Rais Kikwete Amuapisha Mkurugenzi Mpya wa Uchaguzi Bwa.Kailima Ramadhani Kombwey Jioni hii Ikulu.
![](http://2.bp.blogspot.com/-8tL6wzTY-Pc/VbPQt28zHoI/AAAAAAAB27U/4oEGPIOLEJ8/s72-c/T1.jpg)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete akimuapisha Ndugu Kailima Ramadhani Kombwey kuwa Mkurugenzi wa Uchaguzi Ikulu jijini Dar es salaam jioni ya leo Julai 25, 2015.
Ndugu Kailima Ramadhani Kombwey akiweka sahihi kwenye hati baada ya kuapishwa kuwa kuwa Mkurugenzi wa Uchaguzi Ikulu jijini Dar es salaam jioni ya leo
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete akiweka sahihi baada ya muapisha Ndugu Kailima Ramadhani Kombwey kuwa...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-FcDCeGUPp78/VbPhEZNTnNI/AAAAAAAHr3k/F660l_hnDhY/s72-c/t%2B%25281%2529.jpg)
RAIS KIKWETE AMUAPISHA MKURUGENZI MPYA WA UCHAGUZI BW. KAILIMA RAMADHANI KOMBEY JIONI HII IKULU
![](http://3.bp.blogspot.com/-FcDCeGUPp78/VbPhEZNTnNI/AAAAAAAHr3k/F660l_hnDhY/s640/t%2B%25281%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-jykz9iHNKk4/VbPhD408Z3I/AAAAAAAHr3c/0V0iPo1kn7E/s640/t%2B%25282%2529.jpg)
BOFYA HAPA KUONA PICHA ZAIDI
10 years ago
Dewji Blog26 Jul
Rais Kikwete amuapisha Mkurugenzi mpya wa Uchaguzi Bw. Kailima Ramadhani Kombey Ikulu jijini Dar
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete akimuapisha Ndugu Kailima Ramadhani Kombwey kuwa Mkurugenzi wa Uchaguzi Ikulu jijini Dar es salaam, Julai 25, 2015.
Ndugu Kailima Ramadhani Kombwey akiweka sahihi kwenye hati baada ya kuapishwa kuwa kuwa Mkurugenzi wa Uchaguzi Ikulu jijini Dar es salaam jana jioni, Julai 25, 2015.
Rais-uteuzi-tume ya uchaguzi.doc
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/VittCBMQg0J4EKMOA46HExkW2mNyYYaodhkhmzG-zyrWW6-cD66cwBpwPAnkKy8wTSuyLDVNCwB*FrMgrc9bm8Ln64X36vQz/t1.jpg?width=650)
RAIS KIKWETE AMUAPISHA MKURUGENZI MPYA WA UCHAGUZI BW. KAILIMA RAMADHANI KOMBEY
9 years ago
Dewji Blog16 Aug
Jaji Mallaba akabidhi ofisi za NEC kwa Mkurugenzi mpya wa uchaguzi, Kailima Kombwey
![](http://1.bp.blogspot.com/-FVBwmjZb9j8/Vc88qt6bkhI/AAAAAAABkiY/2YJuH2TqDuk/s640/20150815052405.jpg)
Mkurugenzi wa Uchaguzi aliyemaliza muda wake, Jaji Julius Mallaba (kushoto), ambaye ameteuliwa kuwa Jaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania akiongea na Mkurugenzi wa Uchaguzi mpya, Kailima Kombwey mapema leo wakati akikabidhi ofisi ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) jijini Dar es Salaam.
![](http://1.bp.blogspot.com/-AaBo_p36uqE/Vc88p3QAzrI/AAAAAAABkiU/4qX0Qxhdx2I/s640/20150815052418.jpg)
Mkurugenzi wa Uchaguzi aliyemaliza muda wake, Jaji Julius Mallaba (kushoto), ambaye ameteuliwa kuwa Jaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania akimsikiliza Mkurugenzi wa Uchaguzi mpya, Kailima Kombwey mapema leo wakati...
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/08/20150815052405.jpg)
JAJI MALLABA AKABIDHI OFISI ZA NEC KWA MKURUGENZI MPYA WA UCHAGUZI KAILIMA KOMBWEY
9 years ago
MichuziRAIS KIKWETE AMUAPISHA BALOZI MPYA WA TANZANIA NCHINI ZIMBABWE LEO IKULU
10 years ago
Vijimambo03 Dec
RAIS KIKWETE AMUAPISHA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA SERIKALI LEO IKULU
![](http://blog.ikulu.go.tz/wp-content/uploads/2014/12/1.jpg)
![](http://blog.ikulu.go.tz/wp-content/uploads/2014/12/unnamed-1.jpg)
![](http://blog.ikulu.go.tz/wp-content/uploads/2014/12/unnamed-2.jpg)
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/jk-2.jpg)
JK AMPONGEZA RAIS MTEULE DK. MAGUFULI IKULU, DAR JIONI HII
9 years ago
VijimamboRais Kikwete amuapisha Balozi Mpya wa Tanzania nchini Zimbabwe