Mwakyembe Akana kutumia Richmond Kumchafua Lowassa...... Umoja wa Ulaya nao wakana kuhusika Kumchafua
![](http://2.bp.blogspot.com/-Qd2y40MOKdw/VXAiNqjlWJI/AAAAAAAAvHI/4tr1S02nzZM/s72-c/mwakyembe.jpg)
WAZIRI wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dk. Harrison Mwakyembe, ameibuka na kusema hajawahi kumshambulia kwenye mitandao Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa kuhusu sakata la Richmond.Kauli hiyo ya Dk. Mwakyembe imekuja siku chache baada ya kusambazwa kwa waraka unaodaiwa kuandikwa naye, ukimuhusisha na tuhuma za kumshambulia Lowassa, jambo ambalo amelifananisha kuwa ni sawa na siasa za kitoto.
Akizungumza jana katika kipindi cha Power Breakfast kinachorushwa na kituo cha redio Clouds FM,...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Oi8IGTb-jSJgT2JFB003RpvtPuaXN6tyhZgl-RDgEB6EY-X0BzM*lHetDuUZ3gHFmXH-*diLK4E6KpkTrkNJd-bKMfbdqkSl/lowassa2.jpg?width=650)
LOWASSA AFUNGUKA; ASEMA HAHUSIKI NA RICHMOND, ILITUNGWA KUMCHAFUA NA HATOHAMA CCM
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-xy3xmt5-1wE/VNW8L_2xwGI/AAAAAAAAVBU/Bqn4Eobn3dU/s72-c/3.png)
DIAMOND AKANUSHA KUPEWA MILIONI 500 NA LOWASSA ILI AMPIGIE KAMPENI....ASEMA TAARIFA HIZO ZINALENGO LA KUMCHAFUA LOWASSA
![](http://4.bp.blogspot.com/-xy3xmt5-1wE/VNW8L_2xwGI/AAAAAAAAVBU/Bqn4Eobn3dU/s640/3.png)
Alisema hata hivyo Diamond yupo tayari kumfanyia kampeni mgombea yeyote...
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-7LpErGbzI4I/VeFJL4wOzUI/AAAAAAAA0Io/mpZjIh6PSr0/s72-c/mwakyembe.jpg)
Mwakyembe Amshambulia LOWASSA Kuhusu Sakata la Richmond Mwigulu Nchemba naye Adai Lowassa Ni Mpiga Dili Tangu Kijana
![](http://2.bp.blogspot.com/-7LpErGbzI4I/VeFJL4wOzUI/AAAAAAAA0Io/mpZjIh6PSr0/s640/mwakyembe.jpg)
Mwakyembe Akihutibia UmatiAliyekuwa mwenyekiti wakamati teule ya bunge ya kuchunguza kashfa ya mkataba tata wa Richmond iliyomuondoa madarakani aliyekuwa waziri mkuu Mh Edward Lowassa, Mh Harrsion Mwakyembe amewahakikishia watanzania kuwa walijiridhisha pasipo shaka kuhusika kwa Edward Lowassa katika sakata la Richmond na kwamba hawakumsingizia kama anavyojitetea hivi sasa.Mwakyembe aliyasema hayo mbele ya maelfu waliojitokeza katika mkutano wa hadhara wa mgombea urais wa CCM, Dk John...
9 years ago
Habarileo29 Sep
Mwakyembe: Lowassa ndiye Richmond
MJUMBE wa timu ya kampeni ya CCM, Dk Harrison Mwakyembe, amesema sakata la kashfa ya Richmond, haliwezi kuachwa kuzungumzwa na wanaCCM kwa kuwa mgombea urais kupitia Chadema, Edward Lowassa ameanza kusingizia watu wengine kuhusika na kashfa hiyo, jambo ambalo alisema haliwezi kuachwa lipotee bila kujibiwa.
9 years ago
Mwananchi02 Oct
Mwananchi halihusiki kumchafua Mbatia
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-POvVTW6kW08/VZN7vNudyrI/AAAAAAAAwyo/SEo4KroQRPc/s72-c/pic%252Btibaijuka.jpg)
Escrow Yaendelea Kumtesa Tibaijuka..Amshambulia Halima Mdee, Adai Anatumiwa na Wabaya Wake Kumchafua
![](http://3.bp.blogspot.com/-POvVTW6kW08/VZN7vNudyrI/AAAAAAAAwyo/SEo4KroQRPc/s640/pic%252Btibaijuka.jpg)
Mbunge wa Muleba Kusini (CCM), Profesa Anna Tibaijuka amemshambulia Mbunge wa Kawe (Chadema), Halima Mdee pamoja na baadhi ya vyombo vya habari kwamba vinatumiwa na wabaya wake kumkashifu katika utendaji wake.Profesa Tibaijuka alitoa shutuma hizo wakati akihutubia wananchi wa Kata ya Bureza. Alisema alikumbwa na kashfa ya Escrow, kutokana na kupata fedha kutoka kwa kaka yake Rugemalila (James) alizompa kusaidia shule anayoisimamia.
Alikanusha tuhuma zilizotolewa na Mdee bungeni dhidi yake...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-8sYqe8ON2P0/VEpmmwMwiXI/AAAAAAAC87g/al4h4XyYwGI/s72-c/1069410_488216681262565_60269170_n.jpg)
MHE. SHY-ROSE BHANJI AKANUSHA HABARI ZILIZO ZAGAA MTANDAONI NA KUDAI NI MBINU ZA KUMCHAFUA.
![](http://4.bp.blogspot.com/-8sYqe8ON2P0/VEpmmwMwiXI/AAAAAAAC87g/al4h4XyYwGI/s1600/1069410_488216681262565_60269170_n.jpg)
Mimi Shy-Rose Bhanji, Mbunge wa Afrika Mashariki-Tanzania, ninapinga vikali na kwa nguvu zote shutuma zilizotolewa dhidi yangu kupitia mitandao mbalimbali ya kijamii.Shutuma hizi...
11 years ago
Mwananchi19 Apr
Polisi wakana kuhusika na mauaji
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-I-WjVGGEhr0/Xs-mmORmzMI/AAAAAAALr1o/BJwLH-e1T5ghuP9xhe988krrdhqjKU1MQCLcBGAsYHQ/s72-c/00220197_f1ba5b470768356c9679b1155a8d2716_arc614x376_w614_us1.jpg)
BAADA YA KUJIFICHA KWA MIAKA 26 NA KUKAMATWA KABUGA AKANA KUHUSIKA NA MAUAJI YA KIMBARI
Na Leandra Gabriel, Michuzi TV
MAUAJI ya Kimbari ya mwaka 1994 ambayo yanaelezwa kuwa ni mpango uliotekelezwa na baadhi ya watu na kuuwa maelfu ya watu wa kabila la Watutsi nchini Rwanda, mmoja ya watekelezaji wa tukio hilo Felician Kabuga aliyekamatwa baada ya miaka 26 tangu kutokea kwa tukio hilo ameieleza mahakama inayomshikilia nchini Ufaransa kuwa wampe dhamana wakati akisubiri ni wapi kesi yake itasikilizwa aidha Ufaransa alipokamatwa au nyumbani anakodaiwa kutekeleza mauaji...