Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mixtape ya kushtukiza ya Drake ‘IYRTITL’ kuuza kopi zaidi ya laki nne katika wiki ya kwanza

Surprise ndio mpango kwa sasa. Mixtape ya kushtukiza ya Drake, If You’re Reading This It’s Too Late iliyoachiwa usiku wa Alhamis, inatarajiwa kuuza kopi zaidi ya laki nne katika wiki yake ya kwanza kwa mujibu wa Billboard. Mixtape hiyo yenye nyimbo 17 inaweza kukamata nafasi ya kwanza kwenye chart ya Billboard 200 kwa kuuza zaidi […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Album ya Adele ‘25’ kuuza nakala milioni 3 Marekani pekee kwenye wiki ya kwanza

600

Album mpya ya Adele, 25 inatarajiwa kuuza nakala milioni 3 nchini Marekani katika wiki yake ya kwanza kwa mujibu wa kampuni ya Nielsen Music.

600

Hadi November 24 album hiyo ilikuwa imeuza kopi milioni 2.8. Miongoni mwa hizo, milioni 1.45 zimeuzwa mtandaoni kwenye iTunes.

25 imeshazidi hadi rekodi ya mauzo ya album kwa wiki mbili tangu kampuni ya Nielsen ilivyoanza kufuatilia mauzo ya album mwaka 1991.

Rekodi ya awali ilishikiliwa na album ya *NSYNC, No Strings Attached iliyouza kopi 2,416,000...

 

9 years ago

Bongo5

Chris Brown aachia mixtape mpya ‘Before The Party’ kwa kushtukiza

chris-brown-btp

Chris Brown amewa-surprise mashabiki wake #TeamBreezy kwa kuachia Mixtape ya kushtukiza ‘Before The Party’ siku ya Ijumaa November 27.

chris-brown-btp

Mixtape hiyo imetoka wiki chache kabla hajaachia rasmi album yake mpya ‘Royalty’ itakayotoka Dec.18.

#BeforeTheParty is available now! This is for you #TeamBreezy! #BlackFriday #Royalty https://t.co/qnGLM4Lznw pic.twitter.com/RCB8XjveAw

— Chris Brown (@chrisbrown) November 27, 2015

‘Before The Party’ ina jumla ya nyimbo 34, zikiwemo collabo ambazo hazikuwahi...

 

10 years ago

Bongo5

Drake aachia albam mpya ‘If You’re Reading This It’s Too Late’ kwa kushtukiza

Ule mtindo alioutumia Beyonce kuachia albam mwaka juzi bila kutangaza kabla ndio ameutumia rapper wa Canada, Drake ambaye ametoa albam yake mpya kwa kushtukiza. Albam hiyo iitwayo ‘If You’re Reading This It’s Too Late’ imetoka Alhamisi Feb.12 usiku. ‘If You’re Reading This It’s Too Late’ ina nyimbo 17 na wasanii walioshirikishwa ni pamoja na Lil […]

 

10 years ago

Bongo5

Nyimbo zote 17 za mixtape/album ya Drake zaingia kwenye chart ya Billboard R&B/Hip-Hop Songs

Drake amevunja rekodi baada ya nyimbo zake zote 17 za kwenye mixtape/album ya kushtukiza, If You’re Reading This It’s Too Late kuingia kwenye chart ya Billboard R&B/Hip-Hop Songs. Kwa ujumla Drake anamiliki asilimia 42 ya nyimbo 50 zilizopo kwenye chart hiyo akiwa na jumla ya nyimbo 21. If You’re Reading This It’s Too Late imeendelea […]

 

10 years ago

Bongo5

Drake amdiss Tyga kwenye mixtape mpya ‘If You’re Reading This It’s Too Late’ , Tyga amjibu

Baada ya Drake kutoa album project ya kushtukiza Alhamisi Feb.13 ambayo baadae alikuja kuthibitisha kuwa ni mixtape iitwayo “If You’re Reading This It’s Too Late” yenye jumla ya nyimbo 17, kuna wimbo ambao umeibua tena beef yake na Tyga. Katika mixtape hiyo kuna wimbo unaoitwa “6 PM in New York” ambao Drake amemdiss Tyga na […]

 

10 years ago

Mwananchi

Kilichoharibu kura laki nne hadharani

Kutokujua kusoma, uelewa mdogo na ukosefu wa elimu ya mpiga kura, ni mambo ambayo yamechangia kwa kiasi kikubwa kuharibika kura katika uchaguzi uliofanyika wiki iliyopita.

 

10 years ago

Bongo5

2014 Forest Hills Drive ya J.Cole yawa album ya hip hop iliyouza zaidi kwenye wiki ya kwanza mwaka huu

Album mpya ya J.Cole, 2014 Forest Hills Drive imeuza kopi nyingi zaidi kwenye wiki ya kwanza kuliko album yoyote ya hip hop iliyotoka mwaka huu. Rekodi hiyo ilikuwa ikishikiliwa na album ya Rick Ross, Mastermind iliyouza kopi 179,000 kwenye wiki yake ya kwanza. Album ya Cole imeizidi mara mbili Mastermind kwa kuuza kopi 361,000 kwenye […]

 

11 years ago

Mwananchi

Tanzania inahitaji walimu laki nne ifikapo mwaka 2030

Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni, (UNESCO) hivi karibuni limetoa ripoti inayoonyesha Tanzania itahitaji angalau walimu 406,600, ifikapo mwaka 2030.

 

9 years ago

Bongo5

Album ya Adele yavunja rekodi Marekani, yauza nakala milioni 3.38 katika wiki ya kwanza

adele-new-album

Album mpya ya Adele, 25 imevunja rekodi kwa kuuza nakala milioni 3.38 katika wiki yake ya kwanza nchini Marekani pekee, kwa mujibu wa taarifa za Nielsen Music.

adele-new-album

Staa huyo wa Uingereza amevunja rekodi hiyo tangu Nielsen ianze kufuatilia mauzo ya album mwaka 1991. 25 iliyotoka Novemba 20 imekuwa pia album ya kwanza kuuza nakala nyingi zaidi katika wiki ya kwanza.

Kwa Uingereza, 25 imevunja pia rekodi kwa kuuza nakala 800,000 katika wiki yake ya kwanza.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!!...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani