Wamsihi Kikwete asiondoke Ikulu bila Katiba mpya
WAZEE wa Mkoa wa Dodoma wamemtaka Rais Kikwete kusimamia mchakato wa kura ya maoni ili Katiba mpya ipatikane kabla ya kumaliza kipindi chake cha uongozi.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima09 Nov
Bila uadilifu katiba mpya ni kiinimacho
RAIS anapochaguliwa kawaida huapishwa kuilinda katiba ya nchi. Katika kumwezesha kukitimiza kiapo hicho hupewa mamlaka makubwa ya uamuzi. Hupatiwa jeshi na zana zote zinazomwezesha kukilinda kiapo chake cha kuilinda katiba...
11 years ago
Mwananchi28 Jun
Katibu: Bila Ukawa hakuna Katiba Mpya
10 years ago
Mwananchi12 Sep
Sofu: Bila uhakika wa ardhi hakuna Katiba mpya
11 years ago
GPLKATIBA MPYA IZUIE NDOA ZA UTOTONI BILA KUJALI IMANI ZA KIDINI
9 years ago
Mwananchi08 Dec
Warioba: Mabadiliko bila maadili kwenye Katiba Mpya kazi bure
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/FqkiRUfegCj2nd1xclbDU08LgSvsYBlXFiqG4y5omTOrDMv9BjrpUWXFHhG3YwxDEPgxEZIIFdrIV7OjkiaEDha3EL5-uT0L/1.jpg)
RAIS KIKWETE AMWAPISHA IGP MPYA NA NAIBU WAKE LEO IKULU
9 years ago
MichuziRAIS KIKWETE AMUAPISHA BALOZI MPYA WA TANZANIA NCHINI ZIMBABWE LEO IKULU
10 years ago
Dewji Blog02 Dec
Rais Jakaya Kikwete amwapisha CAG mpya leo , Ikulu Jiji Dar
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Kikwete (kushoto) akimwapisha Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu mpya wa Hesabu za Serikali Prof. Musa Juma Assad, leo Ikulu jijini Dar es salaam.
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu mpya wa Hesabu za Serikali Prof. Musa Juma Assad akisaini hati ya kiapo chake mbele ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Kikwete mara baada ya kuapishwa leo Ikulu jijini Dar es salaam.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Kikwete (kushoto)...
10 years ago
Dewji Blog26 Jul
Rais Kikwete amuapisha Mkurugenzi mpya wa Uchaguzi Bw. Kailima Ramadhani Kombey Ikulu jijini Dar
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete akimuapisha Ndugu Kailima Ramadhani Kombwey kuwa Mkurugenzi wa Uchaguzi Ikulu jijini Dar es salaam, Julai 25, 2015.
Ndugu Kailima Ramadhani Kombwey akiweka sahihi kwenye hati baada ya kuapishwa kuwa kuwa Mkurugenzi wa Uchaguzi Ikulu jijini Dar es salaam jana jioni, Julai 25, 2015.
Rais-uteuzi-tume ya uchaguzi.doc