New Video: Diamond atoa video mpya ‘Nasema Nawe’ kwa kushtukiza, kamshirikisha Khadija Kopa
Diamond Platnumz ameachia video mpya ya wimbo wake mpya uitwao ‘Nasema Nawe’ aliomshirikisha malkia wa Taarab Khadija Kopa kwa kushtukiza. Tumezoea kuona video nyingi za miaka ya karibuni za Diamond zimekuwa zikifanyika nje na madirector wa nje, lakini video hii imeongozwa na director mpya wa Tanzania Hanscana na imefanyika hapa hapa nyumbani.
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL28 Mar
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/QBVvZp0q0Ok/default.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-CbvAhPkO3mc/VLVKEpfrY7I/AAAAAAADVeI/ZnpektTYXhw/s72-c/d1.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/moE_dXt6-CQ/default.jpg)
DIAMOND PLATNUMZ FT KHADIJA KOPA MASEMA NAE {OFFICIAL MUSIC VIDEO}
![](https://scontent-mxp.xx.fbcdn.net/hphotos-xaf1/v/t1.0-9/11076274_906464446042037_7870897011523808490_n.jpg?oh=47575ab69d632469a7561aee226d203f&oe=5577C367)
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/Xn9nFLlZAvc/default.jpg)
10 years ago
Mtanzania14 May
Khadija Kopa, Diamond kuurudia ‘Nipepee’
NA THERESIA GASPER
MALKIA wa mipasho nchini Tanzania, Khadija Kopa, anatarajia kufanya ‘remix’ ya wimbo wa ‘Nipepee’ alioshirikiana na mwanaye, Omary Kopa enzi za uhai wake.
Kopa aliweka wazi mpango wake huo wa kushirikiana na msanii, Abdul Nassib ‘Diamond’ hivi karibuni alipotembelea ofisi za New Habari (2006) Ltd zinazochapisha magazeti ya Mtanzania, Rai, The African, Bingwa na Dimba zilizopo Sinza jijini Dar es Salaam.
Alisema baada ya kushirikiana naye katika wimbo wa ‘Nasema Nawe’...
10 years ago
CloudsFM25 Nov
DIAMOND ATOA OFA YA NGOMA NA VIDEO KWA Q CHIEF
Mwaka 2012 kuliibuka bifu kati ya wasanii Q chillah na Diamond Platnumz, na ilikuwa ikionekana kuwa Q-Chillah ndiye mwenye tatizo na Diamond kwa sababu kabla ya bifu hilo Diamond alikuwa anamtaja Chilla kama moja kati ya wasanii waliomfanya kuingia ndani ya ‘game’ ya muziki wa Bongo Flava, lakini baadaye Q chief alianza kumtuhumu Diamond kuwa anamroga na kuchukua nyota yake.
Clouds fm ilimuuliza Diamond, anatamani msanii gani wa kitambo wa Bongo Fleva angekuwa anafanya vizuri mpaka leo?
...
10 years ago
Bongo504 Nov
Fid Q kwenda kushoot video mpya nje ya nchi, atoa sababu za kwanini alikuwa hafanyi video