Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Rapper mtanzania aliyewahi kushirikishwa na Kanye West kuitoa hii yake album sokoni…

Ni headlines za rapper aishiye Marekani ‘Minnesota’ mwenye asili ya Tanzania ambaye aliwahi kushirikishwa na Kanye West kwenye ngoma iitwayo ‘All Day’. Good news ninayotaka kushea na wewe ni kwamba mtanzania huyo hivi karibuni anatarajia kuachia album yake mpya iitwayo ‘NORTHERN LIGHTS’ tarehe 6 mwezi January tukae mkao wa kuipokea.   My new project NORTHERN […]

The post Rapper mtanzania aliyewahi kushirikishwa na Kanye West kuitoa hii yake album sokoni… appeared first on...

MillardAyo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Rapper wa S.A Cassper Nyovest amshirikisha rapper wa U.S.A The Game kwenye album yake mpya, ‘Refiloe’

Rapper wa Afrika Kusini ametoa orodha ya nyimbo zitakazokuwemo kwenye album yake mpya ‘Refiloe’ anayotarajia kuitoa hivi karibuni, na miongoni mwa nyimbo 14 zinazoikamilisha album hiyo imo collabo na rapper wa Marekani, The Game. Wimbo namba 14 kwenye album hiyo ya pili ya Cassper uitwao ‘Cooking in da Kitchen’ ndio aliomshirikisha The Game. Cassper ametoa […]

 

9 years ago

MillardAyo

Rapper Mtanzania Allan Kingdom alivyoshea jukwaa moja na Kanye West…..(+Video)

Ni headlines za  rapper mtanzania Allan Kingdom aishiye Minnesota Marekani ambaye jina lake lilianza kujulikana na kupata airtime baada ya kushirikishwa kwenye single iitwayo All Day na rapper Kanye West. Kanye West anafahamika kwa kuwatoa wasanii wakubwa nchini marekani, kwa mfano leo hii bila Kanye West basi mashabiki wa muziki wa duniani wasingewajua wasanii John Legend […]

The post Rapper Mtanzania Allan Kingdom alivyoshea jukwaa moja na Kanye West…..(+Video) appeared first on...

 

9 years ago

Bongo5

Ripoti: Album mpya ya Kanye West ‘Swish’ kutoka ‘soon’

screen-shot-2015-04-16-at-8-54-18-amKanye West ataachia album yake mpya na ya saba, ‘SWISH’ “very soon”, kwa mujibu wa mshkaji wake, Travis Scott. Awali West alitangaza ujio wa album hiyo March mwaka huu kwa jina ‘So Help Me God’. Jina lake lilibadilishwa kuwa ‘SWISH’ mwezi May. Akiongea kwenye Beats 1 Ijumaa, Scott alisema, “That Ye album is nothing to […]

 

10 years ago

Africanjam.Com

PHOTOS: KIM & KANYE WEST WEDDING ALBUM


Kim Kardashian and Kanye West tied the knot at the Forte di Belvedere in Florence, Italy, back in May 2014. To commemorate the once-in-a-lifetime event, Kim took to Instagram to share some never-before-seen snaps from the day, including new shots from the photo booth and the carriage ride at Versailles in France. One year ago, the bride wore a Givenchy Haute Couture gown and was walked down the aisle by her stepfather, Bruce Jenner, while the rest of her family — including sisters Khloé and...

 

9 years ago

Bongo5

Vanessa Mdee ataja sababu za kuchelewa kuitoa album yake ‘Money Mondays’

12276907_984236138289678_255207204_n

Album ya Vanessa Mdee, ‘Money Mondays’ ni kama imekamilika tayari lakini muimbaji huyo amesema ameichelewesha kuitoa kwasababu anaitengenezea mkakati mzuri wa kuichia.

12276907_984236138289678_255207204_n

Vanessa ameiambia Bongo5 kuwa anaangalia njia sahihi ya kuitoa.

“Naichelewesha kuitoa sababu natafuta proper distribution plan,” amesema.

“Sitaki tu itoke halafu watu wakasikiliza halafu ikabakia hamna faida yoyote tuliyotengeneza. Nataka kutumia fursa kutengeneza album ambayo italeta utofauti kwenye utoaji wa album....

 

9 years ago

Bongo5

Kanye West achimba mkwara, hataki kuulizwa chochote kuhusu album mpya

kanye-west

Baba Saint, Kanye West amecharuka na kupiga mkwara mzito kuwa hataki kuulizwa maswali kuhusu album yake mpya iitwayo ‘Swish’ ambayo amedai yuko anaimalizia.

kanye-west

Kupitia Twitter Kanye aliandika:

I’m finishing my album and my next collection…

— KANYE WEST (@kanyewest) December 13, 2015

no offense to anyone… I’m asking everyone DON’T ASK ME FOR ANYTHING TILL AFTER I’M FINISHED WITH MY ALBUM

— KANYE WEST (@kanyewest) December 13, 2015

Tweet hizo zinaondoa kabisa matumaini ya album hiyo ya saba ya...

 

9 years ago

Bongo5

Video: Navio azungumzia album yake mpya ‘Power’ anayotarajia kuitoa mwezi huu

NavioDaniel Lubwama Kigozi, maarufu kama Navio ni rapper kutoka Uganda ambaye amekuwa akifanya muziki kwa kipindi kirefu sasa toka alipoanzisha kundi lake la Hip Hop, Klear Kut na baadae kuanza kufanya muziki kama solo baada ya kundi hilo kujipa mapumziko ili rappers hao wamalizie masomo yao. Rapper huyo hivi karibuni alikuwa nchini Nigeria akiendelea kujitangaza […]

 

10 years ago

BBCSwahili

Kanye West azindua bibilia yake

Kitabu hicho kitukufu kimebadilishwa na kuwa Biblia ya sasa kwa jina ''Yeezus'' na amini usiamini kila jina la Mungu limebadilishwa na lile la Kanye West

 

9 years ago

Bongo5

Kanye West azungumzia mipango yake ya kugombea urais wa Marekani mwaka 2020

Kama ulikuwa na mashaka juu ya kauli aliyoitoa Kanye West ya kuwa atagombea urais wa Marekani mwaka 2020, rapper huyo amesisitiza kuwa yupo serious na alichokisema. Mwezi uliopita kwenye tuzo za 2015 MTV VMAs, Kanye alitangaza kuwa atagombea Uras wa Marekani ifikapo mwaka 2020, na sasa amethibitisha kuwa alimaanisha kile alichokisema pamoja na kuelezea mipango […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani