Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kanye West achimba mkwara, hataki kuulizwa chochote kuhusu album mpya

kanye-west

Baba Saint, Kanye West amecharuka na kupiga mkwara mzito kuwa hataki kuulizwa maswali kuhusu album yake mpya iitwayo ‘Swish’ ambayo amedai yuko anaimalizia.

kanye-west

Kupitia Twitter Kanye aliandika:

I’m finishing my album and my next collection…

— KANYE WEST (@kanyewest) December 13, 2015

no offense to anyone… I’m asking everyone DON’T ASK ME FOR ANYTHING TILL AFTER I’M FINISHED WITH MY ALBUM

— KANYE WEST (@kanyewest) December 13, 2015

Tweet hizo zinaondoa kabisa matumaini ya album hiyo ya saba ya...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Ripoti: Album mpya ya Kanye West ‘Swish’ kutoka ‘soon’

screen-shot-2015-04-16-at-8-54-18-amKanye West ataachia album yake mpya na ya saba, ‘SWISH’ “very soon”, kwa mujibu wa mshkaji wake, Travis Scott. Awali West alitangaza ujio wa album hiyo March mwaka huu kwa jina ‘So Help Me God’. Jina lake lilibadilishwa kuwa ‘SWISH’ mwezi May. Akiongea kwenye Beats 1 Ijumaa, Scott alisema, “That Ye album is nothing to […]

 

10 years ago

Africanjam.Com

PHOTOS: KIM & KANYE WEST WEDDING ALBUM


Kim Kardashian and Kanye West tied the knot at the Forte di Belvedere in Florence, Italy, back in May 2014. To commemorate the once-in-a-lifetime event, Kim took to Instagram to share some never-before-seen snaps from the day, including new shots from the photo booth and the carriage ride at Versailles in France. One year ago, the bride wore a Givenchy Haute Couture gown and was walked down the aisle by her stepfather, Bruce Jenner, while the rest of her family — including sisters Khloé and...

 

9 years ago

MillardAyo

Rapper mtanzania aliyewahi kushirikishwa na Kanye West kuitoa hii yake album sokoni…

Ni headlines za rapper aishiye Marekani ‘Minnesota’ mwenye asili ya Tanzania ambaye aliwahi kushirikishwa na Kanye West kwenye ngoma iitwayo ‘All Day’. Good news ninayotaka kushea na wewe ni kwamba mtanzania huyo hivi karibuni anatarajia kuachia album yake mpya iitwayo ‘NORTHERN LIGHTS’ tarehe 6 mwezi January tukae mkao wa kuipokea.   My new project NORTHERN […]

The post Rapper mtanzania aliyewahi kushirikishwa na Kanye West kuitoa hii yake album sokoni… appeared first on...

 

9 years ago

Habarileo

Bossou achimba mkwara

BEKI wa Yanga raia wa Togo, Vicent Bossou amesema mechi moja aliyoichezea klabu yake ya Yanga imemsaidia kujua ushindani uliopo kwenye Ligi Kuu ya Tanzania Bara inayoendelea kwa sasa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Sitta achimba mkwara

MWENYEKITI wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta, amewaonya wajumbe wanaozungumza hovyo bungeni bila idhini ya kiti akisema wataingia kwenye matatizo bure. Sitta alitoa angalizo hilo bungeni jana alipokuwa akitoa...

 

11 years ago

GPL

BATULI ACHIMBA MKWARA USHIRIKINA

Stori: Mayasa Mariwata
STAA wa filamu za Kibongo, Yobnesh Yusuph ‘Batuli’ amesema kama kuna mtu yeyote anahusika na vifo vya wasanii katika ushirikina basi anajisumbua, kwake hawafui dafu. STAA wa filamu za Kibongo, Yobnesh Yusuph ‘Batuli’ Batuli ameiambia Bongowood kuwa, hana uhakika kama wasanii hao vifo vyao vinatokana na mkono wa mtu kama minong’ono iliyoenea lakini kama kuna mambo ya...

 

11 years ago

Mwananchi

Mkwasa achimba mkwara Yanga

>Kocha msaidizi wa Yanga, Charles Mkwasa jana alianza kazi rasmi ya kukinoa kikosi hicho na kusisitiza kuwa mchezaji asiyekuwa na nidhamu hana nafasi katika timu yake.

 

11 years ago

Mwananchi

Kocha achimba mkwara Stars

Kocha wa Taifa Stars, Mdachi Martinus Nooijm ameweka wazi kwamba mchezaji atakayejituma mazoezini ndiye mwenye uhakika wa namba katika kikosi chake, bila kujali umaarufu wa majina yao nje ya uwanja.

 

9 years ago

Habarileo

Kerr achimba mkwara Ligi Kuu

KOCHA wa Simba, Dylan Kerr amezitahadharisha timu atakazokutana nazo kwenye Ligi Kuu ya Tanzania Bara, kujiandaa kwa kichapo kwani kikosi chake kina sura nyingi mpya zinazohitaji mafanikio.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani