Video: Tyga amtumia tena girlfriend wake Kylie Jenner kwenye video mpya ‘Dope’d Up’
Kwa mara nyingine Rapper Tyga amemtumia tena girlfriend wake Kylie Jenner kwenye video yake mpya ‘Dope’d Up. Hii itakuwa ni mara ya pili kwa Kylie kuonekana kwenye video ya Tyga baada ya kucheza kama mpenzi wake kwenye video iliyopita ‘Stimulated’. Dope’d Up’ ni wimbo ambao utapatikana kwenye mixtape ya Tyga ‘Rawwest Nigga Alive’ iliyopangwa kutoka […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo520 Nov
Video: Future amtumia Blac Chyna kwenye video mpya ‘Rich $ex’, aitoa kwenye birthday ya Tyga
![future na Chyna](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/future-na-Chyna-300x194.png)
Rapper Future ameachia video mpya ya wimbo wake uitwao ‘Rich $ex’, na kwenye video hiyo amemtumia Blac Chyna kama mpenzi wake.
Japo kuwa Future ambaye ni ex na baby dady wa Ciara na Chyna ambaye ni ex na baby mama wa Tyga wamekuwa wakikanusha kuwa sio wapenzi, lakini video hii inalazimisha kuamini kuwa wanatoka.
Kingnie cha kushangaza ni hiki, October 25 ambayo ni siku aliyozaliwa Ciara, ndio siku ambayo Blac Chyna alionesha tattoo ya jina la Future mkononi na kufanya watu waamini kuwa ni...
9 years ago
Bongo514 Nov
Video: Rick Ross amtumia mchumba wake Lira Galore kwenye video mpya ‘Sorry’
![rick-ross-sorry-video](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/rick-ross-sorry-video-300x194.jpg)
Rick Ross ameachia video ya wimbo wake ‘Sorry’ aliomshirikisha Chris Brown ambao ulitoka mwezi uliopita.
Kwenye video hiyo Rozay amemtumia mchumba wake Lira Galore kama video model, ikiwa ni siku moja tu imepita toka rapper huyo apost video kwenye mtandao wa Snapchat ikimuonesha yuko na Lira ambaye alionekana amevaa pete ya uchumba aliyovishwa na Rozay, siku chache toka zisambae taarifa kuwa wawili hao wameachana na Lira karudisha pete.
‘Sorry’ ni wimbo wa kwanza kutoka kwenye album mpya...
9 years ago
Bongo521 Nov
Kylie Jenner ampiga chini Tyga kwenye birthday yake
![Tyga and Kylie](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Tyga-and-Kylie-300x194.jpg)
Couple ya mrembo Kylie Jenner na rapper Tyga inasemekana imevunjika.
Kwa mujibu wa TMZ, couple hiyo imevunjika baada ya kutokea ugomvi mkubwa ambao Tyga ndio chanzo.
Kylie amempiga chini Tyga siku ya Alhamisi NOV.19, siku ambayo Tyga alikuwa akisherehekea birthday yake ya 26 na marafiki mbalimbali wakiwemo A$AP Rocky, Wiz Khalifa, Jamie Foxx na Leonardo DiCaprio, lakini Kylie hakuonekana, wala yeye na dada zake hawakum-wish happy birthday kwenye mitandao ya kijamii.
Vyanzo vingine vimesema...
9 years ago
Bongo526 Nov
Kylie Jenner akanusha taarifa za kuachana na Tyga
![kylie-tyga-ellen](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/kylie-tyga-ellen-300x194.jpg)
Mrembo wa familia ya Kardashians, Kylie Jenner amezungumzia kuhusu taarifa zilizosambaa wiki iliyopita kuwa amempiga chini rapper Tyga ambaye ni boyfriend wake.
Akizungumza katika kipindi cha The Ellen Show, Kylie amekanusha kuhusu uvumi huo na kusema kuwa watu walielewa vibaya lakini yeye na Tyga hawajaachana.
“Honestly, people have it all wrong, We’re not broken up. We became best friends before anything happened, so I think that that’s awesome and we’re just like, hanging out.”
Baada ya...
9 years ago
Bongo529 Sep
Mabeste amtumia Lisa (mama wa mwanaye) kama video model kwenye video yake mpya ‘Usiwe Bubu’
9 years ago
Mtanzania02 Oct
Kylie Jenner, Tyga kuachana kisa jina la Drake?
NEW YORK, Marekani
BAADA ya wiki kadhaa za furaha ya nyota wa muziki nchini Marekani, Tyga kumnunulia mpenzi wake, Kylie Jenner, gari aina ya Mercedes G Wagon alipofanya sherehe ya kukumbuka siku ya kuzaliwa kwake, hali imebadilika na kuwa ya huzuni.
Uhusiano wa wawili hao unaonekana kuingiwa na mdudu mbaya baada ya kutokea malumbano kati yao ambapo kwa mujibu wa mtandao wa Hollywood life, chanzo ni kwamba Tyga alimtukana mpenzi wake huyo kwa kumfananisha mambo mabaya na Drake.
Mtandao huo...
9 years ago
Bongo524 Nov
Baada ya kurudiana Kylie Jenner athibitisha kuwa ndoa yake na Tyga inakuja
![West Hollywood, CA - Kylie Jenner is back with her boyfriend, Tyga, after a short break-up during his birthday. They were seen arriving together at The Nice Guy for Justin Bieber's party where Kylie leaned on Tyga's shoulder to get out of their limo bus.
MANDATORY CREDIT: Maciel/Roger/AKM-GSI
AKM-GSI November 22, 2015
To License These Photos, Please Contact :
Steve Ginsburg
(310) 505-8447
(323) 423-9397
steve@akmgsi.com
sales@akmgsi.com
or
Maria Buda
(917) 242-1505
mbuda@akmgsi.com
ginsburgspalyinc@gmail.com](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/tyga-na-kylie-AMAa-300x194.jpg)
Baada ya kudaiwa kuachana siku chache zilizopita, rapper Tyga na mrembo kutoka kwenye familia maarufu ya The Kardashians, Kylie Jenner walionekana pamoja baada ya tuzo za ‘American Music Awards’ Jumapili iliyopita, ikiashiria kuwa wamemaliza matatizo waliyokuwa nayo.
Tyga aliyekuwa amevaa suti ya blue pamoja na Kylie aliyekuwa amevaa kivazi cheupe walionekana wakiwa wameshikana mikono baada ya tuzo hizo.
Wakati wakipanda gari ili kuelekea kwenye after party ya Justin Bieber, paparazzi...
9 years ago
Bongo527 Oct
Tyga kwa Future: Unaweza kumchukua Blac Chyna, nina demu mkali zaidi kwa sasa (Kylie Jenner)