Tanzania ifikapo mwaka 2025.
Watanzania wana matarajio mengi kuhusu maisha yao ya baadayeWananchi wanamatumaini kuwa nchi itakuwa yenye uchumi wa kati ifikapo 20254 Desemba 2014, Dar es Salaam: Zaidi ya nusu ya wananchi (54%) wanafikiri kuwa maisha yao yatakuwa bora zaidi ifikapo mwaka 2025. Huu ndio mtazamo wa wananchi wakio katika makundi yote- vijana kwa wazee, wanaume kwa wanawake, na wakazi wa vijijini na mijini. Mtazamo huu ni tofauti kabisa na ule wa nchi za Marekani na Ulaya ambapo karibu wananchi saba kati ya...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziTanzania kufikia kipato cha kati ifikapo mwaka 2025
Tanzania inatarajiwa kuondoka kwenye kundi la nchi masikini na kuhamia kwenye kundi la nchi zenye kipato cha kati ifikapo mwaka 2025. Kauli hiyo imetolewa na Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo alipokuwa akifungua kongamano linaloendelea huko Berlin nchini Ujerumani kama njia mojawapo ya kuadhimisha jubilee ya miaka 50 ya muungano wa Tanganyika na Zanzibar.
Kongamano hilo linakutanisha wadau mbalimbali ikiwa ni pamoja na mabalozi, wataalamu...
11 years ago
Mwananchi21 Oct
Tanzania inahitaji walimu laki nne ifikapo mwaka 2030
10 years ago
MichuziRAIS DK. JAKAYA KIKWETE KUONGOZA KONGAMANO LA KUELEKEA UCHUMI WA KATI IFIKAPO 2025
Na Emmanuel Massaka ,Globu ya JamiiRAIS Dk. Jakaya Kikwete anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika...
5 years ago
Michuzi
SEKTA YA MADINI KUCHANGIA ASILIMIA 10 YA PATO LA TAIFA IFIKAPO 2025-WAZIRI MKUU KAASIM MAJALIWA


Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akionesha cheti baada ya kuzindua utoaji wa cheti cha uhalisia kwa Madini ya Bati kwenye ukumbi wa Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Julius Nyerere jijini Dar es salaam, Februari 23, 2020. Kulia ni Spika wa Bunge Job Ndugai, wa pili kushoto ni...
11 years ago
Habarileo27 Apr
Tanzania kuuaga umasikini mwaka 2025
TANZANIA inatarajiwa kuondoka kwenye kundi la nchi masikini na kuhamia kwenye kundi la nchi zenye kipato cha kati ifikapo mwaka 2025.
5 years ago
Michuzi
Naibu waziri Uujenzi aagiza kipande cha barabara Njombe-Moronga kikamilishwe ifikapo mwezi Octoba Mwaka huu.
10 years ago
AllAfrica.Com20 Jan
Secondary School Students in Siha, Tanzania to Own Laptops By 2025
AllAfrica.com
Every secondary School student in Siha, which is one of the seven administrative districts of Kilimanjaro Region in Tanzania is set to own a laptop computer and every household to have a university graduate by 2025. This was said by SIHA Member of ...
11 years ago
Habarileo12 Sep
JK: Tanzania itakuwa nchi yenye uchumi wa kati 2025
RAIS Jakaya Kikwete amesema Serikali imejipanga katika kuhakikisha hadi ifikapo mwaka 2025 Tanzania itakuwa imebadilika kiuchumi kutoka nchi inayoendelea hadi kuwa nchi yenye uchumi wa kati.