Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tanzania ifikapo mwaka 2025.

Watanzania wana matarajio mengi kuhusu maisha yao ya baadayeWananchi wanamatumaini kuwa nchi itakuwa yenye uchumi wa kati ifikapo 20254 Desemba 2014, Dar es Salaam: Zaidi ya nusu ya wananchi (54%) wanafikiri kuwa maisha yao yatakuwa bora zaidi ifikapo mwaka 2025. Huu ndio mtazamo wa wananchi wakio katika makundi yote- vijana kwa wazee, wanaume kwa wanawake, na wakazi wa vijijini na mijini. Mtazamo huu ni tofauti kabisa na ule wa nchi za Marekani na Ulaya ambapo karibu wananchi saba kati ya...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

Tanzania kufikia kipato cha kati ifikapo mwaka 2025

Na Greyson Mwase, Ujerumani

Tanzania inatarajiwa kuondoka kwenye kundi la nchi masikini na  kuhamia kwenye kundi la nchi zenye kipato cha kati ifikapo mwaka 2025. Kauli hiyo imetolewa na Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo alipokuwa akifungua  kongamano linaloendelea huko Berlin nchini Ujerumani  kama njia mojawapo ya kuadhimisha jubilee ya miaka 50 ya muungano wa Tanganyika na Zanzibar.
Kongamano hilo  linakutanisha wadau mbalimbali ikiwa ni pamoja na mabalozi, wataalamu...

 

11 years ago

Mwananchi

Tanzania inahitaji walimu laki nne ifikapo mwaka 2030

Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni, (UNESCO) hivi karibuni limetoa ripoti inayoonyesha Tanzania itahitaji angalau walimu 406,600, ifikapo mwaka 2030.

 

10 years ago

Michuzi

RAIS DK. JAKAYA KIKWETE KUONGOZA KONGAMANO LA KUELEKEA UCHUMI WA KATI IFIKAPO 2025

 Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi ya Kongamano  kongamano la kuchochea uzalishaji mali, Prof.Leonard  Mwaikambo akizungumza na waandishi wa habari juu ya lengo la kongamano ni kutoa fursa kwa watanzania kwa jumla kuelewa malengo na mwelekeo wa taifa letu kufikia uchumi wa kati .Waandishi wa habari wakimsikiliza Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi ya Kongamano  Profesa,Leonard  Mwaikambo.
Na Emmanuel  Massaka ,Globu ya JamiiRAIS Dk. Jakaya  Kikwete   anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika...

 

5 years ago

Michuzi

SEKTA YA MADINI KUCHANGIA ASILIMIA 10 YA PATO LA TAIFA IFIKAPO 2025-WAZIRI MKUU KAASIM MAJALIWA

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akikata utepe kuzindua Utoaji wa Cheti cha Uhalisia kwa Madini ya Bati kwenye ukumbi wa Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere jijini Dar es salaam, Februari 23, 2020.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akionesha cheti baada ya kuzindua utoaji wa cheti cha uhalisia kwa Madini ya Bati kwenye ukumbi wa Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Julius Nyerere jijini Dar es salaam, Februari 23, 2020. Kulia ni Spika wa Bunge Job Ndugai, wa pili kushoto ni...

 

11 years ago

Habarileo

Tanzania kuuaga umasikini mwaka 2025

Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter MuhongoTANZANIA inatarajiwa kuondoka kwenye kundi la nchi masikini na kuhamia kwenye kundi la nchi zenye kipato cha kati ifikapo mwaka 2025.

 

5 years ago

Michuzi

Naibu waziri Uujenzi aagiza kipande cha barabara Njombe-Moronga kikamilishwe ifikapo mwezi Octoba Mwaka huu.

Na Amiri kilagalila,Njombe Naibu waziri wa Ujenzi,Uchukuzi na Mawasiliano Mhandisi  Elias kwandikwa amemuagiza mkandarasi anayejenga barabara ya Njombe kuelekea wilayani Makete kipande cha Njombe-Moronga kuhakikisha anakamilisha ujenzi  wa kipande hicho na kuhakikisha imekamilika ifikapo mwezi Oktoba mwaka huu. Agizo hilo amelitoa wakati akikagua ujenzi wa barabara hiyo katika ziara yake ya kikazi ya siku moja ambapo amesema anataka kuona ujenzi huo unakamilika ili wananchi waendelee...

 

10 years ago

AllAfrica.Com

Secondary School Students in Siha, Tanzania to Own Laptops By 2025


Secondary School Students in Siha, Tanzania to Own Laptops By 2025
AllAfrica.com
Every secondary School student in Siha, which is one of the seven administrative districts of Kilimanjaro Region in Tanzania is set to own a laptop computer and every household to have a university graduate by 2025. This was said by SIHA Member of ...

 

11 years ago

Habarileo

JK: Tanzania itakuwa nchi yenye uchumi wa kati 2025

Rais Jakaya Kikwete akifungua Mkutano wa tatu wa Taifa wa Ukuzaji Uchumi wa Tanzania, Uchumi Mabadiliko ya Maendeleo ya Binadamu, ulioandaliwa na Taasisi ya Utafiti wa Uchumi na Jamii (ESRF), Dar es Salaam jana. Wa pili kushoto ni Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini wa taasisi hiyo, Philemon Luhanjo na Mkurugenzi Mtendaji wa ESRF, Dk Hoseana Lugonelo. (Picha na Freddy Maro).RAIS Jakaya Kikwete amesema Serikali imejipanga katika kuhakikisha hadi ifikapo mwaka 2025 Tanzania itakuwa imebadilika kiuchumi kutoka nchi inayoendelea hadi kuwa nchi yenye uchumi wa kati.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani