Kylie Jenner, Tyga kuachana kisa jina la Drake?
NEW YORK, Marekani
BAADA ya wiki kadhaa za furaha ya nyota wa muziki nchini Marekani, Tyga kumnunulia mpenzi wake, Kylie Jenner, gari aina ya Mercedes G Wagon alipofanya sherehe ya kukumbuka siku ya kuzaliwa kwake, hali imebadilika na kuwa ya huzuni.
Uhusiano wa wawili hao unaonekana kuingiwa na mdudu mbaya baada ya kutokea malumbano kati yao ambapo kwa mujibu wa mtandao wa Hollywood life, chanzo ni kwamba Tyga alimtukana mpenzi wake huyo kwa kumfananisha mambo mabaya na Drake.
Mtandao huo...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo526 Nov
Kylie Jenner akanusha taarifa za kuachana na Tyga
![kylie-tyga-ellen](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/kylie-tyga-ellen-300x194.jpg)
Mrembo wa familia ya Kardashians, Kylie Jenner amezungumzia kuhusu taarifa zilizosambaa wiki iliyopita kuwa amempiga chini rapper Tyga ambaye ni boyfriend wake.
Akizungumza katika kipindi cha The Ellen Show, Kylie amekanusha kuhusu uvumi huo na kusema kuwa watu walielewa vibaya lakini yeye na Tyga hawajaachana.
“Honestly, people have it all wrong, We’re not broken up. We became best friends before anything happened, so I think that that’s awesome and we’re just like, hanging out.”
Baada ya...
9 years ago
Bongo521 Nov
Kylie Jenner ampiga chini Tyga kwenye birthday yake
![Tyga and Kylie](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Tyga-and-Kylie-300x194.jpg)
Couple ya mrembo Kylie Jenner na rapper Tyga inasemekana imevunjika.
Kwa mujibu wa TMZ, couple hiyo imevunjika baada ya kutokea ugomvi mkubwa ambao Tyga ndio chanzo.
Kylie amempiga chini Tyga siku ya Alhamisi NOV.19, siku ambayo Tyga alikuwa akisherehekea birthday yake ya 26 na marafiki mbalimbali wakiwemo A$AP Rocky, Wiz Khalifa, Jamie Foxx na Leonardo DiCaprio, lakini Kylie hakuonekana, wala yeye na dada zake hawakum-wish happy birthday kwenye mitandao ya kijamii.
Vyanzo vingine vimesema...
9 years ago
Bongo524 Nov
Baada ya kurudiana Kylie Jenner athibitisha kuwa ndoa yake na Tyga inakuja
![West Hollywood, CA - Kylie Jenner is back with her boyfriend, Tyga, after a short break-up during his birthday. They were seen arriving together at The Nice Guy for Justin Bieber's party where Kylie leaned on Tyga's shoulder to get out of their limo bus.
MANDATORY CREDIT: Maciel/Roger/AKM-GSI
AKM-GSI November 22, 2015
To License These Photos, Please Contact :
Steve Ginsburg
(310) 505-8447
(323) 423-9397
steve@akmgsi.com
sales@akmgsi.com
or
Maria Buda
(917) 242-1505
mbuda@akmgsi.com
ginsburgspalyinc@gmail.com](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/tyga-na-kylie-AMAa-300x194.jpg)
Baada ya kudaiwa kuachana siku chache zilizopita, rapper Tyga na mrembo kutoka kwenye familia maarufu ya The Kardashians, Kylie Jenner walionekana pamoja baada ya tuzo za ‘American Music Awards’ Jumapili iliyopita, ikiashiria kuwa wamemaliza matatizo waliyokuwa nayo.
Tyga aliyekuwa amevaa suti ya blue pamoja na Kylie aliyekuwa amevaa kivazi cheupe walionekana wakiwa wameshikana mikono baada ya tuzo hizo.
Wakati wakipanda gari ili kuelekea kwenye after party ya Justin Bieber, paparazzi...
9 years ago
Bongo502 Nov
Video: Tyga amtumia tena girlfriend wake Kylie Jenner kwenye video mpya ‘Dope’d Up’
![tyga-kylie-doped-up-video](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/tyga-kylie-doped-up-video-94x94.jpg)
9 years ago
Bongo527 Oct
Tyga kwa Future: Unaweza kumchukua Blac Chyna, nina demu mkali zaidi kwa sasa (Kylie Jenner)
10 years ago
Bongo514 Feb
Drake amdiss Tyga kwenye mixtape mpya ‘If You’re Reading This It’s Too Late’ , Tyga amjibu
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/kZzo8PgK6neRsLipXVTR4wDcp9QN-8cCcoFLrVBi6dgQbUljwXDcldq0EJBp5luAX71MguQREnSzP5*8Qzw-hSAtkEEyvn*W/Kylieimg1.png?width=650)
KYLIE JENNER ACHARUKA MTANDAONI!
9 years ago
Mtanzania23 Nov
Kylie Jenner ajipeleka kwa ASAP
NEW YORK, MAREKANI
KUTOKANA na mgogoro unaoendelea kati ya mkali wa hip hop nchini Marekani, Tyga na mpenzi wake, Kylie Jenner, hatimaye mrembo huyo amejipeleka kwa ASAP Roky.
Kuna taarifa zimesambaa kwenye mitandao ya kijamii kwamba wawili hao wamekuwa na mgogoro katika uhusiano wao, huku mrembo huyo akidai kwamba mpenzi wake anaonekana kuwa na mawasiliano na mpenzi wake wa zamani ambaye alizaa naye, Blac Chyna.
Kutokana na hali hiyo, mrembo huyo juzi alionekana akiwa na nyota wa hip hop,...