Kikwete hataki Katiba mpya, mnahangaika bure
KIFALSAFA kuna makosa ya fikra huitwa falasi (fallacy) na mengine huitwa sofizim (sophism). Aina ya kwanza huwa ni makosa ambayo au hayajakusudiwa, yametokea kwa bahati mbaya, kwa aina ya pili...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi08 Dec
Warioba: Mabadiliko bila maadili kwenye Katiba Mpya kazi bure
9 years ago
Bongo514 Dec
Kanye West achimba mkwara, hataki kuulizwa chochote kuhusu album mpya
Baba Saint, Kanye West amecharuka na kupiga mkwara mzito kuwa hataki kuulizwa maswali kuhusu album yake mpya iitwayo ‘Swish’ ambayo amedai yuko anaimalizia.
Kupitia Twitter Kanye aliandika:
I’m finishing my album and my next collection…
— KANYE WEST (@kanyewest) December 13, 2015
no offense to anyone… I’m asking everyone DON’T ASK ME FOR ANYTHING TILL AFTER I’M FINISHED WITH MY ALBUM
— KANYE WEST (@kanyewest) December 13, 2015
Tweet hizo zinaondoa kabisa matumaini ya album hiyo ya saba ya...
10 years ago
Mtanzania05 Sep
Kikwete adokeza siri Katiba Mpya
Rais Jakaya Kikwete
NA WAANDISHI WETU, DAR ES SALAAM, DODOMA
HATIMAYE siri nzito kwenye mazungumzo kati ya Rais Jakaya Kikwete na viongozi wa vyama vya siasa walio chini ya Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD), imeanza kujulikana baada ya Rais Jakaya Kikwete jana kutoa taarifa rasmi ya awali kuwa mazungumzo kati yao yanakwenda vizuri na mwafaka wa mchakato wa Bunge la Katiba utapatikana kuanzia Jumatatu ijayo.
Kwa maneno yake, Rais Kikwete wakati akihutubia taifa kupitia kwa wazee wa Dodoma...
11 years ago
Tanzania Daima15 Mar
Jukata: Rais Kikwete ameshindwa Katiba mpya
JUKWAA la Katiba Tanzania (JUKATA) limesema Rais Jakaya Kikwete ameshindwa kutimiza ahadi ya kuwapatia Watanzania Katiba mpya kabla ya kumaliza uongozi wake. Kauli ya Jukata ilitolewa Dar es Salaam jana...
11 years ago
Dewji Blog11 Apr
Katiba Mpya: Nimeitafakari Sana Njia Ya Kikwete…
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete.
Ndugu zangu,
Naziona ishara za kuendelea kwa mvumo mbaya wa upepo wa kisiasa na hususan inapohusu hoja ya Muungano na muundo wa Serikali.
Mjadala unaoendelea sasa ni kama vile umefunikwa kwa chandarua kisicho na kinga ya wadudu wenye madhara kama mbu.
Tunakoelekea si kuzuri. Msimamo wangu uko wazi, kuwa tunahitaji muundo wa Serikali Tatu ili tuimarishe Muungano wetu. Kwamba tunahitaji uwepo wa Tanganyika kama nchi.
Lakini,...
11 years ago
Mwananchi01 Aug
Katiba Mpya: Rais Kikwete ajivua lawama
11 years ago
Tanzania Daima26 Mar
Hotuba ya Kikwete, ubabe wa Sitta vitatukosesha Katiba mpya
WIKI iliyopita Rais Jakaya Kikwete alikwenda bungeni kuzindua Bunge Maalumu, hotuba yake ilitarajiwa kuwaunganisha wajumbe wa Bunge hilo na Watanzania. Kwa bahati mbaya fikra hizo hazikutimia, hotuba ya kiongozi huyo...
11 years ago
Mwananchi06 Jul
Slaa: Rais Kikwete ana rungu la Katiba Mpya
10 years ago
Habarileo06 Nov
Wamsihi Kikwete asiondoke Ikulu bila Katiba mpya
WAZEE wa Mkoa wa Dodoma wamemtaka Rais Kikwete kusimamia mchakato wa kura ya maoni ili Katiba mpya ipatikane kabla ya kumaliza kipindi chake cha uongozi.