Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kylie Jenner ajipeleka kwa ASAP

kylie-jennerNEW YORK, MAREKANI
KUTOKANA na mgogoro unaoendelea kati ya mkali wa hip hop nchini Marekani, Tyga na mpenzi wake, Kylie Jenner, hatimaye mrembo huyo amejipeleka kwa ASAP Roky.

Kuna taarifa zimesambaa kwenye mitandao ya kijamii kwamba wawili hao wamekuwa na mgogoro katika uhusiano wao, huku mrembo huyo akidai kwamba mpenzi wake anaonekana kuwa na mawasiliano na mpenzi wake wa zamani ambaye alizaa naye, Blac Chyna.

Kutokana na hali hiyo, mrembo huyo juzi alionekana akiwa na nyota wa hip hop,...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Tyga kwa Future: Unaweza kumchukua Blac Chyna, nina demu mkali zaidi kwa sasa (Kylie Jenner)

Tyga hana tatizo na Future ambaye inadaiwa ana uhusiano na ‘baby mama’ wake Blac Chyna kwakuwa ana msichana mrembo zaidi kwa sasa – Kylie Jenner. Kulikuwepo na tetesi kuwa wawili hao waliowahi kushirikiana kwenye ngoma moja, Show You, wametofautiana kufuatia hatua hiyo kwa Future kuamua kuvunja masharti ya ‘ushkaji’ ya kuanza kutembea na shemeji yake […]

 

10 years ago

GPL

KYLIE JENNER ACHARUKA MTANDAONI!

Mwanamitindo maarufu ambaye pia ni mtangazaji, Kylie Jenner. NEW YORK, Marekani MWANAMITINDO maarufu ambaye pia ni mtangazaji, Kylie Jenner juzikati amecharuka mtandaoni na kummwagia matusi shabiki wake aliyemuuliza swali kuhusu kazi ya lipsi zake kwenye ulimwengu wa mapenzi. Mwanamitindo huyo alionekana kuja juu kwanza kutokana na kitendo cha shabiki huyo kumchanganya jina kwa kumuita jina la dada yake, Kendall Jenner kisha...

 

9 years ago

Bongo5

Kylie Jenner akanusha taarifa za kuachana na Tyga

kylie-tyga-ellen

Mrembo wa familia ya Kardashians, Kylie Jenner amezungumzia kuhusu taarifa zilizosambaa wiki iliyopita kuwa amempiga chini rapper Tyga ambaye ni boyfriend wake.

kylie-tyga-ellen

Akizungumza katika kipindi cha The Ellen Show, Kylie amekanusha kuhusu uvumi huo na kusema kuwa watu walielewa vibaya lakini yeye na Tyga hawajaachana.

“Honestly, people have it all wrong, We’re not broken up. We became best friends before anything happened, so I think that that’s awesome and we’re just like, hanging out.”

Baada ya...

 

5 years ago

Showbiz Cheat Sheet

Kylie Jenner Wants to Have More Kids in the Future, but Will It Be With Travis Scott?

Kylie Jenner Wants to Have More Kids in the Future, but Will It Be With Travis Scott?  Showbiz Cheat SheetKylie Jenner Reveals Dreamy Selfie in Room Filled With Sunflowers  PopCulture.comKylie Jenner Makes Rare Statement About Caitlyn Jenner  Showbiz Cheat SheetKylie Jenner is being dragged online for turning her house into a sunflower field  WhoView Full coverage on Google News

 

5 years ago

BBCSwahili

Kylie Jenner: Forbes yamuondoa kwenye orodha ya mabilionea

Jarida hilo linasema familia ya Kardashian ilipotosha vyombo vya habari kuhusu thamani ya biashara ya vipodozi ya Jenner.

 

10 years ago

GPL

BLAC CHYNA AFANYIWA UPASUAJI KUFANANA NA KYLIE JENNER

Staa wa michezo ya nusu utupu, Angela Renée White ‘Blac Chyna’. New York, Marekani
STAA wa michezo ya nusu utupu, Angela Renée White ‘Blac Chyna’ amefanyiwa upasuaji wa sura na kufanana na mwanamitindo, Kylie Jenner. Blac kwa sasa yupo katika bifu na mwanamitindo huyo baada ya kuchukuliwa baba watoto wake, Michael Ray Nguyen-Stevenson ‘Tyga’. “Mwanzoni Kylie alikuwa akitaka...

 

9 years ago

Mtanzania

Kylie Jenner, Tyga kuachana kisa jina la Drake?

Kylie Jenner, TygaNEW YORK, Marekani

BAADA ya wiki kadhaa za furaha ya nyota wa muziki nchini Marekani, Tyga kumnunulia mpenzi wake, Kylie Jenner, gari aina ya Mercedes G Wagon alipofanya sherehe ya kukumbuka siku ya kuzaliwa kwake, hali imebadilika na kuwa ya huzuni.

Uhusiano wa wawili hao unaonekana kuingiwa na mdudu mbaya baada ya kutokea malumbano kati yao ambapo kwa mujibu wa mtandao wa Hollywood life, chanzo ni kwamba Tyga alimtukana mpenzi wake huyo kwa kumfananisha mambo mabaya na Drake.

Mtandao huo...

 

9 years ago

Bongo5

Kylie Jenner ampiga chini Tyga kwenye birthday yake

Tyga and Kylie

Couple ya mrembo Kylie Jenner na rapper Tyga inasemekana imevunjika.

Tyga and Kylie

Kwa mujibu wa TMZ, couple hiyo imevunjika baada ya kutokea ugomvi mkubwa ambao Tyga ndio chanzo.

Kylie amempiga chini Tyga siku ya Alhamisi NOV.19, siku ambayo Tyga alikuwa akisherehekea birthday yake ya 26 na marafiki mbalimbali wakiwemo A$AP Rocky, Wiz Khalifa, Jamie Foxx na Leonardo DiCaprio, lakini Kylie hakuonekana, wala yeye na dada zake hawakum-wish happy birthday kwenye mitandao ya kijamii.

Vyanzo vingine vimesema...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani