Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Halima Mdee akamatwa Dar

Mbunge wa Kawe na Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake la Chadema (Bawacha), Halima Mdee ametiwa nguvuni na Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam kwa madai ya kuongoza maandamano ya baraza hilo kwenda Ikulu.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Halima Mdee akamatwa na Polisi walipowatawanya BAWACHA

Jeshi la polisi katika Kanda maalum ya Dar es Salaam limetumia maji ya kuwasha kuwatawanya wafuasi wa Baraza la Wanawake wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (BAWACHA) waliokuwa wakijiandaa KUANDAMANA hadi Ikulu.
Aidha, jeshi hilo limemkamata Mwenyekiti wa BAWACHA, Mhe. Halima Mdee aliyekuwa akiyaongoza maandamano hayo.
BAWACHA walipanga kuandamana hadi Ikulu ya Dar es Salaam kwa nia ya kuonana na Rais Jakaya Kikwete ili kumsishi asisaini Rasimu ya Katiba inayopendekezwa, ambayo ilipitishwa na...

 

10 years ago

Vijimambo

ANGALIA PICHA: BAWACHA WALIPOANDAMANA KUELEKEA IKULU, HALIMA MDEE AKAMATWA NA POLISI

Mwenyekiti wa BAWACHA ambaye pia ni mbunge wa jimbo la Kawe kupitia CHADEMA Halima Mdee akiwa katika maandamano akiwaongoza wanawake wenzake kuelekea Ikulu kumpelekea ujumbe Rais Jakaya Kikwete kwamba hasikubali kuweka saini Rasimu mpya iliyopitishwa juzi mjini Dodoma, maandamano hayo kabla hayajafika mbali walitawanywa na jeshi la polisi lililotumia maji ya kuwasha pamoja na kupigwa kwa waandamanaji na kumshika mwenyekiti huyo Halima Mdee pamoja na wafuasi wake na kupelekwa polisi Osterbay...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Halima Mdee ngangari

JESHI la Polisi jana lilitembeza mkong’oto na kuwakamata makada na viongozi wa Baraza la Wanawake wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Bawacha), waliokuwa wakiandamana kwenda Ikulu Mwenyekiti wa Bawacha, Halima...

 

10 years ago

Tanzania Daima

JK amzimia Halima Mdee

MBUNGE wa Kawe, Halima Mdee (CHADEMA), jana aligeuka kivutio kikubwa katika hafla ya uzinduzi wa barabara ya Mwenge hadi Tegeta. Katika uzinduzi huo uliofanyika jana jijini Dar es salaam, Mdee,...

 

10 years ago

Habarileo

Halima Mdee rumande

MBUNGE wa Kawe, Halima Mdee (35) na wanachama wenzake wanane wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) jana walipelekwa rumande baada ya kushindwa kukamilisha taratibu za dhamana katika kesi inayowakabili ya kutotii amri halali ya Polisi na kufanya mkusanyiko bila kibali.

 

11 years ago

Dewji Blog

Halima Mdee: Jihadharini na Matapeli

HALIMA

Na Mwandishi wetu

Mbunge wa Kawe jijini Dar es Salaam, Halima Mdee (pichani) amewatahadharisha wananchi juu ya utapeli unaofanywa na baadhi ya watu wasiojulikana katika mitandao ya kijamii kwa kutumia jina lake kwa kudai kuwa anatoa mikopo bila riba.

siku za hivi karibuni kumekuwapo na matukio ambayo yamekuwa yakiwakuta baadhi ya viongozi wakiwemo Mbunge wa Kigoma Kaskazini Zitto Kabwe na Mbuge wa Monduli Edward Lowassa.

kwa mujibu wa Mdee ni kuwa  wakati muhafaka kwa Jeshi la Polisi...

 

10 years ago

Mtanzania

RC Gama amjibu Halima Mdee

Halima-MdeeNA RODRICK MUSHI, MOSHI
SIKU moja baada ya Waziri Kivuli wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Halima Mdee (Chadema), kumlipua Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Leonidas Gama, akidai kuwa amekuwa dalali wa viwanja, hatimaye amejibu mapigo na kusema kusakamwa kwake kunatokana na msimamo wake dhidi ya wa wanywaji pombe wilayani Rombo.
Akizungumza na waandishi wa habari jana mjini hapa, alisema kauli ya Mdee imejaa siasa, hasa kipindi hiki cha kuelekea kwenye Uchaguzi Mkuu, lakini hatorudi...

 

10 years ago

Accused Over 'No

Court Warns Halima Mdee, Co


Court Warns Halima Mdee, Co-Accused Over 'No-Show'
AllAfrica.com
THE Kisutu Resident Magistrate's Court in Dar es Salaam on Tuesday warned Chadema Women's Wing (Bawacha) Chairperson, Halima Mdee and two other co-accused, for failure to attend the case facing them. In Tuesday's proceedings, the prosecution ...

 

10 years ago

Daily News

Halima Mdee in police custody


Daily News
Halima Mdee in police custody
Daily News
CHAIRPERSON of CHADEMA Women's Wing, Baraza la Wanawake Chadema (BAWACHA), Halima Mdee was detained by police for several hours along with other eight members of the Wing for allegedly conducting an illegal demonstration outside State ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani