Kanye West achimba mkwara, hataki kuulizwa chochote kuhusu album mpya
Baba Saint, Kanye West amecharuka na kupiga mkwara mzito kuwa hataki kuulizwa maswali kuhusu album yake mpya iitwayo ‘Swish’ ambayo amedai yuko anaimalizia.
Kupitia Twitter Kanye aliandika:
I’m finishing my album and my next collection…
— KANYE WEST (@kanyewest) December 13, 2015
no offense to anyone… I’m asking everyone DON’T ASK ME FOR ANYTHING TILL AFTER I’M FINISHED WITH MY ALBUM
— KANYE WEST (@kanyewest) December 13, 2015
Tweet hizo zinaondoa kabisa matumaini ya album hiyo ya saba ya...
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo502 Nov
Ripoti: Album mpya ya Kanye West ‘Swish’ kutoka ‘soon’
![screen-shot-2015-04-16-at-8-54-18-am](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/screen-shot-2015-04-16-at-8-54-18-am-94x94.png)
10 years ago
Africanjam.Com![](http://4.bp.blogspot.com/-Z3yQUxyYcl8/Va-3G5gxHKI/AAAAAAAACwQ/1CZX_W-pEU4/s72-c/rs_1024x759-140526212702-1024-3kim-kardashian-kanye-west-wedding.ls.52614_copy.jpg)
PHOTOS: KIM & KANYE WEST WEDDING ALBUM
![](http://4.bp.blogspot.com/-Z3yQUxyYcl8/Va-3G5gxHKI/AAAAAAAACwQ/1CZX_W-pEU4/s640/rs_1024x759-140526212702-1024-3kim-kardashian-kanye-west-wedding.ls.52614_copy.jpg)
Kim Kardashian and Kanye West tied the knot at the Forte di Belvedere in Florence, Italy, back in May 2014. To commemorate the once-in-a-lifetime event, Kim took to Instagram to share some never-before-seen snaps from the day, including new shots from the photo booth and the carriage ride at Versailles in France. One year ago, the bride wore a Givenchy Haute Couture gown and was walked down the aisle by her stepfather, Bruce Jenner, while the rest of her family — including sisters Khloé and...
9 years ago
MillardAyo03 Jan
Rapper mtanzania aliyewahi kushirikishwa na Kanye West kuitoa hii yake album sokoni…
Ni headlines za rapper aishiye Marekani ‘Minnesota’ mwenye asili ya Tanzania ambaye aliwahi kushirikishwa na Kanye West kwenye ngoma iitwayo ‘All Day’. Good news ninayotaka kushea na wewe ni kwamba mtanzania huyo hivi karibuni anatarajia kuachia album yake mpya iitwayo ‘NORTHERN LIGHTS’ tarehe 6 mwezi January tukae mkao wa kuipokea. My new project NORTHERN […]
The post Rapper mtanzania aliyewahi kushirikishwa na Kanye West kuitoa hii yake album sokoni… appeared first on...
9 years ago
Habarileo25 Oct
Bossou achimba mkwara
BEKI wa Yanga raia wa Togo, Vicent Bossou amesema mechi moja aliyoichezea klabu yake ya Yanga imemsaidia kujua ushindani uliopo kwenye Ligi Kuu ya Tanzania Bara inayoendelea kwa sasa.
11 years ago
Tanzania Daima18 Mar
Sitta achimba mkwara
MWENYEKITI wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta, amewaonya wajumbe wanaozungumza hovyo bungeni bila idhini ya kiti akisema wataingia kwenye matatizo bure. Sitta alitoa angalizo hilo bungeni jana alipokuwa akitoa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/QsQ1m7RyND2K0jMvKjYZzWJ*cDjEbyTDLv5LZ2yW*VHMbDRCBNDpSdWsGxN9VwZzHsq7Upf0JVEql8pk1ft8k5zbJabb4zP7/batuli3.jpg)
BATULI ACHIMBA MKWARA USHIRIKINA
11 years ago
Mwananchi04 Jan
Mkwasa achimba mkwara Yanga
11 years ago
Mwananchi15 May
Kocha achimba mkwara Stars
9 years ago
Habarileo12 Dec
Kerr achimba mkwara Ligi Kuu
KOCHA wa Simba, Dylan Kerr amezitahadharisha timu atakazokutana nazo kwenye Ligi Kuu ya Tanzania Bara, kujiandaa kwa kichapo kwani kikosi chake kina sura nyingi mpya zinazohitaji mafanikio.