DIAMOND ATOA OFA YA NGOMA NA VIDEO KWA Q CHIEF
Mwaka 2012 kuliibuka bifu kati ya wasanii Q chillah na Diamond Platnumz, na ilikuwa ikionekana kuwa Q-Chillah ndiye mwenye tatizo na Diamond kwa sababu kabla ya bifu hilo Diamond alikuwa anamtaja Chilla kama moja kati ya wasanii waliomfanya kuingia ndani ya ‘game’ ya muziki wa Bongo Flava, lakini baadaye Q chief alianza kumtuhumu Diamond kuwa anamroga na kuchukua nyota yake.
Clouds fm ilimuuliza Diamond, anatamani msanii gani wa kitambo wa Bongo Fleva angekuwa anafanya vizuri mpaka leo?
...
CloudsFM
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo513 Aug
Mike T atoa ofa ya video 10 kwa wasanii wachanga
10 years ago
Bongo528 Mar
New Video: Diamond atoa video mpya ‘Nasema Nawe’ kwa kushtukiza, kamshirikisha Khadija Kopa
10 years ago
Bongo523 Aug
Video: MB Dogg aezelea ujio mpya, ngoma yake na Q-Chief na bendi yao
10 years ago
Bongo507 Feb
P-Funk atoa ofa ya milioni 5 kwa Godzilla warudie kuurekodi wimbo wake ‘Tungi’
10 years ago
VijimamboSHEIKH SHARIFU MSOPA ATOA OFA YA MAOMBI KWA VIONGOZI NA WANANCHI KUTUMIA MAFUTA MAALUMU TOKA GUBA YA UAJEMI KUWAPAKA
10 years ago
Bongo503 Oct
Video: Tazama Diamond alivyopiga ngoma na kumlisha keki Wema
9 years ago
Bongo528 Sep
Video: Producer Swizz Beatz wa Marekani azipa shavu ngoma mbili za Diamond
10 years ago
CloudsFM20 Nov
DIAMOND AACHIA AUDIO&VIDEO YA NGOMA YAKE MPYA IITWAYO NTAMPATA WAPI
Diamond Platinumz wakati akitambulisha ngoma yake mpya iitwayo Ntapata Wapi leo hii kwenye kipindi cha Leo Tena cha Clouds FM.
Hapa akichagua barua za wale waliotuma kwa ajili ya watoto wao wanaompenda Diamond na atakayeshinda atatembelewa na msanii huyo nyumbani kwake.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3QgTREgG9e-2Z7o*z5henT6YsapGXEfl2aG-r9QRYw4IViRh*KlDkCDisiEWAw5407YA4xk3WT0jzj5mDI91sS4jWTl9OEc3/ARIANNAANGEL2344.png?width=650)
OFA! OFA! OFA KUTOKA JAMES COSMETICS