Mwakyembe: Lowassa ndiye Richmond
MJUMBE wa timu ya kampeni ya CCM, Dk Harrison Mwakyembe, amesema sakata la kashfa ya Richmond, haliwezi kuachwa kuzungumzwa na wanaCCM kwa kuwa mgombea urais kupitia Chadema, Edward Lowassa ameanza kusingizia watu wengine kuhusika na kashfa hiyo, jambo ambalo alisema haliwezi kuachwa lipotee bila kujibiwa.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-7LpErGbzI4I/VeFJL4wOzUI/AAAAAAAA0Io/mpZjIh6PSr0/s72-c/mwakyembe.jpg)
Mwakyembe Amshambulia LOWASSA Kuhusu Sakata la Richmond Mwigulu Nchemba naye Adai Lowassa Ni Mpiga Dili Tangu Kijana
![](http://2.bp.blogspot.com/-7LpErGbzI4I/VeFJL4wOzUI/AAAAAAAA0Io/mpZjIh6PSr0/s640/mwakyembe.jpg)
Mwakyembe Akihutibia UmatiAliyekuwa mwenyekiti wakamati teule ya bunge ya kuchunguza kashfa ya mkataba tata wa Richmond iliyomuondoa madarakani aliyekuwa waziri mkuu Mh Edward Lowassa, Mh Harrsion Mwakyembe amewahakikishia watanzania kuwa walijiridhisha pasipo shaka kuhusika kwa Edward Lowassa katika sakata la Richmond na kwamba hawakumsingizia kama anavyojitetea hivi sasa.Mwakyembe aliyasema hayo mbele ya maelfu waliojitokeza katika mkutano wa hadhara wa mgombea urais wa CCM, Dk John...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-Qd2y40MOKdw/VXAiNqjlWJI/AAAAAAAAvHI/4tr1S02nzZM/s72-c/mwakyembe.jpg)
Mwakyembe Akana kutumia Richmond Kumchafua Lowassa...... Umoja wa Ulaya nao wakana kuhusika Kumchafua
![](http://2.bp.blogspot.com/-Qd2y40MOKdw/VXAiNqjlWJI/AAAAAAAAvHI/4tr1S02nzZM/s640/mwakyembe.jpg)
WAZIRI wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dk. Harrison Mwakyembe, ameibuka na kusema hajawahi kumshambulia kwenye mitandao Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa kuhusu sakata la Richmond.Kauli hiyo ya Dk. Mwakyembe imekuja siku chache baada ya kusambazwa kwa waraka unaodaiwa kuandikwa naye, ukimuhusisha na tuhuma za kumshambulia Lowassa, jambo ambalo amelifananisha kuwa ni sawa na siasa za kitoto.
Akizungumza jana katika kipindi cha Power Breakfast kinachorushwa na kituo cha redio Clouds FM,...
9 years ago
StarTV29 Aug
Unajua alichokisema Mwakyembe kuhusu Richmond
![Dk Harrison Mwakyembe](http://www.habarileo.co.tz/images/resized/images/mwakyembe28mbeya_210_120.jpg)
Mwakyembe aliyasema hayo mbele ya maelfu waliojitokeza katika mkutano wa hadhara wa mgombea urais wa CCM, Dk John Magufuli katika viwanja vya Luandanzovwe jijini Mbeya, jana.
Akizungumzia madai ya kwa nini baadhi ya wahusika hawakupelekwa mahakamani kama kuna ushahidi, mhadhiri huyo wa sheria alisema kosa la...
10 years ago
Mwananchi20 Jun
Mwakyembe achukua fomu, azungumzia Richmond
10 years ago
Habarileo20 Jun
Dk Mwakyembe aibua zogo jipya Richmond
WAZIRI wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dk Harrison Mwakyembe ameibua mapya wakati akichukua fomu ya kuwania nafasi ya urais kupitia tiketi ya Chama Cha Mapinzudi (CCM).
10 years ago
TheCitizen30 May
Richmond, Lowassa and the race to Ikulu
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-TeI_j1xaBVY/Vcszu8jsjZI/AAAAAAAAJfM/eJxmJsiWCyM/s72-c/lowassa-moshi3.jpg)
Lowassa: Anayejua Richmond ni Kikwete
![](http://3.bp.blogspot.com/-TeI_j1xaBVY/Vcszu8jsjZI/AAAAAAAAJfM/eJxmJsiWCyM/s640/lowassa-moshi3.jpg)
Waziri Mkuu mstaafu Edward Lowassa, kwa mara ya kwanza amemtaja Rais Jakaya Kikwete ndiye anayefahamu kwa kina mkataba wa Kampuni ya Richmond uliosababisha nchi kupata hasara ya mamilioni.Lowassa anasema, “mamlaka ya juu” ukiachilia mbali yeye aliyekuwa waziri mkuu wakati huo mkataba ukisainiwa ilikuwa inajua kila hatua na kwamba ndiye alikuwa akimaanisha Rais ambaye kwa sasa ni Jakaya Mrisho Kikwete.
Anayetafsiri mamlaka ya juu ni Mwanasheria wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema),...
9 years ago
Mwananchi12 Sep
Lowassa agoma kujibu swali la Richmond
10 years ago
TheCitizen26 May
Lowassa: Richmond was a clean deal; I’m fit as a fiddle