LOWASSA AFUNGUKA; ASEMA HAHUSIKI NA RICHMOND, ILITUNGWA KUMCHAFUA NA HATOHAMA CCM
![](http://api.ning.com:80/files/Oi8IGTb-jSJgT2JFB003RpvtPuaXN6tyhZgl-RDgEB6EY-X0BzM*lHetDuUZ3gHFmXH-*diLK4E6KpkTrkNJd-bKMfbdqkSl/lowassa2.jpg?width=650)
Waziri Mkuu aliyejiuzulu Edward Lowassa. WAZIRI Mkuu aliyejiuzulu Edward Lowassa amesafirisha wahariri wakuu wa vyombo vyote vya habari toka Dar es salaam na kufanya nao mkutano maalum leo nyumbani kwake mjini Dodoma. Katika mkutano huo kwa ufupi Lowassa amesema yafuatayo; 1: Amesema Hahusiki lolote na sakata la Richmond na ndio sababu hata kamati ya Mwakyembe haikuona sababu ya kumhoji. Amesisitiza kuwa cheo cha uwaziri mkuu...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-Qd2y40MOKdw/VXAiNqjlWJI/AAAAAAAAvHI/4tr1S02nzZM/s72-c/mwakyembe.jpg)
Mwakyembe Akana kutumia Richmond Kumchafua Lowassa...... Umoja wa Ulaya nao wakana kuhusika Kumchafua
![](http://2.bp.blogspot.com/-Qd2y40MOKdw/VXAiNqjlWJI/AAAAAAAAvHI/4tr1S02nzZM/s640/mwakyembe.jpg)
WAZIRI wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dk. Harrison Mwakyembe, ameibuka na kusema hajawahi kumshambulia kwenye mitandao Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa kuhusu sakata la Richmond.Kauli hiyo ya Dk. Mwakyembe imekuja siku chache baada ya kusambazwa kwa waraka unaodaiwa kuandikwa naye, ukimuhusisha na tuhuma za kumshambulia Lowassa, jambo ambalo amelifananisha kuwa ni sawa na siasa za kitoto.
Akizungumza jana katika kipindi cha Power Breakfast kinachorushwa na kituo cha redio Clouds FM,...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-xy3xmt5-1wE/VNW8L_2xwGI/AAAAAAAAVBU/Bqn4Eobn3dU/s72-c/3.png)
DIAMOND AKANUSHA KUPEWA MILIONI 500 NA LOWASSA ILI AMPIGIE KAMPENI....ASEMA TAARIFA HIZO ZINALENGO LA KUMCHAFUA LOWASSA
![](http://4.bp.blogspot.com/-xy3xmt5-1wE/VNW8L_2xwGI/AAAAAAAAVBU/Bqn4Eobn3dU/s640/3.png)
Alisema hata hivyo Diamond yupo tayari kumfanyia kampeni mgombea yeyote...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
LOWASSA RASMI CHADEMA, AKABIDHIWA KADI, ASEMA HAUSIKI NA RICHMOND
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-2a-cRSmOgwA/VfNEqWHNnnI/AAAAAAAAkT0/y35ol-Urfdw/s72-c/1.jpg)
LOWASSA AFUNGUKA MAZITO..ASEMA LIST HII YA VIONGOZI HAWA SITOWAACHA!!
![](http://3.bp.blogspot.com/-2a-cRSmOgwA/VfNEqWHNnnI/AAAAAAAAkT0/y35ol-Urfdw/s640/1.jpg)
KIAMA kwa Viongozi hawa na hakika neema inakuja!Mgombea urais wa UKAWA Mh Edward Lowassa amesema akichaguliwa kuwa rais wa awamu ya tano ataunda serikali itakayokuwa na viongozi wenye uwezo wa kuchukua hatua na kutatua matatizo ya wananchi na atahakikisha utaratibu wa wananchi kulalamika na viongozi pia kulalamikakama ilivyo sasa unabaki kuwa historia.Mh Lowassa ambaye amefanya mikutano minne katika majimbo ya Mtera, Bahi Chilonwa na Dodoma mjini pia amewaomba watanzania kumpa nafasi ya...
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-7LpErGbzI4I/VeFJL4wOzUI/AAAAAAAA0Io/mpZjIh6PSr0/s72-c/mwakyembe.jpg)
Mwakyembe Amshambulia LOWASSA Kuhusu Sakata la Richmond Mwigulu Nchemba naye Adai Lowassa Ni Mpiga Dili Tangu Kijana
![](http://2.bp.blogspot.com/-7LpErGbzI4I/VeFJL4wOzUI/AAAAAAAA0Io/mpZjIh6PSr0/s640/mwakyembe.jpg)
Mwakyembe Akihutibia UmatiAliyekuwa mwenyekiti wakamati teule ya bunge ya kuchunguza kashfa ya mkataba tata wa Richmond iliyomuondoa madarakani aliyekuwa waziri mkuu Mh Edward Lowassa, Mh Harrsion Mwakyembe amewahakikishia watanzania kuwa walijiridhisha pasipo shaka kuhusika kwa Edward Lowassa katika sakata la Richmond na kwamba hawakumsingizia kama anavyojitetea hivi sasa.Mwakyembe aliyasema hayo mbele ya maelfu waliojitokeza katika mkutano wa hadhara wa mgombea urais wa CCM, Dk John...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-TeI_j1xaBVY/Vcszu8jsjZI/AAAAAAAAJfM/eJxmJsiWCyM/s72-c/lowassa-moshi3.jpg)
Lowassa: Anayejua Richmond ni Kikwete
![](http://3.bp.blogspot.com/-TeI_j1xaBVY/Vcszu8jsjZI/AAAAAAAAJfM/eJxmJsiWCyM/s640/lowassa-moshi3.jpg)
Waziri Mkuu mstaafu Edward Lowassa, kwa mara ya kwanza amemtaja Rais Jakaya Kikwete ndiye anayefahamu kwa kina mkataba wa Kampuni ya Richmond uliosababisha nchi kupata hasara ya mamilioni.Lowassa anasema, “mamlaka ya juu” ukiachilia mbali yeye aliyekuwa waziri mkuu wakati huo mkataba ukisainiwa ilikuwa inajua kila hatua na kwamba ndiye alikuwa akimaanisha Rais ambaye kwa sasa ni Jakaya Mrisho Kikwete.
Anayetafsiri mamlaka ya juu ni Mwanasheria wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema),...
9 years ago
Habarileo29 Sep
Mwakyembe: Lowassa ndiye Richmond
MJUMBE wa timu ya kampeni ya CCM, Dk Harrison Mwakyembe, amesema sakata la kashfa ya Richmond, haliwezi kuachwa kuzungumzwa na wanaCCM kwa kuwa mgombea urais kupitia Chadema, Edward Lowassa ameanza kusingizia watu wengine kuhusika na kashfa hiyo, jambo ambalo alisema haliwezi kuachwa lipotee bila kujibiwa.
10 years ago
TheCitizen30 May
Richmond, Lowassa and the race to Ikulu
10 years ago
Dewji Blog29 Mar
Katibu UWT Serengeti ‘ajilipua’ asema ni bora CCM ikamuacha Lowassa agombee Urais
Diwani wa kata ya Ikoma wilaya ya Serengeti mkoani Mara, Sebastian Sabasaba Banagi akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari jana juu ya ujio wao kwa Mh.Lowassa, kuwa sauti ya wengi ni sauti ya Mungu hivyo kitendo cha kuzuiwa wananchi kueleza hisia zao sio jambo la kidemokrasia bali linakandamiza uhuru wa kusema wanachokiamini huku akisisitiza kuwa Waziri Mkuu mstaafu na Mbunge wa Monduli Edward Lowassa ni chaguo la walio wengi na hawatasita kumtafuta popote kumueleza hisia...