Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Bila uadilifu katiba mpya ni kiinimacho

RAIS  anapochaguliwa kawaida huapishwa kuilinda katiba ya nchi. Katika kumwezesha kukitimiza kiapo hicho hupewa mamlaka makubwa ya uamuzi. Hupatiwa jeshi na zana zote zinazomwezesha kukilinda kiapo chake cha kuilinda katiba...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Katibu: Bila Ukawa hakuna Katiba Mpya

>Wakati umesalia mwezi mmoja na siku 10 kabla ya Bunge Maalumu la Katiba kuanza tena vikao vyake mjini Dodoma kuendeleza mchakato wa Katiba Mpya itakayowaongoza Watanzania kwa zaidi ya miaka 50 ijayo, Mtendaji Mkuu wa Bunge hilo amesema kuwa bila kundi la Ukawa kurejea na kushiriki hatua zote haitawezekana kupata Katiba Mpya.

 

10 years ago

Mwananchi

Sofu: Bila uhakika wa ardhi hakuna Katiba mpya

Mjumbe wa Bunge la Katiba, Veronika Sofu ameitahadharisha Serikali kuwa isipoingiza suala la ardhi katika Rasimu ya Katiba, wananchi hawataipitisha wakati wa kupiga kura ya maoni.

 

10 years ago

Habarileo

Wamsihi Kikwete asiondoke Ikulu bila Katiba mpya

WAZEE wa Mkoa wa Dodoma wamemtaka Rais Kikwete kusimamia mchakato wa kura ya maoni ili Katiba mpya ipatikane kabla ya kumaliza kipindi chake cha uongozi.

 

9 years ago

Mwananchi

Warioba: Mabadiliko bila maadili kwenye Katiba Mpya kazi bure

Aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba amesema nchi haiwezi kuwa na mabadiliko ya kweli, kama miiko na maadili ya viongozi havitaingizwa kwenye Katiba Mpya.

 

11 years ago

GPL

KATIBA MPYA IZUIE NDOA ZA UTOTONI BILA KUJALI IMANI ZA KIDINI

Mkurugenzi wa Chama cha Waandishi wa Habari Wanawake (TAMWA) Valery Msoka.
Na Walusanga Ndaki
SUALA la ndoa za watoto wadogo – chini ya umri wa miaka 18 – limekuwa likiendelea kwa miaka mingi bila kupatiwa ufumbuzi.  Tatizo hili, kwa mujibu wa mkanganyiko wa sheria zilizopo, limekuwa likipigiwa kelele bila ufumbuzi kwa zaidi ya miaka 40 sasa tangu kupitishwa kwa sheria yenye kuruhusu mtoto wa kike kufunga au...

 

9 years ago

Mwananchi

Ahadi ya uadilifu ni mtazamo mpya wa BRN-2

Wiki iliyopita tuliangalia kuanzishwa kwa mkakati mpya wa kuimarisha maadili na mapambano dhidi ya rushwa kupitia Mpango wa Mabadiliko Makubwa Sasa (BRN).

 

11 years ago

Michuzi

WAJUMBE WA BUNGE LA KATIBA WATAKIWA KUWA NA MTIZAMO MPYA UTAKAOWEZESHA UPATIKANAJI WA KATIBA MPYA


Mwenyekiti wa Jukwaa la Katiba, Bw. Deus Kibamba akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari uliofanyika leo Julai 17, 2014 kuelezea msimamo wa JUKWAA LA KATIBA juu ya mwenendo uliopita wa bunge hilo. Picha na Cathert Kajuna wa Kajunason Blog
Kiongozi wa Shule Kuu ya Sheria nchini Kenya, Profesa Patrick Lumumba alisisitiza suala la wanasiasa kurudi bungeni na kuhakikisha katiba mpya inapatikana.
Baadhi ya waandishi wa habari wakifuatilia mkutano huo.
Wajumbe wa JUKWAA LA KATIBA...

 

11 years ago

GPL

WAJUMBE WA BUNGE LA KATIBA WATAKIWA KUWA NA MTAZAMO MPYA UTAKAOWEZESHA UPATIKANAJI WA KATIBA MPYA

Mwenyekiti wa Jukwaa la Katiba, Bw. Deus Kibamba akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari uliofanyika jana Julai 17, 2014 kuelezea msimamo wa jukwaa la katiba juu ya mwenendo uliopita wa bunge hilo.
Kiongozi wa Shule Kuu ya Sheria nchini Kenya, Profesa Patrick Lumumba alisisitiza suala la wanasiasa kurudi bungeni na kuhakikisha katiba mpya inapatikana.…
...

 

10 years ago

Mwananchi

KATIBA MPYA: Wingu linavyogubika hatima Mchakato wa Katiba Mpya

>Bado hakuna mwafaka kuhusu hatima ya Katiba Mpya, baada ya kuahirishwa kwa upigaji Kura ya Maoni iliyopaswa ifanyike Aprili 30 mwaka huu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani