Rais Kikwete amuapisha Mkurugenzi mpya wa Uchaguzi Bw. Kailima Ramadhani Kombey Ikulu jijini Dar
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete akimuapisha Ndugu Kailima Ramadhani Kombwey kuwa Mkurugenzi wa Uchaguzi Ikulu jijini Dar es salaam, Julai 25, 2015.
Ndugu Kailima Ramadhani Kombwey akiweka sahihi kwenye hati baada ya kuapishwa kuwa kuwa Mkurugenzi wa Uchaguzi Ikulu jijini Dar es salaam jana jioni, Julai 25, 2015.
Rais-uteuzi-tume ya uchaguzi.doc
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-FcDCeGUPp78/VbPhEZNTnNI/AAAAAAAHr3k/F660l_hnDhY/s72-c/t%2B%25281%2529.jpg)
RAIS KIKWETE AMUAPISHA MKURUGENZI MPYA WA UCHAGUZI BW. KAILIMA RAMADHANI KOMBEY JIONI HII IKULU
![](http://3.bp.blogspot.com/-FcDCeGUPp78/VbPhEZNTnNI/AAAAAAAHr3k/F660l_hnDhY/s640/t%2B%25281%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-jykz9iHNKk4/VbPhD408Z3I/AAAAAAAHr3c/0V0iPo1kn7E/s640/t%2B%25282%2529.jpg)
BOFYA HAPA KUONA PICHA ZAIDI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/VittCBMQg0J4EKMOA46HExkW2mNyYYaodhkhmzG-zyrWW6-cD66cwBpwPAnkKy8wTSuyLDVNCwB*FrMgrc9bm8Ln64X36vQz/t1.jpg?width=650)
RAIS KIKWETE AMUAPISHA MKURUGENZI MPYA WA UCHAGUZI BW. KAILIMA RAMADHANI KOMBEY
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-8tL6wzTY-Pc/VbPQt28zHoI/AAAAAAAB27U/4oEGPIOLEJ8/s72-c/T1.jpg)
Rais Kikwete Amuapisha Mkurugenzi Mpya wa Uchaguzi Bwa.Kailima Ramadhani Kombwey Jioni hii Ikulu.
![](http://2.bp.blogspot.com/-8tL6wzTY-Pc/VbPQt28zHoI/AAAAAAAB27U/4oEGPIOLEJ8/s640/T1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-bxysfVZiPtM/VbPQwBKdZ7I/AAAAAAAB27c/fW8ahZHeMHA/s640/T2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-saVDgHA22Ks/VbPQ2bSR-lI/AAAAAAAB27k/lL0_iMOaWEY/s640/T3.jpg)
9 years ago
MichuziRAIS KIKWETE AMUAPISHA BALOZI MPYA WA TANZANIA NCHINI ZIMBABWE LEO IKULU
10 years ago
GPL![](http://blog.ikulu.go.tz/wp-content/uploads/2014/12/1.jpg?width=650)
RAIS KIKWETE AMWAPISHA CAG MPYA, PROF MUSA JUMA ASSAD IKULU JIJINI DAR
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-IJfC12pvuwA/XvDAkz2tP2I/AAAAAAACOLs/s3wqSXRFUH81FKAG68VQY0gCr2ZxzFpzgCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
RAIS DK. MAGUFULI AMUAPISHA IDD HASSAN KAMANTA KUWA MKUU WA MKOA WA ARUSHA IKULU JIJINI DAR ES SALAAM
![](https://1.bp.blogspot.com/-IJfC12pvuwA/XvDAkz2tP2I/AAAAAAACOLs/s3wqSXRFUH81FKAG68VQY0gCr2ZxzFpzgCLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
IKULU, Dar es Salaam
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli leo tarehe 22 Juni, 2020 amemuapisha Bw. Idd Hassan Kimanta kuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha.Hafla ya uapisho huo imefanyika Ikulu Jijini Dar es Salaam ambapo pia Mhe. Rais Magufuli na...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-vaeMCxL3sig/XvC5bMsRIRI/AAAAAAALu80/4MAK7hRaG9oqFm3MOz9PcLXvRCIyit99gCLcBGAsYHQ/s72-c/1-38-2048x1223.jpg)
RAIS DKT. MAGUFULI AMUAPISHA IDD HASSAN KIMANTA KUWA MKUU WA MKOA WA ARUSHA IKULU JIJINI DAR ES SALAAM
![](https://1.bp.blogspot.com/-vaeMCxL3sig/XvC5bMsRIRI/AAAAAAALu80/4MAK7hRaG9oqFm3MOz9PcLXvRCIyit99gCLcBGAsYHQ/s640/1-38-2048x1223.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/3-28.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/6-14-scaled.jpg)
9 years ago
Dewji Blog16 Aug
Jaji Mallaba akabidhi ofisi za NEC kwa Mkurugenzi mpya wa uchaguzi, Kailima Kombwey
![](http://1.bp.blogspot.com/-FVBwmjZb9j8/Vc88qt6bkhI/AAAAAAABkiY/2YJuH2TqDuk/s640/20150815052405.jpg)
Mkurugenzi wa Uchaguzi aliyemaliza muda wake, Jaji Julius Mallaba (kushoto), ambaye ameteuliwa kuwa Jaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania akiongea na Mkurugenzi wa Uchaguzi mpya, Kailima Kombwey mapema leo wakati akikabidhi ofisi ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) jijini Dar es Salaam.
![](http://1.bp.blogspot.com/-AaBo_p36uqE/Vc88p3QAzrI/AAAAAAABkiU/4qX0Qxhdx2I/s640/20150815052418.jpg)
Mkurugenzi wa Uchaguzi aliyemaliza muda wake, Jaji Julius Mallaba (kushoto), ambaye ameteuliwa kuwa Jaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania akimsikiliza Mkurugenzi wa Uchaguzi mpya, Kailima Kombwey mapema leo wakati...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-g0ig7haYieo/XmJmIUDxOoI/AAAAAAACIOM/hPoNk-KK2Hk9akSzQDKehCm-xZWMaEoUACLcBGAsYHQ/s72-c/kk%2B%25283%2529.jpg)
RAIS DK. MAGUFULI AMUAPISHA GERALD MUSABILA KUSAYA KUWA KATIBU MKUU WIZARA YA KILIMO, IKULU JIJINI DAR ES SALAAM, LEO
![](https://1.bp.blogspot.com/-g0ig7haYieo/XmJmIUDxOoI/AAAAAAACIOM/hPoNk-KK2Hk9akSzQDKehCm-xZWMaEoUACLcBGAsYHQ/s320/kk%2B%25283%2529.jpg)
IKULU, Dar es Salaam
Rais Dk. John Magufuli, amemuapisha Gerald Musabila Kusaya kuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo katika iliyofanyika leo Ikulu Jijini Dar es Salaam na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali wakiwemo Mawaziri, Makatibu Wakuu na Naibu Katibu Mkuu, Viongozi Wakuu wa Vyombo vya Ulinzi na Usalama...