Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Drake aachia albam mpya ‘If You’re Reading This It’s Too Late’ kwa kushtukiza

Ule mtindo alioutumia Beyonce kuachia albam mwaka juzi bila kutangaza kabla ndio ameutumia rapper wa Canada, Drake ambaye ametoa albam yake mpya kwa kushtukiza. Albam hiyo iitwayo ‘If You’re Reading This It’s Too Late’ imetoka Alhamisi Feb.12 usiku. ‘If You’re Reading This It’s Too Late’ ina nyimbo 17 na wasanii walioshirikishwa ni pamoja na Lil […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Drake amdiss Tyga kwenye mixtape mpya ‘If You’re Reading This It’s Too Late’ , Tyga amjibu

Baada ya Drake kutoa album project ya kushtukiza Alhamisi Feb.13 ambayo baadae alikuja kuthibitisha kuwa ni mixtape iitwayo “If You’re Reading This It’s Too Late” yenye jumla ya nyimbo 17, kuna wimbo ambao umeibua tena beef yake na Tyga. Katika mixtape hiyo kuna wimbo unaoitwa “6 PM in New York” ambao Drake amemdiss Tyga na […]

 

9 years ago

Bongo5

Chris Brown aachia mixtape mpya ‘Before The Party’ kwa kushtukiza

chris-brown-btp

Chris Brown amewa-surprise mashabiki wake #TeamBreezy kwa kuachia Mixtape ya kushtukiza ‘Before The Party’ siku ya Ijumaa November 27.

chris-brown-btp

Mixtape hiyo imetoka wiki chache kabla hajaachia rasmi album yake mpya ‘Royalty’ itakayotoka Dec.18.

#BeforeTheParty is available now! This is for you #TeamBreezy! #BlackFriday #Royalty https://t.co/qnGLM4Lznw pic.twitter.com/RCB8XjveAw

— Chris Brown (@chrisbrown) November 27, 2015

‘Before The Party’ ina jumla ya nyimbo 34, zikiwemo collabo ambazo hazikuwahi...

 

10 years ago

Bongo5

Drake aachia nyimbo 3 mpya siku moja baada ya Bday yake (Audio)

Siku moja baada ya kusheherekea siku yake ya kuzaliwa October 24, Drake ambaye ametimiza miaka 28 ameachia ngoma tatu mpya kwa mpigo. Drizzy ameachia nyimbo hizo kupitia website yake ya OvoSound pamoja na akaunti yake ya SoundCloud October 25. Majina ya ngoma hizo ni ‘6 God’, ‘Heat of the Moment’ pamoja na ile iliyovuja hivi […]

 

10 years ago

Bongo5

Akon aachia nyimbo 5 mpya kwa mpigo kutoka kwenye album mpya ‘Stadium’

Baada ya ukimya wa muda mrefu Akon ameachia nyimbo tano mpya kutoka kwenye album yake mpya anayotarajia kuitoa iitwayo “Stadium” ambayo itakuwa na nyimbo za genre tano tofauti. Akon ameachia nyimbo hizo kupitia website yake Akon.com Album ya “Stadium” itakuwa na album tano ndani yake na kila moja itawakilisha genre moja ambazo ni Euro, Pop, […]

 

10 years ago

Bongo5

Mixtape ya kushtukiza ya Drake ‘IYRTITL’ kuuza kopi zaidi ya laki nne katika wiki ya kwanza

Surprise ndio mpango kwa sasa. Mixtape ya kushtukiza ya Drake, If You’re Reading This It’s Too Late iliyoachiwa usiku wa Alhamis, inatarajiwa kuuza kopi zaidi ya laki nne katika wiki yake ya kwanza kwa mujibu wa Billboard. Mixtape hiyo yenye nyimbo 17 inaweza kukamata nafasi ya kwanza kwenye chart ya Billboard 200 kwa kuuza zaidi […]

 

10 years ago

Bongo5

New Video: Diamond atoa video mpya ‘Nasema Nawe’ kwa kushtukiza, kamshirikisha Khadija Kopa

Diamond Platnumz ameachia video mpya ya wimbo wake mpya uitwao ‘Nasema Nawe’ aliomshirikisha malkia wa Taarab Khadija Kopa kwa kushtukiza. Tumezoea kuona video nyingi za miaka ya karibuni za Diamond zimekuwa zikifanyika nje na madirector wa nje, lakini video hii imeongozwa na director mpya wa Tanzania Hanscana na imefanyika hapa hapa nyumbani.

 

9 years ago

Bongo5

Trey Songz aachia mixtape mpya ‘Kwa Yeyote Anayehusika’, isikilize yote hapa

trey

Baada ya Chris Brown, Rick Ross, Lil Wayne na wengine kuachia mixtape zao hivi karibuni, Muimbaji wa RnB, Trey Songz na yeye ametoa ya kwake.

trey

Trey Songz ameachia mixtape yake inayoitwa ‘To Whom It May Concern’ (Kwa yeyote anayehusika) kwenye siku yake ya kuzaliwa Nov. 28 ambapo sasa amefikisha umri wa miaka 31.

TO WHOM IT MAY CONCERN TRACKLISTING

1. “Blessed” (prod. by Mano)
2. “Everybody Say” feat. MIKExANGEL and Dave East (prod. by Mano)
3. “Walls” feat. MIKExANGEL and Chisanity (prod. by...

 

9 years ago

Bongo5

Lollipop kuachia albam mpya ‘Ipo Siku’

Mtayarishaji wa muziki na mtunzi, Lollipop amesema anatarajia kuachia albam mpya itwayo ‘Ipo Siku’. Lollipop ambaye ameandika wimbo wa ‘Basi Nenda’ ya Mo Music pamoja na ‘Nivumilie’ ya Barakah Da Prince, ameiambia Bongo5 kuwa ameamua kutoa albam hiyo ili kuwapa mashabiki wake muziki wa kutosha. “Nimefanya muziki wa bongofleva kwa muda mrefu sana, lakini umefika […]

 

9 years ago

Michuzi

MASHAUZI CLASSIC KUZINDUA ALBAM MPYA LEO USIKU MANGO GARDEN

Leo usiku ndani ya ukumbi wa Mango Garden Kinondoni kutakuwa na tukio kubwa la kiburudani ambapo Mashauzi Classic Modern Taarab, watazindua albam yao mpya ya “Sura Surambi”.
Uzinduzi wa albam hiyo iliyokuwa ikisubiriwa kwa hamu kubwa, utasindikizwa na kundi kongwe la taarab - East African Melody. Mkurugenzi wa Mashauzi Classic, Isha Mashauzi ameiambia JAMBO LEO kuwa albam ya “Sura Surambi” inaundwa na nyimbo sita kali.
Isha amezitaja nyimbo hizo kuwa ni pamoja na “Sura Surambi” ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani