shule ya Msingi Sinoni wakati akimuombea kura mgombea ubunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema.
Akizungumza kwa mara ya kwanza tangu matokeo ya urais yalipotangazwa na kumpa ushindi Dk. John Magufuli, Lowassa alisema anaamini...