Escrow Yaendelea Kumtesa Tibaijuka..Amshambulia Halima Mdee, Adai Anatumiwa na Wabaya Wake Kumchafua
![](http://3.bp.blogspot.com/-POvVTW6kW08/VZN7vNudyrI/AAAAAAAAwyo/SEo4KroQRPc/s72-c/pic%252Btibaijuka.jpg)
Mbunge wa Muleba Kusini (CCM), Profesa Anna Tibaijuka amemshambulia Mbunge wa Kawe (Chadema), Halima Mdee pamoja na baadhi ya vyombo vya habari kwamba vinatumiwa na wabaya wake kumkashifu katika utendaji wake.Profesa Tibaijuka alitoa shutuma hizo wakati akihutubia wananchi wa Kata ya Bureza. Alisema alikumbwa na kashfa ya Escrow, kutokana na kupata fedha kutoka kwa kaka yake Rugemalila (James) alizompa kusaidia shule anayoisimamia.
Alikanusha tuhuma zilizotolewa na Mdee bungeni dhidi yake...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi30 Jun
Escrow yaendelea kumtesa Tibaijuka
10 years ago
Mwananchi29 Nov
Mgawo wa escrow wazidi kumtesa Tibaijuka
11 years ago
Tanzania Daima14 Jan
Halima Mdee amtaka Prof. Tibaijuka ajiuzulu
WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka, ametakiwa kujiuzulu kutokana na kuonyesha kupwaya katika nafasi yake na kushindwa kutatua mgogoro wa ardhi wa shamba la Kapunga,...
11 years ago
Bongo505 Jul
Vanessa Mdee adai aliachia ‘Hawajui’ baada ya baadhi ya watu kuponda ushindi wake wa KTMA
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-Qd2y40MOKdw/VXAiNqjlWJI/AAAAAAAAvHI/4tr1S02nzZM/s72-c/mwakyembe.jpg)
Mwakyembe Akana kutumia Richmond Kumchafua Lowassa...... Umoja wa Ulaya nao wakana kuhusika Kumchafua
![](http://2.bp.blogspot.com/-Qd2y40MOKdw/VXAiNqjlWJI/AAAAAAAAvHI/4tr1S02nzZM/s640/mwakyembe.jpg)
WAZIRI wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dk. Harrison Mwakyembe, ameibuka na kusema hajawahi kumshambulia kwenye mitandao Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa kuhusu sakata la Richmond.Kauli hiyo ya Dk. Mwakyembe imekuja siku chache baada ya kusambazwa kwa waraka unaodaiwa kuandikwa naye, ukimuhusisha na tuhuma za kumshambulia Lowassa, jambo ambalo amelifananisha kuwa ni sawa na siasa za kitoto.
Akizungumza jana katika kipindi cha Power Breakfast kinachorushwa na kituo cha redio Clouds FM,...
10 years ago
Tanzania Daima05 Oct
Halima Mdee ngangari
JESHI la Polisi jana lilitembeza mkong’oto na kuwakamata makada na viongozi wa Baraza la Wanawake wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Bawacha), waliokuwa wakiandamana kwenda Ikulu Mwenyekiti wa Bawacha, Halima...
10 years ago
Tanzania Daima02 Oct
JK amzimia Halima Mdee
MBUNGE wa Kawe, Halima Mdee (CHADEMA), jana aligeuka kivutio kikubwa katika hafla ya uzinduzi wa barabara ya Mwenge hadi Tegeta. Katika uzinduzi huo uliofanyika jana jijini Dar es salaam, Mdee,...
10 years ago
Habarileo08 Oct
Halima Mdee rumande
MBUNGE wa Kawe, Halima Mdee (35) na wanachama wenzake wanane wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) jana walipelekwa rumande baada ya kushindwa kukamilisha taratibu za dhamana katika kesi inayowakabili ya kutotii amri halali ya Polisi na kufanya mkusanyiko bila kibali.
10 years ago
Mwananchi05 Oct
Halima Mdee akamatwa Dar