Khadija Kopa, Diamond kuurudia ‘Nipepee’
NA THERESIA GASPER
MALKIA wa mipasho nchini Tanzania, Khadija Kopa, anatarajia kufanya ‘remix’ ya wimbo wa ‘Nipepee’ alioshirikiana na mwanaye, Omary Kopa enzi za uhai wake.
Kopa aliweka wazi mpango wake huo wa kushirikiana na msanii, Abdul Nassib ‘Diamond’ hivi karibuni alipotembelea ofisi za New Habari (2006) Ltd zinazochapisha magazeti ya Mtanzania, Rai, The African, Bingwa na Dimba zilizopo Sinza jijini Dar es Salaam.
Alisema baada ya kushirikiana naye katika wimbo wa ‘Nasema Nawe’...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/moE_dXt6-CQ/default.jpg)
DIAMOND PLATNUMZ FT KHADIJA KOPA MASEMA NAE {OFFICIAL MUSIC VIDEO}
![](https://scontent-mxp.xx.fbcdn.net/hphotos-xaf1/v/t1.0-9/11076274_906464446042037_7870897011523808490_n.jpg?oh=47575ab69d632469a7561aee226d203f&oe=5577C367)
10 years ago
GPL28 Mar
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/QBVvZp0q0Ok/default.jpg)
10 years ago
Bongo528 Mar
New Video: Diamond atoa video mpya ‘Nasema Nawe’ kwa kushtukiza, kamshirikisha Khadija Kopa
Diamond Platnumz ameachia video mpya ya wimbo wake mpya uitwao ‘Nasema Nawe’ aliomshirikisha malkia wa Taarab Khadija Kopa kwa kushtukiza. Tumezoea kuona video nyingi za miaka ya karibuni za Diamond zimekuwa zikifanyika nje na madirector wa nje, lakini video hii imeongozwa na director mpya wa Tanzania Hanscana na imefanyika hapa hapa nyumbani.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NRpz*rV1U-vsLnPrdgMjszMOC4-t9Yzaxu33kaafrx3e5PQuisIn6ZowxJU6OZSoazNTObPIGZcYpPsVBGh8VJx18fWy9VF*/kopa.jpg)
SIMULIZI TAMU YA KHADIJA KOPA-4
ILIPOISHIA
Khadija Kopa alizungumzia hali aliyokuwa nayo mara baada ya kutorokwa na mama yake, Hakuwa na hamu ya kula, hakutaka kuongea na mtu yeyote, mapenzi juu ya mama yake yalikuwa makubwa.
ENDELEA... Malkia wa Taarab nchini, Khadija Kopa. Kama kusoma nilisoma sana japokuwa kila siku mawazo juu ya mama yangu…
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/n9CkP9pTfMMjUjUnySJjX4YmN8Rekq28T14nqbkZINzJIRtdqJ70UeNDLkdETr5bgKSLAkEfvynNT6sf9mTcI*9gJKcLrYPz/kopa.jpg?width=650)
SIMULIZI TAMU YA KHADIJA KOPA - 6
ILIPOISHIA: Bado Khadija Kopa anaendelea kusimulia historia ya maisha yake, kule alipopitia mpaka kuja kuwa mwanamuziki mkubwa wa Muziki wa Mwambao. Wiki iliyopita tuliishia pale alipokuwa akisema namna alivyoingia shuleni na kuanza kidato cha kwanza. Yalikuwa ni maisha mapya lakini hakutaka kukata tamaa.endelea... Sikuwa nimezoea maisha ya shuleni hapo, nilikuwa mkimya sana na kwa kiasi fulani nilianza kunenepa. Hatukuwa na...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/rf021BwezXH1uHcjtGdKUzuSuo8hkVij*pM1LBV*aircmEhz1Tq3fE--bdE8ecltOJBH5fZJaZyDWFTjwz-5MXDhZQaSVvqR/kopa.jpg)
SIMULIZI TAMU YA KHADIJA KOPA - 7
Bado Khadija Kopa anaendelea kusimulia simulizi ya maisha yake. Yupo shuleni, anatamani kuimba, anapofanya hivyo, wanafunzi hasa wa kike wanaonekana kumuonea wivu na hivyo kumfunja moyo, kitu cha ajabu kwake, wavulana ndiyo waliokuwa wakimfariji, alipoambiwa hajui, wao walimwambia anajua kwani hata mbuyu ulianza kama mchicha.ENDELEA NAYOÖ AZIDI KUKERWA
Ngoja niseme ukweli kwamba kwa maneno ambayo alikuwa akiyazungumza siku...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/p5H7N8Ot6oOeSEQdEXELyTTSA50zG9vOu7XWpXrIop-YUY5xxIsUQeY1EJYLNWTWcNShXHojeinzwICNXUI1ju20OVKMn1p5/MBOTO.jpg)
MBOTO APAGAWISHWA NA KHADIJA KOPA
Stori: Musa Mateja KOMEDIANI maarufu Bongo, Haji Salum ‘Mboto’ alijikuta akipagawishwa vilivyo na shoo ya Malkia wa Taarab Bongo, Khadija Kopa kiasi cha kushindwa kujizuia na kupanda jukwaani kuungana na wacheza shoo wake. Komedian maarufu Bongo, Haji Salum ‘Mboto’ akiwa jukwaani mara baada ya kupagawishwa vilivyo na shoo ya Malkia wa Taarab Bongo, Khadija Kopa. Tukio hilo lilitokea wikiendi iliyopita...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/o-1NtXzEejI*7TkofW8dnxHnb98PPKj8wVADweECFpwCr*drDnJ7WWuWiYLu1Ni-HoMZb0GyHHRTixuCSMjE-CnpNlyyD0mO/KOPA.jpg)
SIMULIZI TAMU YA KHADIJA KOPA -6
ILIPOSHIA
“Kuna nini? aliniuliza huku akionekana kutokuelewa chochote.
“Nimefaulu mtihaniâ€.“Unasemaje?â€â€œNimefaulu mtihani bibi,†nilimwambia kwa furaha, bibi akaonekana kuwa na furaha zaidi yangu. Sasa nikamsubiria mama naye nilitaka kumpa taarifa hiyo.ENDELEA.. Malkia wa mipasho bongo, Khadija Kopa Nakumbuka siku hiyo nilikuwa na presha kubwa, nilikuwa nikimsubiria mama kwa shauku...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania