Lowassa: Richmond was a clean deal; I’m fit as a fiddle
>It was a scandal that rocked the nation, causing a political storm in February 2008—when finally Prime Minister Edward Lowassa resigned—along with two other Cabinet ministers Ibrahim Msabaha and Nazir Karamagi.
TheCitizen
Habari Zinazoendana
9 years ago
TheCitizen28 Aug
My husband is fit as a fiddle: Lowassa’s wife
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-7LpErGbzI4I/VeFJL4wOzUI/AAAAAAAA0Io/mpZjIh6PSr0/s72-c/mwakyembe.jpg)
Mwakyembe Amshambulia LOWASSA Kuhusu Sakata la Richmond Mwigulu Nchemba naye Adai Lowassa Ni Mpiga Dili Tangu Kijana
![](http://2.bp.blogspot.com/-7LpErGbzI4I/VeFJL4wOzUI/AAAAAAAA0Io/mpZjIh6PSr0/s640/mwakyembe.jpg)
Mwakyembe Akihutibia UmatiAliyekuwa mwenyekiti wakamati teule ya bunge ya kuchunguza kashfa ya mkataba tata wa Richmond iliyomuondoa madarakani aliyekuwa waziri mkuu Mh Edward Lowassa, Mh Harrsion Mwakyembe amewahakikishia watanzania kuwa walijiridhisha pasipo shaka kuhusika kwa Edward Lowassa katika sakata la Richmond na kwamba hawakumsingizia kama anavyojitetea hivi sasa.Mwakyembe aliyasema hayo mbele ya maelfu waliojitokeza katika mkutano wa hadhara wa mgombea urais wa CCM, Dk John...
11 years ago
TheCitizen13 Mar
PAP: IPTL takeover was a clean deal
9 years ago
Habarileo29 Sep
Mwakyembe: Lowassa ndiye Richmond
MJUMBE wa timu ya kampeni ya CCM, Dk Harrison Mwakyembe, amesema sakata la kashfa ya Richmond, haliwezi kuachwa kuzungumzwa na wanaCCM kwa kuwa mgombea urais kupitia Chadema, Edward Lowassa ameanza kusingizia watu wengine kuhusika na kashfa hiyo, jambo ambalo alisema haliwezi kuachwa lipotee bila kujibiwa.
10 years ago
TheCitizen30 May
Richmond, Lowassa and the race to Ikulu
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-TeI_j1xaBVY/Vcszu8jsjZI/AAAAAAAAJfM/eJxmJsiWCyM/s72-c/lowassa-moshi3.jpg)
Lowassa: Anayejua Richmond ni Kikwete
![](http://3.bp.blogspot.com/-TeI_j1xaBVY/Vcszu8jsjZI/AAAAAAAAJfM/eJxmJsiWCyM/s640/lowassa-moshi3.jpg)
Waziri Mkuu mstaafu Edward Lowassa, kwa mara ya kwanza amemtaja Rais Jakaya Kikwete ndiye anayefahamu kwa kina mkataba wa Kampuni ya Richmond uliosababisha nchi kupata hasara ya mamilioni.Lowassa anasema, “mamlaka ya juu” ukiachilia mbali yeye aliyekuwa waziri mkuu wakati huo mkataba ukisainiwa ilikuwa inajua kila hatua na kwamba ndiye alikuwa akimaanisha Rais ambaye kwa sasa ni Jakaya Mrisho Kikwete.
Anayetafsiri mamlaka ya juu ni Mwanasheria wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema),...
9 years ago
TheCitizen07 Sep
Makamba tears into Lowassa, says he’s not fit to be president
9 years ago
Mwananchi12 Sep
Lowassa agoma kujibu swali la Richmond