Tanzania inahitaji walimu laki nne ifikapo mwaka 2030
Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni, (UNESCO) hivi karibuni limetoa ripoti inayoonyesha Tanzania itahitaji angalau walimu 406,600, ifikapo mwaka 2030.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili24 Oct
Gesi chafu kupunguzwa hadi ifikapo 2030
Muungano wa Ulaya wakubaliana kupunguza mabadiliko ya hali ya hewa kwa kupunguza gesi chafu kwa asilimia 40.
10 years ago
Vijimambo04 Dec
Tanzania ifikapo mwaka 2025.
Watanzania wana matarajio mengi kuhusu maisha yao ya baadayeWananchi wanamatumaini kuwa nchi itakuwa yenye uchumi wa kati ifikapo 2025
4 Desemba 2014, Dar es Salaam: Zaidi ya nusu ya wananchi (54%) wanafikiri kuwa maisha yao yatakuwa bora zaidi ifikapo mwaka 2025. Huu ndio mtazamo wa wananchi wakio katika makundi yote- vijana kwa wazee, wanaume kwa wanawake, na wakazi wa vijijini na mijini. Mtazamo huu ni tofauti kabisa na ule wa nchi za Marekani na Ulaya ambapo karibu wananchi saba kati ya...
![](http://api.ning.com/files/bquVoc42xDPpKQuaXTdL8-8GJjCupIoeZtm-vyC0UI7LnXGhrLReSeyHw8Wb*BSowqghZeS1AlBJ88OWByj47YGjr06RyJah/kongo.jpg)
11 years ago
MichuziTanzania kufikia kipato cha kati ifikapo mwaka 2025
Tanzania inatarajiwa kuondoka kwenye kundi la nchi masikini na kuhamia kwenye kundi la nchi zenye kipato cha kati ifikapo mwaka 2025. Kauli hiyo imetolewa na Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo alipokuwa akifungua kongamano linaloendelea huko Berlin nchini Ujerumani kama njia mojawapo ya kuadhimisha jubilee ya miaka 50 ya muungano wa Tanganyika na Zanzibar.
Kongamano hilo linakutanisha wadau mbalimbali ikiwa ni pamoja na mabalozi, wataalamu...
9 years ago
Mwananchi02 Nov
Kilichoharibu kura laki nne hadharani
Kutokujua kusoma, uelewa mdogo na ukosefu wa elimu ya mpiga kura, ni mambo ambayo yamechangia kwa kiasi kikubwa kuharibika kura katika uchaguzi uliofanyika wiki iliyopita.
10 years ago
Bongo514 Feb
Mixtape ya kushtukiza ya Drake ‘IYRTITL’ kuuza kopi zaidi ya laki nne katika wiki ya kwanza
Surprise ndio mpango kwa sasa. Mixtape ya kushtukiza ya Drake, If You’re Reading This It’s Too Late iliyoachiwa usiku wa Alhamis, inatarajiwa kuuza kopi zaidi ya laki nne katika wiki yake ya kwanza kwa mujibu wa Billboard. Mixtape hiyo yenye nyimbo 17 inaweza kukamata nafasi ya kwanza kwenye chart ya Billboard 200 kwa kuuza zaidi […]
10 years ago
VijimamboMWAKA 2030 UWE MWISHO WA TOFAUTI YA USAWA WA KIJINSIA-UN
Mwakilishi wa Kudumu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-MFCxR6Ugj9U/XvBI8qGsw8I/AAAAAAALu24/JAChvLEWIEEzvDXlsG6ASq8y2TFTjom_ACLcBGAsYHQ/s72-c/vlcsnap-2020-06-21-08h39m04s769.png)
Naibu waziri Uujenzi aagiza kipande cha barabara Njombe-Moronga kikamilishwe ifikapo mwezi Octoba Mwaka huu.
Na Amiri kilagalila,Njombe Naibu waziri wa Ujenzi,Uchukuzi na Mawasiliano Mhandisi Elias kwandikwa amemuagiza mkandarasi anayejenga barabara ya Njombe kuelekea wilayani Makete kipande cha Njombe-Moronga kuhakikisha anakamilisha ujenzi wa kipande hicho na kuhakikisha imekamilika ifikapo mwezi Oktoba mwaka huu. Agizo hilo amelitoa wakati akikagua ujenzi wa barabara hiyo katika ziara yake ya kikazi ya siku moja ambapo amesema anataka kuona ujenzi huo unakamilika ili wananchi waendelee...
9 years ago
Dewji Blog21 Dec
Waziri wa Mambo ya Nje, Balozi Augustine Mahiga atembelea AICC na Laki Laki Arusha
![](http://2.bp.blogspot.com/-bm_xZvGMFNk/Vnd9mWghqDI/AAAAAAAAFOw/eMl7_1caneA/s640/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-SKWwrkc4f64/Vnd9sUlaLII/AAAAAAAAFO4/nPnpl143xhk/s640/2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-5fUxeKnX1Zc/Vnd9v1vZAFI/AAAAAAAAFPA/RgXmS-Y7guE/s640/3.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania