Richmond, Lowassa and the race to Ikulu
Dar es Salaam. On Monday this week, former Prime Minister Edward Lowassa opened what some analysts were quick to nickname “Pandora’s Box†after the Monduli lawmaker offered a well-crafted, rare version of his side of the story of the Richmond power scandal.
TheCitizen
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-7LpErGbzI4I/VeFJL4wOzUI/AAAAAAAA0Io/mpZjIh6PSr0/s72-c/mwakyembe.jpg)
Mwakyembe Amshambulia LOWASSA Kuhusu Sakata la Richmond Mwigulu Nchemba naye Adai Lowassa Ni Mpiga Dili Tangu Kijana
![](http://2.bp.blogspot.com/-7LpErGbzI4I/VeFJL4wOzUI/AAAAAAAA0Io/mpZjIh6PSr0/s640/mwakyembe.jpg)
Mwakyembe Akihutibia UmatiAliyekuwa mwenyekiti wakamati teule ya bunge ya kuchunguza kashfa ya mkataba tata wa Richmond iliyomuondoa madarakani aliyekuwa waziri mkuu Mh Edward Lowassa, Mh Harrsion Mwakyembe amewahakikishia watanzania kuwa walijiridhisha pasipo shaka kuhusika kwa Edward Lowassa katika sakata la Richmond na kwamba hawakumsingizia kama anavyojitetea hivi sasa.Mwakyembe aliyasema hayo mbele ya maelfu waliojitokeza katika mkutano wa hadhara wa mgombea urais wa CCM, Dk John...
9 years ago
Habarileo29 Sep
Mwakyembe: Lowassa ndiye Richmond
MJUMBE wa timu ya kampeni ya CCM, Dk Harrison Mwakyembe, amesema sakata la kashfa ya Richmond, haliwezi kuachwa kuzungumzwa na wanaCCM kwa kuwa mgombea urais kupitia Chadema, Edward Lowassa ameanza kusingizia watu wengine kuhusika na kashfa hiyo, jambo ambalo alisema haliwezi kuachwa lipotee bila kujibiwa.
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-TeI_j1xaBVY/Vcszu8jsjZI/AAAAAAAAJfM/eJxmJsiWCyM/s72-c/lowassa-moshi3.jpg)
Lowassa: Anayejua Richmond ni Kikwete
![](http://3.bp.blogspot.com/-TeI_j1xaBVY/Vcszu8jsjZI/AAAAAAAAJfM/eJxmJsiWCyM/s640/lowassa-moshi3.jpg)
Waziri Mkuu mstaafu Edward Lowassa, kwa mara ya kwanza amemtaja Rais Jakaya Kikwete ndiye anayefahamu kwa kina mkataba wa Kampuni ya Richmond uliosababisha nchi kupata hasara ya mamilioni.Lowassa anasema, “mamlaka ya juu” ukiachilia mbali yeye aliyekuwa waziri mkuu wakati huo mkataba ukisainiwa ilikuwa inajua kila hatua na kwamba ndiye alikuwa akimaanisha Rais ambaye kwa sasa ni Jakaya Mrisho Kikwete.
Anayetafsiri mamlaka ya juu ni Mwanasheria wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema),...
9 years ago
Mwananchi12 Sep
Lowassa agoma kujibu swali la Richmond
10 years ago
TheCitizen26 May
Lowassa: Richmond was a clean deal; I’m fit as a fiddle
9 years ago
Mwananchi20 Sep
Lowassa atoa msimamo Richmond, aahidi meli iliyomshinda JK, Mkapa
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
LOWASSA RASMI CHADEMA, AKABIDHIWA KADI, ASEMA HAUSIKI NA RICHMOND
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Oi8IGTb-jSJgT2JFB003RpvtPuaXN6tyhZgl-RDgEB6EY-X0BzM*lHetDuUZ3gHFmXH-*diLK4E6KpkTrkNJd-bKMfbdqkSl/lowassa2.jpg?width=650)
LOWASSA AFUNGUKA; ASEMA HAHUSIKI NA RICHMOND, ILITUNGWA KUMCHAFUA NA HATOHAMA CCM
10 years ago
Daily News10 Jun
'I am not backing anyone in Ikulu race', JK stresses
Daily News
PRESIDENT Jakaya Kikwete has declared that he is not backing any CCM member in this year's race for the State House despite number of zealots appealing for his support. President Kikwete, who doubles as the ruling party's National Chairman, insisted ...