Lollipop kuachia albam mpya ‘Ipo Siku’
Mtayarishaji wa muziki na mtunzi, Lollipop amesema anatarajia kuachia albam mpya itwayo ‘Ipo Siku’. Lollipop ambaye ameandika wimbo wa ‘Basi Nenda’ ya Mo Music pamoja na ‘Nivumilie’ ya Barakah Da Prince, ameiambia Bongo5 kuwa ameamua kutoa albam hiyo ili kuwapa mashabiki wake muziki wa kutosha. “Nimefanya muziki wa bongofleva kwa muda mrefu sana, lakini umefika […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
11 years ago
CloudsFM22 Jul
TID KUACHIA ALBAM YAKE YA SABA
Staa nguli kwenye game ya Bongo Fleva,Khalid Mohammed ‘TID’ hivi karibuni anaachia album yake ya saba ila kabla hajaachia albam hiyo atafanya bonge la party pande za Dar Live, Mbagala,Jijini Dar. Albam yake ya Zeze ndiyo ilikuwa ya kwanza ikafuatia Sauti Ya Dhahabu,Burudani,Jembe,Sifai, na mwaka 2009 akaachia Prison Voice, baada ya hapo alikaa kimya zaidi ya miaka minne na mwaka huu anaiachia alabam yake ya saba iitwayo ‘Mnyama na Wanyama the album’.
Tid anafunguka kwanini album hii...
9 years ago
Bongo508 Oct
Roma atangaza kuachia wimbo mpya October 25 siku ya uchaguzi
9 years ago
Bongo524 Oct
Roma ajisalimisha BASATA kuwasikilizisha wimbo mpya aliopanga kuachia kesho siku ya uchaguzi Oct.25
10 years ago
CloudsFM12 Dec
Stara Thomas afanya mahojiano na kipindi cha Leo Tena,kuachia albam ya ngoma zake za zamani
Msanii Mkongwe wa Bongo Fleva,Stara Thomas akizungumza kwenye kipindi cha Leo Tena leo amezungumzia mambo mengi kuhusu muziki wake pia anatarajia kuachia albamu yake ya nyimbo zake zote za zamani hivi karibuni.
Stara akifanya mahojiano na mtangazaji wa kipindi cha Leo Tena,Husna Abdul.
9 years ago
Bongo502 Nov
Video: Davido aeleza sababu iliyomfanya kuahirisha kuachia album mpya siku 2 kabla ya tarehe iliyokuwa imepangwa
![davido A](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/davido-A-94x94.jpg)
10 years ago
Bongo513 Feb
Drake aachia albam mpya ‘If You’re Reading This It’s Too Late’ kwa kushtukiza
9 years ago
Bongo505 Oct
Davido atangaza tarehe mpya ya kuachia album yake mpya ‘Baddest’
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-B5g3xLHiRLA/VlbJnex6ppI/AAAAAAAIIbY/6BDiI-NjjmM/s72-c/kasemaje-com-isha-mashauzi-ndani-ya-danga-chee-kupitia-channel-ten_230972fdf3dcfc6d8e94f51a3f8584e213c4a307.jpg)
MASHAUZI CLASSIC KUZINDUA ALBAM MPYA LEO USIKU MANGO GARDEN
![](http://2.bp.blogspot.com/-B5g3xLHiRLA/VlbJnex6ppI/AAAAAAAIIbY/6BDiI-NjjmM/s320/kasemaje-com-isha-mashauzi-ndani-ya-danga-chee-kupitia-channel-ten_230972fdf3dcfc6d8e94f51a3f8584e213c4a307.jpg)
Uzinduzi wa albam hiyo iliyokuwa ikisubiriwa kwa hamu kubwa, utasindikizwa na kundi kongwe la taarab - East African Melody. Mkurugenzi wa Mashauzi Classic, Isha Mashauzi ameiambia JAMBO LEO kuwa albam ya “Sura Surambi” inaundwa na nyimbo sita kali.
Isha amezitaja nyimbo hizo kuwa ni pamoja na “Sura Surambi” ...