Drake amdiss Tyga kwenye mixtape mpya ‘If You’re Reading This It’s Too Late’ , Tyga amjibu
Baada ya Drake kutoa album project ya kushtukiza Alhamisi Feb.13 ambayo baadae alikuja kuthibitisha kuwa ni mixtape iitwayo “If You’re Reading This It’s Too Late” yenye jumla ya nyimbo 17, kuna wimbo ambao umeibua tena beef yake na Tyga. Katika mixtape hiyo kuna wimbo unaoitwa “6 PM in New York” ambao Drake amemdiss Tyga na […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo513 Feb
Drake aachia albam mpya ‘If You’re Reading This It’s Too Late’ kwa kushtukiza
9 years ago
Mtanzania02 Oct
Kylie Jenner, Tyga kuachana kisa jina la Drake?
NEW YORK, Marekani
BAADA ya wiki kadhaa za furaha ya nyota wa muziki nchini Marekani, Tyga kumnunulia mpenzi wake, Kylie Jenner, gari aina ya Mercedes G Wagon alipofanya sherehe ya kukumbuka siku ya kuzaliwa kwake, hali imebadilika na kuwa ya huzuni.
Uhusiano wa wawili hao unaonekana kuingiwa na mdudu mbaya baada ya kutokea malumbano kati yao ambapo kwa mujibu wa mtandao wa Hollywood life, chanzo ni kwamba Tyga alimtukana mpenzi wake huyo kwa kumfananisha mambo mabaya na Drake.
Mtandao huo...
9 years ago
Bongo520 Nov
Video: Future amtumia Blac Chyna kwenye video mpya ‘Rich $ex’, aitoa kwenye birthday ya Tyga
Rapper Future ameachia video mpya ya wimbo wake uitwao ‘Rich $ex’, na kwenye video hiyo amemtumia Blac Chyna kama mpenzi wake.
Japo kuwa Future ambaye ni ex na baby dady wa Ciara na Chyna ambaye ni ex na baby mama wa Tyga wamekuwa wakikanusha kuwa sio wapenzi, lakini video hii inalazimisha kuamini kuwa wanatoka.
Kingnie cha kushangaza ni hiki, October 25 ambayo ni siku aliyozaliwa Ciara, ndio siku ambayo Blac Chyna alionesha tattoo ya jina la Future mkononi na kufanya watu waamini kuwa ni...
10 years ago
Bongo518 Feb
Tyga akanusha kuwa na uhusiano na mdogo wake Kim Kardashian, azungumzia diss ya Drake
9 years ago
Bongo506 Oct
Lil Wayne adai Birdman amewaibia Drake, Nicki Minaj na Tyga mkwanja mrefu
9 years ago
Bongo502 Nov
Video: Tyga amtumia tena girlfriend wake Kylie Jenner kwenye video mpya ‘Dope’d Up’
9 years ago
Bongo529 Dec
Meek Mill amdiss tena Drake kwenye ngoma hii
Beef ya Meek Mill na Drake haioneshi dalili ya kuisha mapema.
Katika muda ambao wengi tulianza kusahau, Meek anarudi tena na nyundo kwa rapper huyo wa Canada itakayokuwepo kwenye mixtape yake ya Dreamchasers 4.
Video fupi ya Meek Mill inayomuonesha akichana mistari michache ya wimbo huo imesambaa mtandaoni.
“When I was saying shit about the rhymes you ain’t wrote / I can’t wait ’til we run in ya / I’ma put a gun in ya,” rapper huyo wa Philadelphia anarap kwenye video hiyo.
Katikati ya...
10 years ago
GPLTYGA, KYLIE WANASWA KWENYE DUKA LA VITO
9 years ago
Bongo521 Nov
Kylie Jenner ampiga chini Tyga kwenye birthday yake
Couple ya mrembo Kylie Jenner na rapper Tyga inasemekana imevunjika.
Kwa mujibu wa TMZ, couple hiyo imevunjika baada ya kutokea ugomvi mkubwa ambao Tyga ndio chanzo.
Kylie amempiga chini Tyga siku ya Alhamisi NOV.19, siku ambayo Tyga alikuwa akisherehekea birthday yake ya 26 na marafiki mbalimbali wakiwemo A$AP Rocky, Wiz Khalifa, Jamie Foxx na Leonardo DiCaprio, lakini Kylie hakuonekana, wala yeye na dada zake hawakum-wish happy birthday kwenye mitandao ya kijamii.
Vyanzo vingine vimesema...